Rais Dkt. Samia Awasili kwenye Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (CAHOSCC) wa mwaka 2026, Februari 13, 2026, jijini Addis Ababa,…
Waziri Mkuu Mwigulu Akagua na Kufungua Jengo la ICU Handeni
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Februari 13, 2026, amekagua na kufungua Jengo la ICU katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni mkoani Tanga. Ujenzi wa Jengo hilo umegharimu kiasi cha shilingi milioni 426.
Jengo hilo…
Rais wa CAF Awasili Tanzania Kuhudhuria Mkutano Muhimu wa Soka
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, amewasili rasmi nchini Tanzania asubuhi ya leo kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kamati Tendaji ya Shirikisho hilo.
Mutsepe amepokelewa na Waziri wa Habari,…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali “Tunasogeza Huduma za Kisheria Karibu Zaidi na Wananchi”
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kupata huduma za ushauri wa kisheria katika…
Diamond Azua Gumzo Kwenye Picha ya Hamisa Mobetto na Mume Wake
Dar es Salaam, Februari 2026 – Comment ya Diamond Platnumz kwenye picha ya Hamisa Mobetto akiwa na mume wake Aziz Ki imezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hiyo iliyo postedwa na Juma Lokole, inaonesha Hamisa na mume…
Fursa Mpya za Ajira Usichelewe! Bank Teller 13 na Supervisor 7 Wanahitajika
Unatafuta kazi au unamjua anayehitaji ajira? Hii ni nafasi yako ya kuanza safari mpya ya mafanikio!
🏦 JOB JUNCTION TANZANIA wanatafuta watu makini kujiunga na timu yao:
🏦 BANK TELLER (13)
✅ Ujuzi wa kutumia Bank…
Shigongo Awahimiza Vijana Kujiamini na Kutumia Vipaji vyao Kujiletea Maendeleo – Video
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka vijana wa Kitanzania kujiamini na kuthamini vipaji walivyopewa, akisisitiza kuwa kila mmoja ana uwezo wa kubadilisha maisha yake na jamii inayomzunguka.
Akizungumza jana kwenye hafla ya…
Mbeto: Siku 100, Siyo Penalti Ya Mwisho Kwa Rais Samia, Ampa Tano Rais Mwinyi
KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Utikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, amesema Mafanikio katika kuwaletea wananchi maendeleo katika awamu yake ya Sita ya Rais hayapimwi Kwa siku 100 za uwepo wake madarakani…
Trump Aipa Iran Mwezi Mmoja Kufikia Makubaliano ya Nyuklia
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali zaidi kwa Serikali ya Iran, akitaka pande hizo mbili zifikie makubaliano ya kudumu ndani ya mwezi ujao, vinginevyo Marekani itaingia katika awamu ya pili ya shinikizo ambayo ameitaja kuwa…
Global TV Yang’ara Mlimani City, Yatwaa Tuzo ya Best Online Tanzania Creator’s Awards – Video
Global TV imeibuka mshindi katika kipengele cha Best Online Media kwenye Tanzania Creators Awards 2025 zilizofanyika Februari 12, 2026, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Kupitia ushindi huo, Global TV imetambuliwa kwa…
