Rais Mwinyi: Mazingira Ya Biashara Na Uwekezaji Kuendelea Kuimarishwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza kuwa dhamira ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni kuhakikisha mazingira…