Awamu ya Tano Mazungumzo ya Iran na Marekani Kufanyika Kesho
Esmail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, duru ya tano ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani itafanyika kesho Ijumaa nchini Italia.
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran…