Mtoto wa Rais Ateuliwa Kuwa Msaidizi wa Rais
MTOTO mkubwa wa kiume wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa mratibu wa masuala yote ya Rais. Noureddin ameteuliwa katika nafasi…
SOMA ZAIDI
|
MTOTO mkubwa wa kiume wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa mratibu wa masuala yote ya Rais. Noureddin ameteuliwa katika nafasi…
SOMA ZAIDIMaprofesa watatu walioalikwa na Chama cha Democratic katika kikao cha kwanza cha kamati ya masuala ya sheria ya Baraza la Wawakilishi mjini Washington, wamesema tuhuma…
SOMA ZAIDIRais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ametangaza kuwaita marais wa nchi tano za Ukanda wa Sahel, Desemba 16, 2019 katika mji wa Pau Kusini mwa nchi…
SOMA ZAIDIMCHUNGAJI Sam Little (25) ambaye ni raia wa Uingereza amekamatwa nchini Uganda kwa tuhuma za kuwanywesha waumini wake dawa ya kujichubua na kuwaaminisha kuwa ni…
SOMA ZAIDIMWANAUME mmoja, Vvashko Sande wa Zimbabwe alishangaza kijiji chake alipoamua kuoa mkwewe na kumfanya mke wa pili. Mwanamume huyo alimpenda mama mkwe wake na…
SOMA ZAIDIMAHAKAMA ya Mwanzo ya Ipembe mjini Singida, imemhukumu mkazi wa mtaa wa Minga, Bahati Martin (39), kifungo cha miaka miwili jela baada ya kumtia hatiani…
SOMA ZAIDIMAOFISA Usalama wa Kaunti ya Kitui nchini Kenya, wanamsaka mhubiri mmoja (jina halikutajwa) anayedaiwa kuwahadaa na kuwapa ujauzito wasichana wadogo takriban wanafunzi 20. Inaarifiwa…
SOMA ZAIDIOFISA Mkuu wa Polisi, Bi. Sabina Kerubo anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya Mwandishi wa Habari wa The Star, Bw. Eric Oloo kutokana na mwili wa…
SOMA ZAIDIJESHI la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema, limewauwa waasi zaidi ya 80 wa ADF Nalu Wilayani Beni, katika operesheni dhidi ya makundi ya waasi….
SOMA ZAIDIKIPANDE cha ubao kinachoaminiwa kuwa kilitolewa sehemu Yesu alipozaliwa kimerejeshwa mjini Bethlehem katika mji wa Jerusalem nchini Palestina baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya…
SOMA ZAIDIAUSTRALIA imekuwa nchi ya kwanza kuzindua mfumo wa kamera za barabarani (za roboti) ili kuwanasa madereva wanaotumia simu wakati wakiwa wanaendesha magari. Kamera hiyo…
SOMA ZAIDIWAKILI wa Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Ikulu ya White House haitashiriki katika kikao cha uchunguzi kitakachofanyika bungeni Jumatano ijayo. Wakili huyo, Pat…
SOMA ZAIDIZAIDI ya watu 14 wameuwawa baada ya shambulio la kigaidi kutokea katika kanisa la Hantoukoura nchini Burkina Faso. Waathirika wa shambulio hilo walikuwa wamehudhuria…
SOMA ZAIDIWATU tisa wakiwemo watoto wawili wamefariki katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika jimbo la Dakota ya kusini nchini Marekani. Kwa mujibu wa taarifa…
SOMA ZAIDITIBA ya sindano badala ya vidonge vya kila siku kwa wagonjwa wa ukimwi nchini Rwanda imeshika kasi na sasa iko katika awamu ya mwisho. …
SOMA ZAIDIWATU wasiojulikana wamemteka Shelton Lalgy, mtoto wa mfanyabiashara mkubwa nchini Msumbiji, Juneide Lalgy. Tukio hilo limetokea jijini Matola jana Alhamisi, Novemba 28, 2019, asubuhi…
SOMA ZAIDIRAIS wa Marekani, Donald Trump, amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi ya vikosi vya Marekani nchini Afghanistan na kusema kuwa Marekani na Taliban wamekuwa katika…
SOMA ZAIDINDEGE ya Proflight ikiwa na abiria 41 juzi ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka nchini Zambia baada kupigwa na radi na kukumbana na upepo mkali ikiwa…
SOMA ZAIDIPOLISI wilayani Ibanda nchini Uganda, wamekuta vichwa viwili vya binadamu (mwanaume na mwanamke) vikiwa vimetupwa shambani maeneo ya Kyegwisa ambapo ni kilomita tatu kutoka Ibanda…
