×

Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa...

READ MORE

Kikwete Amwakilisha Rais Samia Mazishi ya Kitaifa ya Rais Mstaafu Mogae Botswana

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo tarehe 16 Mei...

READ MORE

Manchester United Yamthibitisha Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu

Manchester United wamefikia makubaliano ya kumteua Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa klabu hiyo baada ya kufanya vizuri...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Tajiri wa Afrika Aliko Dangote

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 16, 2026 amekutana na Mfanyabiashara maarufu kutoka Nigeria na Mwanzilishi wa Dangote...

READ MORE

Pep Guardiola Kwenye Mtihani Mzito Dhidi ya Chelsea Fainali ya FA Cup

Fainali ya Kombe la FA natarajiwa kuchezwa leo Jumamosi katika uwanja wa Wembley Stadium, ambapo miamba miwili ya soka nchini...

READ MORE

Video: Mjumbe, Majirani wa Mganga Wafunguka Kupatikana Kichwa cha Marehemu James Temba Kitunda

Global TV imefika eneo la Kitunda Kibeberu, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, ambako kichwa cha marehemu James Temba...

READ MORE

Mbunge Shigongo Aibua Kilio cha Wananchi Wanaoshambuliwa na Mamba – Video

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo ameibua tena bungeni changamoto ya wananchi wa jimbo lake kushambuliwa na mamba wanapokuwa wakifanya shughuli...

READ MORE

Nicki Minaj Afunguka Sababu ya Kumuunga Mkono Trump Hadharani

Rapa maarufu Nicki Minaj amesema kuwa mastaa wengi wa burudani wanaunga mkono mawazo yake kuhusu Donald Trump lakini wanaogopa kusema...

READ MORE

Trump Aionya Taiwan Dhidi ya Kutangaza Uhuru wake Kutoka China

Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Taiwan dhidi ya kutangaza rasmi uhuru wake kutoka China, saa chache baada ya kumaliza...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Yatangaza Nafasi 2 za Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi, kufuatia kibali kutoka...

READ MORE

Mfadhili wa Reform UK Afichuliwa Kuwa Miongoni mwa Matajiri nchini Uingereza

Mwekezaji wa sarafu za kidijitali, Christopher Harborne, ambaye alimpatia kiongozi wa chama cha Reform UK Nigel Farage zawadi ya pauni...

READ MORE

Jasinta Makwabe Aweka Wazi Aina ya Mwanaume Anayemtaka

Mwanamitindo, Jasinta Makwabe, ameibua mjadala mtandaoni baada ya kuweka wazi kuwa hawezi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume ambaye amemzidi urefu....

READ MORE

Skyward Deluxe Yaibua Msisimko Mpya Meridianbet Tanzania

Kama wewe ni mtu wa michezo ya kasino yenye msisimko wa kweli, basi Skyward Deluxe ya Meridianbet imekuja kuifanya Mei...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 16, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Video: Fahamu Ushahidi Uliomtia Hatiani ‘Mr Blue’ Na Kuhukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Ezenia (Part 1&2)

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Abdalah Mussa maarufu Mr. Bluu, baada ya kupatikana...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Yanga Yaanza Rasmi Ujenzi wa Uwanja Wake wa Kihistoria – Video

Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi...

READ MORE

TAKUKURU Yaimarisha Mapambano Dhidi ya Rushwa na Upotevu wa Mapato

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni imefanikiwa kudhibiti upotevu wa mapato ya zaidi ya shilingi...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Tabasamu Tandale Kupitia Msaada wa Vyakula

Ndani ya Tandale, kuna hadithi mpya ya matumaini inayojengwa kupitia nguvu ya mshikamano wa kijamii. Meridianbet imeweka tofauti si kwa...

READ MORE

Video: Trump na Xi Wakubaliana Iran Isitengeneze Silaha za Nyuklia

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yeye na Rais wa China Xi Jinping wamekubaliana kuwa Iran haipaswi kuruhusiwa kumiliki silaha...

READ MORE