Waziri Gwajima Akerwa na Udhalilishaji wa Mabinti Chuoni, Achukua Hatua
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ameeleza kusikitishwa juu ya kitendo cha mabinti kadhaa wa chuo kikuu wakishirikiana kumdhalilisha binti mwingine kwa maneno na vipigo, huku sababu…