×

Kimataifa

Davido Anusurika Shambulio la Risasi Osogbo, Polisi Wafichua Kilichotokea

Osogbo, Nigeria — Jeshi la Polisi katika Jimbo la Osun limesema mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adeleke maarufu Davido, alikuwa...

READ MORE

Trump Aanzisha “D-Day ya Kiuchumi” Dhidi ya Iran, Vita vyaanza Upya – Video

WASHINGTON — Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza hatua mpya na kali zaidi za kiuchumi dhidi ya Iran, akisema Washington...

READ MORE

Bilionea wa Majengo Afungwa Maisha Jela, Mali Zake Zataifishwa

Mwanzilishi wa kampuni kubwa ya ujenzi wa majengo nchini China, Evergrande, Hui Ka Yan, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada...

READ MORE

Watu Saba Wafariki Baada ya Helikopta Kuanguka Kenya, Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Afariki

SAMBURU, KENYA: Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wa Ecuador, Michele Sensi Contugi, na mkewe ni miongoni mwa...

READ MORE

Prince Harry na Meghan Warejea Uingereza, Watoto Wao Wajiunga na Shule za Uingereza

LONDON: Prince Harry na mkewe, Meghan Markle, wameamua kurejea kuishi nchini Uingereza, lakini hawatarejea katika majukumu yao kama wajumbe wanaofanya...

READ MORE

Maharusi Wafariki Dunia Katika Ajali ya Helikopta Wakiwa Honeymoon

Maharusi kutoka Uingereza wamefariki dunia pamoja na rubani wao katika ajali ya helikopta nchini Ugiriki, dakika chache kabla ya kutua...

READ MORE

Ufaransa Yajibu Iran Yawafukuza Wanadiplomasia Wawili – Video

Ufaransa imetangaza kuwa itawafukuza wanadiplomasia wawili wa Iran kutoka nchini humo katika siku zijazo, hatua inayoongeza mvutano wa kidiplomasia kati...

READ MORE

UAE Yasimamisha Shughuli Zote za Biashara na Iran, Waziri Afunguka

Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kusitisha shughuli zote za kibiashara na kifedha na Iran hadi itakapotangaza vinginevyo, huku...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Vioo vya TV za Kisasa na Tofauti Zake OLED dhidi ya QLED

Enzi za televisheni zenye boksi kubwa na skrini nzito zimepita. Leo hii, teknolojia imebadilisha TV kuwa kifaa chenye uwezo mkubwa...

READ MORE

Rodri Arejea Hispania, Ajiunga na Barcelona kwa Miaka Minne, Aaga Man City

Mshindi wa Kombe la Dunia akiwa na Hispania, Rodri, amesema yuko tayari kuanza ukurasa mpya wa maisha yake ya soka...

READ MORE

Marekani Yaiwekea Vikwazo ICC, Trump Aongeza Shinikizo kwa Mahakama ya Kimataifa

Serikali ya Marekani imeweka vikwazo dhidi ya Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Tomoko Akane, pamoja na mwanasheria...

READ MORE

Trump Aongeza Shinikizo, Ataka Hormuz Kuwa “Eneo Jipya la Marekani”

Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kusisitiza tishio lake la kutaka Marekani ichukue mamlaka Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya...

READ MORE

Kocha wa Timu ya Taifa ya Misri Azimia Kisa Wake zake Kuzichapa, Amtwanga Takala Mke

Kocha wa timu ya taifa ya Misri, Hossam Hassan, ameripotiwa kuanguka na kuzimia baada ya wake zake wawili kuingia katika...

READ MORE

Trump Aitaka Iran Isalimu Amri, Akataa Kuongeza Muda wa Makubaliano

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Iran haitafanya makubaliano anayoyaona kuwa muhimu ili kumaliza vita kati ya Marekani na Iran,...

READ MORE

Airtel Yaandika Historia kwa Kuzindua Intaneti ya Satelaiti kwa simu DRC

Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara...

READ MORE

Jamhuri Yafunga Rasmi Ushahidi Katika Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

Upande wa Jamhuri umefunga rasmi ushahidi wake katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Trump Aagiza Pentagon Kupunguza Mazoezi ya Kijeshi na Korea Kusini

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameiagiza Wizara ya Ulinzi ya nchi hiyo (Pentagon) kupunguza kwa kiasi kikubwa mazoezi ya pamoja...

READ MORE

Iran Yatoa Milioni 78 kwa Atakayeua au Kukamata Mwanajeshi wa Marekani, Mkuu wa Jeshi Afunguka

TEHRAN: Jeshi la Iran limetangaza zawadi ya Dola za Marekani 30,000, sawa na takribani Sh milioni 78 kwa viwango vya...

READ MORE

Arsenal vs Man City, PSG vs Lens Kitawaka leo Ulaya leo Jumapili, Pesa Ipo Hapa

Je unajua kuwa ukibashiri na Meridianbet ni rahisi sana kwako wewe kutengeneza pesa ya uhakika?. Arsenal, PSG, na wengine kibao...