SOMA ZAIDIWATU ishirini na nane wamefariki mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutokana na ajali ya ndege iliyoanguka katika eneo la makazi ya watu…
SOMA ZAIDIWatu zaidi ya 36 wamefariki dunia baada ya maporomoko ya udongo kutokea eneo la Pokot Magharibi mwa nchi ya Kenya. Vifo hivyo vimetokea baada…
SOMA ZAIDISHIRIKA la kimataifa la misaada la Save the Children limesema zaidi ya watu 420,000 wamelazimika kuondoka kwenye makaazi yao kutokana na mvua kubwa zilizosababisha…
SOMA ZAIDITangu Oktoba 1, 2019 Wananchi wa Iraq walianza maandamano ya dhidi ya Wanasiasa wanaoongoza nchi hiyo wakiwashutumu kwa mfumo uliokithiri rushwa na utawala usiokidhi…
SOMA ZAIDIHOSPITALI ya Mombasa nchini Kenya imeteketea kwa moto, huku wagonjwa wakiokolewa na hakuna majeruhi wowote. Imeelezwa kwamba moto huo ulizuka katika Hospitali hiyo yenye…
SOMA ZAIDISHAMBULIO la kushtukiza lililolenga msafara wa wafanyakazi wa mgodi wa Canada nchini Burkina Faso, limesababisha vifo vya watu 37, hili likiwa shambulio baya zaidi kuwahi…
SOMA ZAIDIKiongozi wa zamani wa waasi wa Congo amehukimiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Kimataifa ya jinai kwa makosa ya uhalifu wa kivita…
SOMA ZAIDIJESHI la Polisi nchini Nigeria imewaokoa watu 259 kutoka katika kituo kisichokubalika kisheria kilichopo ndani ya Msikiti katika Mji wa Ibadan, jimbo la Oyo,…
SOMA ZAIDIWatu 13 wamefariki dunia kufuatia vurugu za mapigano zilizotokea katika Chuo Kikuu cha Kogi katika eneo la Ayingba nchini Nigeria. Kwa mujibu wa habari…
SOMA ZAIDIUMOJA wa Mataifa (UN) umetuma misaada ya dharura nchini Somalia kufuatia mvua kubwa ambazo zimenyesha katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na kusababisha mafuriko….
SOMA ZAIDIKUNDI linalojiita Dola la Kiislamu IS limemtangaza kiongozi wake mpya baada ya kuthibitisha kifo cha kiongozi wake Abu Bakr al-Baghdadi katika shambulizi lililofanywa na Marekani…
SOMA ZAIDIAliyewahi kuwa Mrimbwende wa Taifa la Gambia mwaka 2014, Fatou Jallow amemtuhumu aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Yahya Jammeh kwa kumbaka na kumdharirisha. Jallow…
SOMA ZAIDIRais wa Uganda, Yoweri Museveni ameagiza wanajeshi wanaozingira chuo kikuu cha Makerere kwa lengo la kutuliza maandamano waondoke mara moja chuoni hapo kwani hiyo sio…
SOMA ZAIDIMTUHUMIWA Godfrey Wamala amekutwa na hatia ya kumuua msanii Moses Sekibogo (Mowzey Radio) bila ya kukusudia. Hukumu hiyo imesomwa licha ya Mwanamuziki huyo kufariki katika ghasia…
SOMA ZAIDIWATU 16 wamefariki baada ya treni ya mwendokasi kuwaka moto na wengine 13 wamejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea mapema leo huko Liaqatpur karibu na mji…
SOMA ZAIDIRwanda ikishirikiana na kampuni ya Volkswagen na Siemens imezindua magari ya kwanza ya umeme nchini humo yatakayokuwa rafiki kwa mazingira. Mradi huo ulioanza na…
SOMA ZAIDIBINTI wa miaka 11, aliyefahamika kwa jina la Catherine amefanyiwa upasuaji na kubadili maumbile yak ya uzazi kutoka usichana kuwa mvulana. Imeelezwa kuwa, upasuaji…
SOMA ZAIDIBEIRUT: WAZIRI Mkuu wa LEBANON, Saad El-Din Rafik Al-Hariri ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake huo kutokana na wananchi kuandamana kwa wiki mbili wakimtaka aachie madaraka….
SOMA ZAIDIMAASKOFU wa Kanisa Katoliki wapendekeza kuwaruhusu baadhi ya wanaume waliooa kufanya kazi za Upadre. Pendekezo hili limepitishwa kwa kura 128 dhidi ya 41 zilizokataa. Hata…
SOMA ZAIDIRais wa Zamani wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi amelazwa tena kwenye Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya Nairobi ikiwa ni wiki mbili…
SOMA ZAIDINDEGE ya Shirika la Silverstone imelazimika kutua kwa dharura baada ya gurudumu lake kuanguka wakati ikipaa, jana Jumatatu, Oktoba 28, 2019. Ndege hiyo aina…
SOMA ZAIDI