×

Simba Yatinga Hatua ya Pili CAFCL kwa Kishindo, Yaifumua Mighty Wanderers bao 6-1

Simba SC imefanikiwa kusonga mbele hadi hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada...

READ MORE

Singida Black Stars Yathibitisha Mabadiliko ya Uongozi wa Klabu

Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umetangaza mabadiliko ya uongozi baada ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Ndg. Kassano...

READ MORE

Video: Diamond na Zuchu Watikisa Kawe! Shughuli ya Mtoto Wao Yawa Gumzo

Shughuli ya mtoto wa Diamond Platnumz na Zuchu imefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili Septemba 13, 2026 katika Ukumbi wa...

READ MORE

Mali Zenye Utata Zakamatwa Oysterbay! TRA na Polisi Wachunguza – Video

Mwenyekiti wa Mtaa wa Oysterbay, Mololo Abel Mwaisumo, amesema upekuzi uliofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na...

READ MORE

Tulia Ackson Amfariji Rais Samia Baada ya Msiba wa Mumewe – Picha

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Uyole, Tulia Ackson, amemfariji Rais...

READ MORE

Zanzibar: Wajumbe wa Kamati ya Pamoja CCM na ACT Wazalendo Watangazwa

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Ofisi ya Baraza la Mapinduzi imetangaza majina ya Wajumbe wa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano...

READ MORE

Old Trafford Kitawaka leo! Man United na Man City Kukutana Kwenye Derby Kali

Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukutana katika mchezo wa kusisimua wa Premier League leo Jumapili, Septemba 13, 2026, kwenye...

READ MORE

Vita vya Pointi Ulaya: Manchester Derby, PSG na Atletico Uwanjani

Wikendi hii inatarajiwa kuwa na ratiba yenye michezo mbalimbali kutoka katika ligi kubwa za soka barani Ulaya, huku baadhi ya...

READ MORE

Wezesha Mzawa Insurance Broker Watangaza Nafasi Nne za Kazi

Kampuni ya Wezesha Mzawa Insurance Broker Limited imetangaza nafasi za kazi kwa Watanzania wenye sifa na uzoefu katika sekta ya bima, mauzo,...

READ MORE

Filamu 8 Zilizoingiza Pesa Nyingi Zaidi Duniani Katika Historia

Sekta ya filamu imeendelea kuvunja rekodi za mapato duniani, huku baadhi ya filamu chache zikifanikiwa kuvuka alama ya dola bilioni...

READ MORE

Una Ujasiri? Gates Of Halloween Inakusubiri Meridianbet

Halloween ni wakati wa mavazi ya kutisha, hadithi za kusisimua na burudani isiyo ya kawaida, lakini mwaka huu Meridianbet imeamua...

READ MORE

Mlipuko wa Ebola Wapanuka DRC, Hofu ya Kuvuka Mipaka Yatanda

KINSHASA: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imethibitisha kuenea kwa mlipuko wa Ebola hadi eneo jingine nchini humo, hatua inayoongeza...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 13, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Vioo vya TV za Kisasa na Tofauti Zake OLED dhidi ya QLED

Enzi za televisheni zenye boksi kubwa na skrini nzito zimepita. Leo hii, teknolojia imebadilisha TV kuwa kifaa chenye uwezo mkubwa...

READ MORE

Yanga Yatinga Hatua ya Pili CAFCL Kwa Ushindi wa Jumla wa 3-2

YANGA imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya kuiondoa Gaborone...

READ MORE

Mpigie Kura Godmuya, Kura Yako Ni Ushindi! – Tuzo za Samia Kalamu Awards 2026

Mtangazaji wa @globaltvonline na @255globalradio, Godfrey Nathan @godmuya ameteuliwa kuwania tuzo za Samia Kalamu Awards 2026. 👉 Piga kura kupitia:...

READ MORE

Viongozi Mbalimbali Wamfariji Rais Samia Kizimkazi – Picha

KIZIMKAZI, ZANZIBAR: Viongozi mbalimbali wa dini, taasisi za umma na binafsi pamoja na makundi mbalimbali wameendelea kumfariji Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Awasili Tabora Kukagua Zahanati za JMKF

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwanzilishi pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Jakaya Mrisho...

READ MORE

Mfalme Oyo Azikwa Karambi, Uganda Yamuaga Kiongozi Wake wa Kifalme

FORT PORTAL, UGANDA: Mfalme Oyo Nyimba Kabamba Iguru Rukidi IV wa Ufalme wa Tooro, magharibi mwa Uganda, amezikwa katika Makaburi...

READ MORE

Doumbia Aandaliwa Kuikabili Mighty Wanderers Ligi ya Mabingwa Afrika

Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Doumbia, ni miongoni mwa wachezaji wanaoendelea na mazoezi maalumu kuelekea mchezo wa marudiano wa hatua...

READ MORE