READ MORE

Countdown Imeanza! Mzuka wa Mabingwa Wabakiwa na Siku 24

Wakati mwingine nafasi kubwa huja na muda maalum, na sasa Mzuka wa Mabingwa wa Meridianbet umebakiwa na siku 24 tu....

READ MORE

Mkuu wa Jeshi Uganda Afanya Mabadiliko ya Makamanda Wakuu wa UPDF

Kampala, Uganda — Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametangaza mabadiliko katika uongozi wa Jeshi la Ulinzi la...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 15, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Johnny Young, Gwiji wa ‘Young Talent Time’, Afariki Akiwa na Miaka 79

Mwanamuziki na mwongozaji maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Australia, Johnny Young, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79...

READ MORE

Marekani Yaongeza Kikosi cha Droni za Mashambulizi Mashariki ya Kati

Kamandi Kuu ya Marekani (US Central Command – CENTCOM) imeanzisha Task Force Falcon Strike, kikosi kipya kinacholenga kuwa cha kwanza...

READ MORE

Presha ya Mashabiki Yamfanya Cardi B Kutaka Kupumzika

Rapa maarufu wa Marekani, Cardi B, amezua gumzo baada ya kusema anataka kuchukua mapumziko ya muda kwenye muziki kutokana na...

READ MORE

Mahakama Ya Syria Yamuhukumu Kifo Rais Wa Zamani Bashar Al-Assad

DAMASCUS, SYRIA: Mahakama nchini Syria imemhukumu aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Bashar al-Assad, adhabu ya kifo baada ya kupatikana na...

READ MORE

Trump Afichua Siri ya Kubadilisha Ndege Baada ya Tishio la Kuuawa Uturuki

Rais wa Marekani Donald Trump amesema alilazimika kubadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki mwezi uliopita kufuatia maelekezo kutoka kwa Secret...

READ MORE

Ronaldo na Georgina Wafunga Ndoa Baada ya Miaka 10 ya Mapenzi

DUBAI: Nyota wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, na mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodriguez, wamefunga ndoa baada ya kuwa kwenye...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Laua Watu 132, Zaidi ya 570 Wajeruhiwa

Watu 132 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 570 wakiripotiwa kujeruhiwa kutokana na tetemeko la ardhi lilioikumba Colombia Agosti 10....

READ MORE

Trump Amlinda Infantino, Asema Kumuondoa FIFA Ni “Kosa Kubwa”

WASHINGTON, Agosti 11, 2026 — Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa uungwaji mkono kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la...

READ MORE

Sparta Rotterdam Uso kwa Uso Feyenoord Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Eredivisie 2026/27

Loo Jumapili, tarehe 9 Agosti 2026, katika uwanja wa Sparta-Stadion Het Kasteel. itapigwa Mechi ya ufunguzi wa msimu mpya wa...

READ MORE

Mabingwa PSV Kuanza Safari ya Taji Jipya, West Ham Nao Kwenye Vita

Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti...

READ MORE

Trump Apiga Marufuku ‘Utalii wa Kujifungua’ Marekani, Aongeza Masharti ya Uraia wa Kuzaliwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametia saini amri mbili mpya zinazolenga kubadili utekelezaji wa haki ya uraia wa kuzaliwa nchini...

READ MORE

Barcelona Yamvamia Rodri, Real Madrid Yajitoa, City Yakataa Ofa ya Bilioni 137

Barcelona imewasilisha ofa ya kwanza ya pauni milioni 38.5 (TSh bilioni 137)  kwa Manchester City kwa ajili ya kiungo wa...

READ MORE

Meta Yaomba Radhi India Baada ya Kuzuia Chapisho la Modi Kimakosa

Kampuni ya teknolojia ya Meta imeomba radhi kwa Serikali ya India baada ya kuzuia kwa muda chapisho la Waziri Mkuu...

READ MORE

Malkia wa Matumaini TikTok Afariki Akiwa na Miaka 26, Familia Yake Yafunguka

Nyota wa TikTok, Sydney Towle, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuishi kwa miaka mitatu akipambana...

READ MORE

Salah Kutua Uturuki leo Kukamilisha Uhamisho Trabzonspor Baada ya Kuondoka Liverpool

ISTANBUL: Klabu ya Trabzonspor ya Uturuki imethibitisha kuwa ipo kwenye mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, huku ikitangaza...

READ MORE

Shalulile: Kuondoka Mamelodi ni kama Ronaldo Alivyoondoka Real Madrid – Video

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Peter Shalulile, amesema uamuzi wake wa kuondoka Mamelodi Sundowns na kujiunga na mabingwa hao wa Tanzania...

READ MORE

Ariana Grande Ajiondoa Kwenye Tamasha la London, Aeleza Sababu

Mwimbaji maarufu wa Marekani, Ariana Grande, anatarajiwa kupunguza shughuli zake za kikazi na kuonekana hadharani baada ya kukamilisha ziara yake...

READ MORE

Madaktari Waandika Historia, Wamfanyia Mtoto Upasuaji Kabla ya Kuzaliwa

Madaktari wamefanikiwa kufanya upasuaji wa nadra na wa aina yake kwa mtoto ambaye alikuwa bado hajazaliwa, hatua iliyolenga kurekebisha tatizo...

READ MORE