×

CCM Yapongeza ACT-Wazalendo Kuwasilisha Jina la Makamu wa Kwanza

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimepongeza uteuzi wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, kikisema hatua hiyo imekamilisha muundo...

READ MORE

Macho Yote Brighton! Arsenal Yalenga Kuendeleza Kasi EPL

Ni siku nyingine tena ya kushuhudia miamba kibao ikishuka dimbani leo kwenye Ligi kuu ya EPL. Je ni Arsenal kujihakikishia...

READ MORE

Makamu wa Rais Ndejembi Aungana na Wananchi Kufanya Mazoezi Dar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameungana na wananchi mbalimbali kufanya mazoezi ya asubuhi katika...

READ MORE

Wezesha Mzawa Insurance Broker Watangaza Nafasi Nne za Kazi

Kampuni ya Wezesha Mzawa Insurance Broker Limited imetangaza nafasi za kazi kwa Watanzania wenye sifa na uzoefu katika sekta ya bima, mauzo,...

READ MORE

Cardi B Avunja Ukimya Kuhusu Uvumi wa Kurudiana na Offset

RAPA kutoka Marekani, Cardi B, amevunja ukimya kuhusu uvumi unaodai kuwa anajaribu kurejesha uhusiano wake wa kimapenzi na aliyekuwa mume...

READ MORE

Idris Sultan Kuiwakilisha Tanzania Kwenye Tuzo Kubwa Afrika Novemba 2026

MTANZANIA Idris Sultan amepewa nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika moja ya majukwaa makubwa yanayotambua na kuenzi vijana wenye mafanikio barani...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Burudani Mpya ya Kasino Kupitia Fortune Farm

Mchezo mpya unapofika kwenye ulimwengu wa kasino, mashabiki hutafuta kitu kinachoweza kuongeza ladha ya burudani yao. Fortune Farm ya Meridianbet...

READ MORE

Tuchel Awaonya Alexander-Arnold na Palmer Baada ya Kuwaita Tena England

KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, amewajumuisha tena Trent Alexander-Arnold na Cole Palmer katika kikosi cha Alexander-Arnold,...

READ MORE

Dereva Bodaboda Afungwa Miaka 30 Jela kwa Kumbaka Mwanafunzi Kigoma

UVINZA, KIGOMA — Mahakama ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Rajabu Uhuru (36), dereva...

READ MORE

Niffer Afunguka Kuhusu Hali Ya Kiredio “Hayuko Sawa Kwa Sasa”

Baada ya shabiki kumuomba mfanyabiashara maarufu nchini, Jennifer Bilikwija, anayefahamika zaidi kwa jina la Niffer, atafute namna ya kuwasiliana na...

READ MORE

Taifa Stars Kuanza Kampeni ya AFCON 2027 Dhidi ya Guinea-Bissau

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kuanza kampeni yake ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 19, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Ndejembi Aagiza Dampo la Pugu Liboreshwe, Kero za Wananchi Zitatuliwe – (Video +Picha)

DAR ES SALAAM — Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameuagiza uongozi wa Mkoa wa...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akutana na Viongozi wa Wamiliki wa Mabasi Nchini

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA). Kikao...

READ MORE

Lissu Afunga Ushahidi, Hoja za Mwisho Kesi ya Uhaini Kusikilizwa Septemba 23 – Video

Dar es Salaam, Septemba 18, 2026: Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeingia katika hatua nyingine...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Amteua Othman Masoud Kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais -Video

Zanzibar, Septemba 18, 2026: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Othman Masoud...

READ MORE

Serikali Yatoa Tamko Kuhusu Jezi Mpya za Timu Za Taifa

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa ufafanuzi kuhusu jezi za timu za taifa kufuatia mjadala uliotokana na mchakato...

READ MORE

SGR na JKCI Waanzisha Ushirikiano wa Kutoa Huduma Za Afya Kwa Abiria

Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) zimeingia katika ushirikiano wa kimkakati wa kuimarisha...

READ MORE

Rais Mwinyi Amteua Hafsa Mbamba Kuwa Naibu Mkurugenzi ZIPA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Hafsa Hassan Mbamba kuwa Naibu Mkurugenzi...

READ MORE

Jinsi ya Kuishi na Mwanaume Mkorofi Bila Kupoteza Amani Yako

Wapo wanaume wengi huwa wakorofi kwa wake zao au wapenzi wao na wanaume wa aina hii wapo wengi. Ukiwa na...

READ MORE