×

Tanzania Yapata Mwakilishi Algeria, Mabula Asaini Js Kabylie

Kiungo wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Mabula Msanga, ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa klabu ya JS Kabylie ya Algeria....

READ MORE

Tottenham Yapigwa Chenga, Ndiaye Aelekea Man City Kwa Bilioni

Manchester City imefikia makubaliano na Everton kwa ajili ya kumsajili winga wa Senegal, Iliman Ndiaye, katika dili lenye thamani ya...

READ MORE

Messi Atangaza Kustaafu Timu Ya Taifa Argentina Baada Ya Miaka 21

Taifa laArgentina, limepokea habari ya kushtua katika ulimwengu wa soka baada ya Lionel Messi kutangaza rasmi kustaafu timu ya taifa...

READ MORE

Askari Polisi Afariki Akiwa Mahabusu Kituo Cha Polisi Tanga – Video

Tanga — Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limethibitisha kifo cha askari wake, H.1796 Koplo Mwita, aliyekuwa akishikiliwa kwa ajili...

READ MORE

Mambo Sita Usiyoyajua Kuhusu Faida na Hasara za Pilipili

Pilipili ni kiungo kinachotumiwa sana kwenye vyakula mbalimbali kutokana na ladha yake ya ukali. Ina kemikali iitwayo capsaicin ambayo ndiyo...

READ MORE

Aishi na Uvimbe Miaka 20 Aomba Msaada wa Matibabu, Afunguka Mazito -Video

Usemi wa Kiswahili “Kabla hujafa hujaumbika” unaakisi kwa kiasi kikubwa maisha ya Ester Juma, mwenye umri wa miaka 32, mkazi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 1, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Shalulile na Mudathir Waipeleka Yanga Kileleni, Yawafunga Fountain Gate 2-0

Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha umeshuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Fountain Gate FC na...

READ MORE

Video: Makamu wa Rais Awataka Watumishi Kuachana na Kazi kwa Mazoea

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano...

READ MORE

Nafasi za Kazi Wezesha Mzawa Microfinance – Loan Officer, Mwisho wa Maombi Agosti 31, 2026

We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will...

READ MORE

Maduro Aonekana kwa Mara ya Kwanza Akiwa Gerezani Marekani

Aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya gereza nchini Marekani, miezi kadhaa...

READ MORE

Miamba ya Ulaya Uwanjani Barça na Arsenal Kusaka Ushindi Leo

Mechi kali zinatarajiwa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku tayari Meridianbet wakiwa wamekuwekea Odds za kuvutia. Je nani unampendelea zaidi kukupatia...

READ MORE

Msichana wa Miaka 14 Auawa Akirekodi Tiktok, Kijana wa Miaka 17 Akamatwa

Washington, D.C. — Kifo cha kutatanisha cha Zytina Mason-Brown, msichana mwenye umri wa miaka 14, kimechukua mwelekeo mpya baada ya...

READ MORE

Majalila & Kilimanjaro FC Za Katavi Zapokea Vifaa Vya Michezo Kutoka Meridianbet

Mchezo wa soka katika manispaa ya Tanganyika, Katavi umeendelea kupata nguvu mpya baada ya Meridianbet kufanya zoezi jingine la uwajibikaji kwa...

READ MORE

Marekani Yashambulia Iran, Drone Yaangushwa Mlango wa Hormuz – Video

WASHINGTON — Marekani imetekeleza mashambulizi dhidi ya Iran baada ya vikosi vyake kushambulia vizindua viwili vya roketi katika Kisiwa cha...

READ MORE

Mr. Cheeks wa Lost Boyz Kutua Arusha Septemba 19, Miaka 30 Ya Bongo Flava

ARUSHA — Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Flava imethibitisha ujio wa rapa mkongwe kutoka nchini...

READ MORE

Mnyika Kuendelea Kutoa Utetezi Kesi Ya Uhaini Inayomkabili Lissu leo

DAR ES SALAAM — Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Agosti 31, 2026, anaendelea...

READ MORE

Iran Yashambulia Kambi Mbili Za Marekani Nchini Jordan

Iran  imefanya mashambulizi kwenye kambi mbili za kijeshi za Marekani nchini Jordan, kwa kutumia makombora ya ndege zisizo na rubani...

READ MORE

Kiongozi Wa Upinzani Akabiliwa Na Mashtaka Ya Uhaini Zambia

LUSAKA, Zambia — Mawakili wa kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, wamethibitisha kuwa mteja wao amefikishwa mahakamani na kushtakiwa...

READ MORE

Mawakili wa Mtoto wa Rwakatare Watoa Tahadhari Kuhusu Mali za Mirathi – Video

Mawakili Nicholas Mugarura, Mwesigwa Muhingo na David Saire Manoti, wanaomwakilisha mmoja kati ya watoto wa marehemu Mchungaji Getrude Rwakatare wametoa...

READ MORE