Fursa Mpya za Ajira: TEMESA Yatangaza Nafasi 6 za Meneja wa Kanda
Kwa niaba ya Wakala wa Huduma za Ufundi za Umeme, Mitambo na Elektroniki Tanzania (TEMESA), Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa, weledi, uadilifu na ari…
Niffer Afunguka Mazito ‘Acha Kuishi Kwa Sababu ya Watu’
Mfanyabiashara maarufu na mwanamitandao anayefahamika kwa jina la Niffer, kupitia akaunti yake ya Instagram, ameibua mjadala mkubwa baada ya kushare ujumbe mzito wa kuhamasisha watu kujiamini na kufanya maamuzi magumu bila kuogopa…
Walid Aandika Barua ya Kujiuzulu Kuifundisha Timu ya Taifa Morocco
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui, ameripotiwa kuandika barua rasmi ya kujiuzulu wadhifa wake wa kuifundisha timu hiyo ya taifa.
Taarifa zinaeleza kuwa barua hiyo tayari imewasilishwa kwa Shirikisho la Soka la…
Nafasi ya Kazi: Sales and Marketing Officer – Wezesha Mzawa Microfinance
Position: Sales and Marketing Officer Location: Dar es Salaam Employment Type: Full-time
Application Deadline: February 20, 2026
About Us: We are a fast-growing Microfinance Organization committed to providing innovative financial…
Rais Samia Arejea Kutoka Mkutano wa Dunia wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam, akitokea Dubai, Umoja wa…
Balozi Mwamweta na RC Mtaka Wasaka Soko la Parachichi Ujerumani
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta anaongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania unaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mbogamboga ya Fruit Logistica 2026…
Nafasi za Kazi 26 Ofisi Ya Msajili wa Hazina Mwisho wa Maombi Februari 11, 2026
Dodoma, Tanzania – Ofisi ya Rais, Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) imezindua tangazo la ajira la viti 26 vya kuhamishwa kwa watumishi wa umma waliopo. Ajira hizi zinapatikana kupitia Office of Treasury Registrar (OTR) na ni…
Mazishi ya Mtoto wa Gaddafi kufanyika leo Ijumaa
Mtoto wa kiume wa aliyekuwa kiongozi wa muda mrefu wa Libya, Muammar Gaddafi, Saif al-Islam Gaddafi, anatarajiwa kuzikwa baadaye leo katika mji wa magharibi wa Bani Walid, eneo linalotajwa kuwa ngome ya wafuasi wa familia ya Gaddafi.…
Prof. Shemdoe Awataka Madiwani Kuwa Wanyenyekevu Kwa Wananchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka Waheshimiwa Madiwani nchini kuwa wanyenyekevu kwa wananchi katika kuwatumikia na kuwaletea maendeleo.
Prof.…
Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa?
Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali…
