×

Kifo cha Dereva wa John Heche Chachunguzwa na Polisi, Chadema Wafunguka – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu (Bara), Amani Golugwa kimetoa taarifa za kifo cha Suez...

READ MORE

Global TV Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Video Graphics Editor, Mwisho Maombi Julai 7, 2026

Global TV inamtafuta Video Graphics Editor mwenye ubunifu, kasi na ujuzi wa kutengeneza maudhui ya kisasa yenye ubora wa hali...

READ MORE

GSM Ampelekea Kombe Pacome Hospitalini Aga Khan Dar – Picha

Mdhamini na mfadhili wa Klabu ya Yanga SC, Ghalib Said Mohamed (GSM), amemtembelea kiungo wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, baada...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Kuharakisha Utekelezaji Wa Miradi Ya Maendeleo Nchini

SERENGETI, MARA – Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imeweka mkakati maalum wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo...

READ MORE

Watu Watatu Wafariki Wakati wa Sherehe za Kombe la Dunia Mexico

Watu watatu wamefariki dunia kutokana na kukosa hewa wakati wa sherehe za ushindi wa timu ya taifa ya Mexico katika...

READ MORE

Pacome Atembelewa Hospitalini na Uongozi wa JKT Tanzania

Uongozi wa Klabu ya JKT Tanzania pamoja na mchezaji Hassan Wahabi wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacome Zouzoua leo kwenye...

READ MORE

Equity Group Na ZIPA Wafanya Kongamano La Kibiashara La Kufungua Fursa Za Uwekezaji Zanzibar

Equity Group, taasisi inayoongoza ya huduma za kifedha barani Afrika, leo imeandaa kongamano la ngazi ya juu la uwekezaji kwa...

READ MORE

Ubelgiji vs Senegal, Uingereza vs DR Congo: Vita ya 16 Bora Leo

  Je leo hii nani kuaga kwenye mashindano haya makubwa Duniani yanayoendelea?. Timu za leo zitachuana vikali kuhakikisha zinafuzu kwenye...

READ MORE

Ibenge Amtembelea Pacome Hospitalini Baada ya Kuumia Dar

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, pamoja na benchi lake la ufundi leo Julai 1m 2026 wamemtembelea kiungo wa...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Makatibu Wakuu Wapya, Atoa Mwelekeo wa Utumishi (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumatano, Julai 1, 2026, amewaapisha viongozi aliowateua hivi...

READ MORE

Monday Cashback & Bonus Back Kwenye Akaunti Yako Kila Jumatatu

Kwa miaka mingi, watu wengi wamezoea kuichukulia Jumatatu kama siku ya kurejea kwenye majukumu baada ya mapumziko ya wikendi. Lakini...

READ MORE

JKT Watoa Pole kwa Pacome Baada ya Kuumia Uwanjani

Uongozi wa JKT Tanzania FC umetoa pole na kuomba radhi kufuatia kuumia kwa mshambuliaji wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, katika...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kushuka Kwa Bei ya Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua kwa bei kikomo za mafuta ya petroli nchini...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaipiga Stop Serikali ya Trump Kwenye Uraia wa Kuzaliwa

WASHINGTON, Marekani – Mahakama Kuu ya Marekani imekataa jaribio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kuondoa haki ya uraia...

READ MORE

Matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na...

READ MORE

Airtel Yakabidhi Serikali Gawio La Sh Bilioni 65.48, Yafikisha Sh Bilioni 350 Tangu 2019

Juni, 30, 2026. Dar es Salaam. Kampuni ya Airtel Tanzania imekabidhi Serikali gawio la Sh bilioni 65.48 kwa mwaka wa...

READ MORE

Equity Group Yawaunganisha Wawekezaji wa Kimataifa na Sekta Binafsi Tanzania

Equity Group imeongoza ziara ya siku nne ya Biashara na Uwekezaji nchini Tanzania Bara na Zanzibar, ikiwaleta pamoja wawekezaji, wafanyabiashara...

READ MORE

Nyumba ya Mwisho ya Michael Jackson Yauzwa Kwa Bilioni 47 za Tanzania

Nyumba ya kifahari iliyoko Holmby Hills, Los Angeles, inayohusishwa na aliyekuwa msanii nguli wa muziki duniani Michael Jackson, imeingia tena...

READ MORE

Ufaransa Yaifumua Sweden 3-0, Mbappe Ang’ara, Yatinga 16 Bora Kombe la Dunia

EAST RUTHERFORD, New Jersey: Nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappe, aliendelea kuonyesha ubora wake katika Kombe la Dunia 2026 baada ya...

READ MORE

Mwigulu: Serikali Itaendelea Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kutekeleza mageuzi ya sera, sheria, kanuni na mifumo ya utoaji huduma ili...

READ MORE