Majaliwa: Rais Samia Ameimarisha Amani Kupitia 4R, na Ameongoza kwa mafanikio – Video
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amepongeza juhudi na uongozi bora wa Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, katika kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuliongoza…