×

Nyota wa Kombe la Dunia Jayden Adams Afariki Ghafla

Soka la Afrika Kusini limegubikwa na majonzi kufuatia kifo cha kiungo wa Mamelodi Sundowns na timu ya taifa ya Afrika...

READ MORE

Kiongozi Mkuu wa Iran Atishia Kulipiza Kisasi Kifo cha Baba Yake

Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ametishia kulipiza kisasi kwa kifo cha mtangulizi wake na baba yake, Ayatollah Ali Khamenei,...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Safari ya Michuano ya Dunia hadi Sasa

Tangu pigo la kwanza la mpira Juni 11, 2026, michuano ya Dunia lililoandaliwa na Marekani, Kanada, na Mexico limekuwa zaidi...

READ MORE

Mwana FA Aimba na Mashabiki Katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameshiriki tamasha la kihistoria la maadhimisho ya miaka 30 ya...

READ MORE

Global TV Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Motion Graphics Editor, Mwisho Maombi Julai 7, 2026

Global TV inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya Motion Graphics Editor mwenye ubunifu na uwezo wa kuzalisha maudhui ya...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Manqoba Mngqithi Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns, Manqoba Mngqithi, kuwa kocha mkuu mpya wa...

READ MORE

Milioni 450 za Golden Goal Rewards Zinawaita Wapenzi wa Kasino

Katika ulimwengu wa burudani za kisasa, watu wanatafuta zaidi ya mchezo wa kawaida, wanatafuta uzoefu unaobeba msisimko na nafasi ya...

READ MORE

Iran Yapeleka Waziri Oman Kujadili Hatma ya Mlango wa Hormuz

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anatarajiwa kufanya ziara nchini Oman leo Jumamosi kwa ajili ya mazungumzo...

READ MORE

Merino Aizamisha Ubelgiji Dakika za Mwisho, Hispania Yatinga Nusu Fainali Kombe la Dunia

Inglewood, California – Mchezaji wa akiba Mikel Merino aliibuka shujaa wa Hispania baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Kimya cha Mojtaba Khamenei Chazua Mjadala Mkubwa Iran, Wananchi Wataka Aonekane

Kutokuwepo hadharani kwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, kumeendelea kuzua maswali ndani na nje ya nchi huku baadhi...

READ MORE

Historia Yaandikwa! Bongo Fleva Yaadhimisha Miaka 30 kwa Kishindo Mlimani City, Dar – Video

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama MwanaFA usiku wa kuamkia leo Julai 11, 2026 ameshiriki...

READ MORE

Shakira Afunguka Kuhusu Onyesho Kubwa la Fainali ya Kombe la Dunia

Msanii maarufu kutoka Colombia, Shakira, amesema onyesho la kwanza kabisa la ‘halftime show’ katika fainali ya Kombe la Dunia la...

READ MORE

Mwanamke Akamatwa Kwa Tuhuma za Kuwapelekea Boko Haram Pombe na Dawa za Kulevya

Jeshi la Nigeria limetangaza kumkamata mwanamke raia wa Chad anayeshukiwa kuhusika katika usambazaji wa dawa za kulevya, pombe na bidhaa...

READ MORE

Kisa cha Kusikitisha: Mwanamke Afanya Mauaji Kisa Wivu wa Mapenzi, Afungwa Maisha

Tamarac, Florida, Marekani — Mahakama nchini Marekani ilimhukumu, Sakiyna Thompson mwenye umri wa miaka 31 kifungo cha maisha jela bila...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 11, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Simanzi Chalinze! Watoto Watatu Wakutwa Wamefariki Ndani ya Gari

Huzuni imetanda katika Kijiji cha Lamboni, Kata ya Lugoba, Wilaya ya Chalinze mkoani Pwani, baada ya watoto watatu waliokuwa wameripotiwa...

READ MORE

Misri Yarejea Nyumbani, Yapigiwa Shangwe Airport Baada ya Kuandika Historia Kombe la Dunia

El Alamein, Misri — Mamia ya mashabiki wa soka nchini Misri wamejitokeza kwa furaha kubwa kuwapokea wachezaji wa timu yao...

READ MORE

Robo Fainali ya Moto! Hispania na Ubelgiji Kurudisha Kumbukumbu za 1986

Mechi hii inaweza kuelezwa kama mgongano wa falsafa mbili tofauti za mpira. Hispania wanacheza kwa uvumilivu na umiliki wa mpira,...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Zambia Anusurika Ajali ya Helikopta ya Jeshi

Makamu wa Rais wa Zambia, Mutale Namulango, amenusurika kifo baada ya Helikopta ya Jeshi la Anga la Zambia (ZAF) aliyokuwa...

READ MORE