×

Real Sociedad Kuendeleza Ubabe Dhidi ya Girona La Liga leo

Leo Alhamisi Mei 14, saa 22:00, Girona watakuwa wenyeji wa Real Sociedad kwenye uwanja wa Montilivi katika mchezo wa La...

READ MORE

Rais Xi Jinping Amuonya Trump Kuhusu Hatari ya Vita Kati ya Marekani na China – Video

Rais wa China Xi Jinping amemkaribisha Rais wa Marekani Donald Trump katika mazungumzo muhimu yaliyofanyika Beijing, huku akitoa onyo kali...

READ MORE

Polisi Wamkamata Mganga Baada ya Kupatikana Kichwa cha James Temba – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa kichwa cha marehemu James Temba, mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Uhitaji Kuchagua Kati Ya Burudani na Zawadi, Meridianbet Wanakupa Vyote Pamoja

Kwa sasa vijana wengi wanatafuta sehemu ambayo si tu inatoa burudani, bali pia nafasi ya kushinda vitu vya maana. Ndiyo...

READ MORE

Man City Waendelea Kuwakaba Arsenal Baada ya Kuichapa Crystal Palace 3-0

Manchester City wameendelea kuweka presha kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Crystal Palace mabao 3-0...

READ MORE

Stanbic Bank Yakabidhi Vifaa Tiba Vyenye Thamani ya Milioni 18 Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amepokea sehemu ya vifaa tiba vilivyotolewa na Stanbic Bank Tanzania kupitia Meneja wa...

READ MORE

Trump Kuweka Historia kwa Saini Yake Kuwekwa Kwenye Dola za Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kuwa rais wa kwanza aliyepo madarakani kuweka saini yake kwenye noti za dola za...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 14, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kwenye Gari Lako Kila Asubuhi

Kabla ya kuanza safari asubuhi, ni muhimu kuhakikisha gari lako lipo katika hali salama na linalofanya kazi ipasavyo. Ukaguzi huu...

READ MORE

Rais wa China Xi: China na Marekani Zinapaswa Kuwa Washirika, Siyo Maadui

Rais wa China, Xi Jinping, ametoa wito kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, kushirikiana katika kujenga mustakabali bora wa mahusiano...

READ MORE

Yanga Yapokea Kichapo cha Kwanza Msimu Huu Dhidi ya Dodoma Jiji

Yanga  imepoteza mchezo wao wa kwanza msimu huu baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Dodoma Jiji FC...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ujumbe wa Africa CDC Ikulu Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha...

READ MORE

Okello Ampiku Pacome Zouzoua na Idd Selemani Kwenye Tuzo ya Mwezi

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Allan Okello amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Aprili wa Ligi Kuu ya soka...

READ MORE

Kichwa cha Marehemu James Temba Chapatikana Kitunda Kibeberu Ilala, Dar – Video

Kichwa cha marehemu James Temba ambaye alifariki kwa mazingira ya kutatanisha na kukuza simanzi kwa familia na jamii, kimepatikana siku...

READ MORE

Trump Atembelea China Baada ya Miaka 9, Aandika Historia Mpya – Picha

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili mjini Beijing nchini China kwa ziara ya kihistoria ya siku mbili inayotarajiwa kufanyika Mei...

READ MORE

Manchester City, PSG na Sevilla Kuwasha Moto wa Ubingwa Leo

Mbio za ubingwa zinazidi kunoga huku timu kadhaa zikishuka uwanjani siku ya leo kusaka ushindi. City, Sevill, PSG na wengine...

READ MORE

Mwigizaji Maarufu wa Nigeria Alexx Ekubo Afariki, Mashabiki Wamlilia

Taarifa zinazosambaa mtandaoni zinadai kuwa mwigizaji maarufu wa Nigeria Alexx Ekubo amefariki akiwa na umri wa miaka 40, hali ambayo...

READ MORE

Airtel Yazindua Mnara wa 4G Mungushi, Wilaya ya Hai Yapata Afueni ya Mawasiliano

Wakazi wa Kijiji cha Mungushi, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, sasa wameondokana na changamoto za muda mrefu za mawasiliano baada...

READ MORE

Al Hilal Omdurman Waandika Historia Wabeba Ubingwa Rwanda Wakiwa Uhamishoni

Klabu ya soka ya Al Hilal Omdurman imeandika historia mpya katika soka la Afrika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi...

READ MORE

Trump Aondoka na Mabosi 17 wa Kampuni Kubwa za Marekani Kuelekea China

 Rais wa Marekani Donald Trump ameambatana na viongozi wakuu wa kampuni kubwa duniani katika ziara yake rasmi nchini China...

READ MORE