The House of Favourite Newspapers

Milio ya bunduki, mabomu yasikika Nairobi

Wakazi wa jiji la Nairobi nchini Kenya leo Julai 7 , 2025 wamekuwa wakisikiliza milio ya bunduki na mabomu ya kutoa machozi ikilipuliwa tangu asubuhi kutoka barabara kuu ambako makundi ya vijana wamekuwa waking’ang’ana kulazimisha…

Watatu Wahofiwa Kufariki Ajali Ya Lori

Takribani watu watatu wanahofiwa kufariki dunia kufuatia ajali mbaya iliyotokea leo, Julai 7, 2025, katika eneo la Mtoni Msikitini, Temeke, jijini Dar es Salaam. Ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za…

NECTA Yatangaza Matokeo Ya Kidato Cha Sita

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) pamoja na Mitihani ya Ualimu, iliyofanyika mwezi Mei 2025. Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV — usisahau ku-like, ku-comment na…
Global TV