×

Fahamu Kanisa la ajabu Barcelona, Ujenzi wake Wachukua Miaka 140

Ukiambiwa kuna kanisa ambalo ujenzi wake umechukua zaidi ya miaka 140 na bado haujakamilika, huenda ukashangaa. Lakini hali hiyo ipo...

READ MORE

Jux na Priscy Waweka Wazi Sura ya Mtoto Wao Kwa Mara ya Kwanza

Mwanamuziki wa Bongo Flava, Juma Jux, na mke wake Priscilla Ojo, maarufu kama Priscy, wamezua gumzo mitandaoni baada ya kuamua...

READ MORE

Netanyahu Aingia Mtegoni, Uturuki Yataka Interpol Imkamate

Uturuki imetangaza hatua ya kutaka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akamatwe kimataifa kufuatia uchunguzi kuhusu shambulio dhidi ya wanaharakati...

READ MORE

Rais wa UEFA Čeferin Amtaka Infantino Kujiuzulu Urais wa FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA), Aleksander Čeferin, amemtaka Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kujiuzulu nafasi hiyo, huku akisema...

READ MORE

Fahamu Mwanamume Aliyeweka Historia kwa Kubuni Simu ya Mkononi

Martin Cooper ni mhandisi wa Marekani anayefahamika duniani kama mmoja wa waanzilishi wakuu wa simu ya mkononi. Jina lake limeingia...

READ MORE

Aishi na Uvimbe Miaka 20 Aomba Msaada wa Matibabu, Afunguka Mazito -Video

Usemi wa Kiswahili “Kabla hujafa hujaumbika” unaakisi kwa kiasi kikubwa maisha ya Ester Juma, mwenye umri wa miaka 32, mkazi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 25, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Tundu Lissu Afunguka Hadharani; Nimepigania Haki Tangu Nikiwa Shuleni – Video

Ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye sasa...

READ MORE

Mbunge Shigongo Aipongeza Kanisa Katoliki Kwa Kuhubiri Amani – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amelipongeza Kanisa Katoliki kwa mchango wake katika kuhubiri amani na utulivu nchini Tanzania. Shigongo ametoa...

READ MORE

Utata Wa Neema Na Mwajiri Wake Wafikia Mwisho, Zali Mapito Afika Oman Kufuatilia – Video

Mtangazaji wa Global TV Online na 255 Global Radio, Zali Mapito, yupo nchini Oman kufuatilia hali ya binti mdogo wa...

READ MORE

Leo Ni Leo! Yanga na JKT Tanzania Kukiwasha KMC Complex

Yanga SC leo Agosti 24, 2026 inatarajiwa kushuka dimbani kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania...

READ MORE

Mama Wa Miaka 18 Ashtakiwa kwa Mauaji Ya Mtoto Wake Wa Miaka Miwili

Mwanamke mwenye umri wa miaka 18, Devorah Diaz Perez, amekamatwa na kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wake wa kiume mwenye...

READ MORE

Simba Yarudi Meja Isamuhyo, Yafichua Ratiba Yake Kimataifa

Klabu ya Simba leo Agosti 24, 2026  imetangaza kurejea kutumia Uwanja wa Meja Isamuhyo kama uwanja wake wa nyumbani katika...

READ MORE

Tume ya Jaji Lila Yaanza Kazi, Wahusika wa Ghasia za Uchaguzi Kuchunguzwa

Dar es Salaam, Agosti 24, 2026 — Tume ya Kuchunguza Wahusika, Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria Wakati na Baada ya...

READ MORE

EPL na Serie A Kutamba leo, Chelsea na Roma Kuwania Pointi Tatu

Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajaili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi...

READ MORE

Mchezaji Afariki Dunia Baada Ya Kuanguka Uwanjani

Kiungo wa zamani wa West Bromwich Albion, Quévin Castro, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 25 baada ya kuanguka...

READ MORE

Binti wa Museveni Atawazwa Kuwa Askofu wa Kanisa la CNC Uganda

KAMPALA, Uganda — Pastor Patience Rwabwogo, binti wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, ametawazwa kuwa Askofu wa Covenant Nations Church...

READ MORE

Iran Yatoa Onyo Kali Kuhusu Vikwazo Vipya vya Marekani

Iran imeonya kuwa nchi yoyote itakayounga mkono vikwazo vipya vya kiuchumi vinavyotarajiwa kutangazwa na Marekani dhidi ya Iran itachukuliwa kuwa...

READ MORE

Brighton Yaichakaza Aston Villa 4-0, Liverpool Yaokolewa Na Penalti Ya Dakika Za Mwisho

Brighton imeanza kwa kishindo msimu wa 2026/27 wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Aston Villa mabao 4-0 katika mchezo...

READ MORE

Tundu Lissu Kuendelea Kujitetea Kesi ya Uhaini Leo Mahakamani

Shauri la uhaini namba 19605/2025 linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linaendelea leo Agosti 24, 2026 katika Mahakama Kuu ya...

READ MORE