Balozi Nchimbi: Fidia Mifugo Iliyotaifishwa Ihitimishwe
Asema ni muhimu kutekeleza maamuzi ya mahakama
Kampeni ya ‘Tutunzane’ itumike pia kwenye siasa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa maelekezo kwa Serikali, kupitia Ofisi ya Waziri…