×

Kitaifa

Rumble Kong CASHINGO Na Mbinu Mpya Za Ushindi

Watu wamezoea kasi, msisimko na burudani isiyoisha. Sasa Meridianbet inaleta moto mpya kupitia Rumble Kong CASHINGO, mchezo wa sloti kutoka...

READ MORE

Vodacom Yazindua Mashindano ya Golf Kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara Nchini

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika...

READ MORE

MWAUWASA Yazidi Kuimarisha Upatikanaji wa Maji Misungwi, Zaidi ya Wakazi 22,000  

Kupitia Mradi wa Kuboresha Mfumo wa Usambazaji Maji katika Mji wa Misungwi, MWAUWASA imeendelea kuboresha upatikanaji wa huduma ya Maji...

READ MORE

Video: Kuna Chimbo Pikipiki, Bajaji Unaipata Kwa Laki 8 Tu, Keko Commission Agent

️️ Je, unatafuta pikipiki au bajaji bora kwa bei nafuu? Hapa ndipo mahali sahihi! Pata pikipiki na bajaji zenye ubora...

READ MORE

Mwana FA Aimba na Mashabiki Katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameshiriki tamasha la kihistoria la maadhimisho ya miaka 30 ya...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Madarasa Mapya, Matumaini Mapya: Uwekezaji Ulivyobadili Mazingira ya Kujifunzia Shule ya Msingi Orng’adida

Babati, Manyara – Kwa miaka kadhaa, wanafunzi wa Shule ya Msingi Orng’adida iliyopo katika Kata ya Quash, Wilaya ya Babati...

READ MORE

JKT Watoa Pole kwa Pacome Baada ya Kuumia Uwanjani

Uongozi wa JKT Tanzania FC umetoa pole na kuomba radhi kufuatia kuumia kwa mshambuliaji wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, katika...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kushuka Kwa Bei ya Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua kwa bei kikomo za mafuta ya petroli nchini...

READ MORE

TAKUKURU Ruvuma Yafanya Tathmini ya Miradi 290, Kesi 20 za Rushwa Zafunguliwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Ruvuma, TAKUKURU, imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa majukumu yake...

READ MORE

Serikali Yakusanya Shilingi Trilioni 1.32 Kutoka Taasisi Zake

Serikali imekusanya jumla ya Sh1.32 trilioni hadi Juni 29, mwaka huu, ikiwa ni gawio na michango mingine kutoka mashirika na...

READ MORE

Watoto 4,200 Waishio Mitaani Kuunganishwa na Familia Zao Nchini

Zaidi ya watoto 4,200 wanaoishi na kufanya kazi mitaani katika mikoa mitano nchini, ikiwemo Pwani na Arusha, wanatarajiwa kuondolewa mitaani...

READ MORE

Meneja wa Zamani wa TRA Kigoma Ahukumiwa Miaka 20 Jela Kwa Kukutwa na Meno ya Tembo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 20 gerezani aliyekuwa Meneja wa TRA Wilaya ya Kibondo...

READ MORE

IGP Wambura Amhamisha ACP Twaha Lulengelule Kuwa RPC Tabora

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule na kumteua...

READ MORE

Miaka 10 ya Utumishi, Askari wa Depo J.1 Wagusa Maisha ya Wazazi na Watoto Songwe

Askari wa Depo ya mwaka 2015/2016, maarufu kama J.1, wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe wameadhimisha miaka 10 ya...

READ MORE

ICEA LION Yamtawaza “Mfalme wa Uwanja wa Gofu” katika Maadhimisho ya Siku ya Bima

Arusha, Tanzania – Juni 27, 2026: Maadhimisho ya Siku ya Bima yamehitimishwa kwa mafanikio kupitia mashindano ya gofu ya ICEA...

READ MORE

Kutoka Giza la Changamoto Hadi Mwanga wa Matumaini, Safari ya Huduma za Afya Kiru Six – Video

Babati, Manyara – Kwa miaka mingi wananchi wa Kijiji cha Kiru Six, Kata ya Kiru, Wilaya ya Babati mkoani Manyara...

READ MORE

Cheza Michezo ya Expanse, Shinda Kitita cha Kiasi Kubwa

Shindano la Expanse VIP linazidi kutoa matajiri kibao kila siku, Meridianbet wameongeza mzuka kwa wapenzi wa kasino ya mtandaoni ambapo...

READ MORE

Video: Aliyedaiwa Kulima Ekari 2 za Bangi na Mwenzake Wafikishwa Mahakamani

Watu wawili, Madumuka Zilihona (60) na Mawazo Manisha (50), wakazi wa Kijiji cha Busekeseke wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza, wamefikishwa...

READ MORE

Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Upendo Unaogusa Maisha, Meridianbet Yaendelea Kuigusa Jamii Buguruni

Kuna nyakati ambapo msaada mdogo unaweza kubadilisha kabisa siku ya mtu na hata kurejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea. Hilo ndilo lililoshuhudiwa...

READ MORE

Waziri Katambi Apiga Marufuku Mikutano ya Vyama vya Siasa, Tishio la Maandamano

Dodoma – Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametangaza marufuku ya mikutano yote ya vyama vya siasa...

READ MORE

Iran Yashutumiwa Kushambulia Meli Mlango wa Hormuz Baada ya Kutoa Onyo

Iran yashutumiwa kufanya shambulio dhidi ya meli ya mizigo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Singapore katika Mlango wa Hormuz, saa chache...

READ MORE

Video: Yumna Mmanga Ahoji Hatma ya Michezo kwa Watu Wenye Ulemavu Bungeni

Yumna Mmanga Omar, Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha makundi ya Watu wenye Ulemavu kutoka Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

JWTZ Kukamilisha Hospitali Yenye Hadhi ya Taifa

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wa hospitali yenye hadhi...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Afungua Mkutano wa Ujirani Mwema kati ya Tanzania na Msumbiji

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Peres Magiri, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, leo Juni 23, 2026...

READ MORE

Video: Jiko la Mkaa Laua Mtoto wa Mwaka Mmoja Manyara, Mama Asimulia

Na Hosea – Manyara Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane amefariki dunia huku watu wengine wawili wakinusurika...

READ MORE

Video: Rahma Azungumzia Mateso ya Oman, Masoud Atolea Ufafanuzi

Mtanzania Rahma Warioba amefunguka kuhusu changamoto na mateso aliyodai kuyapitia nchini Oman, ambako bado anafanya kazi za ndani. Rahma ameeleza...

READ MORE

Video: Maelfu ya Wananchi Wafurika Kuuaga Mwili wa Kamanda Richard Abwao

Mwili wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard George Abwao, umewasili katika...

READ MORE

Serikali Yachukua Ushauri wa Aziza Sleyum, Miradi 6 Mikubwa ya Barabara Kutekelezwa kwa PPP

Ikiwa ni siku chache tu tangu Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Aziza Sleyum Ally, achangie mjadala...

READ MORE

Trump na Rais wa Iran Wasaini Makubaliano ya Kusitisha Mvutano

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wamesaini Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MOU) inayolenga kupunguza...

READ MORE

Mbunge Shadya Akemea Mijadala ya Muungano Inayoweza Kuligawa Taifa

Mbunge wa Viti Maalum Kaskazini Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shadya Haji Omar, leo Juni 17, 2026, amechangia mjadala...

READ MORE

TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Watumishi 9 Geita Tuhuma za Ubadhirifu Milioni 90

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani watumishi tisa wa umma kwa tuhuma za...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Video: Serikali Kusamehe Kodi Mwaka Mzima kwa Wafanyabiashara Wapya

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...

READ MORE

Tanzania Yarudi Kwenye Jukwaa Kubwa Zaidi la Sanaa Duniani na Kuvuta Hisia za Watazamaji wa Kimataifa

Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hayati Magufuli Afariki Dunia

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana...

READ MORE

Chalamila – ”Viwango ni Msingi wa Afya, Biashara na Uchumi Imara”

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni...

READ MORE

ACT Wazalendo na CHADEMA Wakutana, Wasisitiza Mshikamano wa Kisiasa

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndugu John...

READ MORE