Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo Na Waziri Wa Mambo Ya Nje Fedha Na Taasisi Ya Kuke Ya Poland
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Fedha pamoja na Taasisi ya Usafirishaji wa Bima ya Mikopo (KUKE) kutoka nchini Poland ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma…
Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video
Mzee Athuman Mshomari almaarufu Mzee Tifutifu, ambaye anadai kuwa ni mganga wa kienyeji, amedai kuwa yeye ndiye chanzo cha matokeo mabaya yanayoikumba Klabu ya Simba, ikiwemo kufungwa mara kwa mara na kushuka kwa kiwango cha uchezaji wa…
Pep Guardiola Azungumzia Mauaji Marekani, Israel, Ukrane – Video
Pep Guardiola amesema atatumia nafasi yake kama mmoja wa watu wanaosikilizwa zaidi duniani kuzungumzia “maumivu” anayohisi kuhusu waathiriwa wa migogoro ya kimataifa, akisisitiza kuwa hawezi kukaa kimya anapoona mateso ya raia wasio na…
Taarifa ya Polisi Kuhusu Kundi la Uasi Mwanza – Video
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetoa wito kwa wananchi kuzipuuza taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zenye kichwa cha habari kinachodai kuwa “kundi la uhasi laibuka Mwanza, Polisi waonekana mitaani.”
Jeshi hilo limeeleza…
Rais Samia Akizungumza Jambo na Makamu Rais wa UAE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, kando ya Mkutano wa…
Rais Samia Atangaza Fursa za Uwekezaji Tanzania Mbele ya Viongozi wa Dunia
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa hakikisho la miundombinu bora ya uwekezaji nchini kwa wawekezaji duniani, akisema Tanzania imewekeza vema katika ujenzi wa reli, nishati, bandari na miundombinu ya uchukuzi.
Miundombinu…
Makamu Nchimbi Kwenye Mazishi ya Munde Tambwe Tabora
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, amewasili katika Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora mkoani Tabora, kushiriki msiba wa marehemu Munde na kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa pamoja na wananchi wa eneo…
Rais Kiir Awafutia Kazi Wasaidizi Wawili Baada ya Kuteua Marehemu
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amewafuta kazi wasaidizi wake wawili waandamizi kufuatia kashfa ya kumteua mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita kuhudumu katika jopo muhimu la mazungumzo ya uchaguzi.
Uteuzi wa Steward Soroba…
Ndege ya Iran Yadunguliwa na Jeshi la Marekani Karibu na Meli ya Kivita
Jeshi la Marekani limedungua ndege isiyo na rubani (drone) ya Iran baada ya kukaribia kwa umbali hatari meli ya kivita ya Marekani katika Bahari ya Arabia, tukio linaloashiria kuongezeka kwa mvutano wa kijeshi kati ya mataifa hayo mawili…
Nafasi za Kazi: Walimu wa Chemistry, Physics, Biology na Mathematics Wanahitajika Haraka
Buchosa Smart Class inatangaza nafasi nne (4) za ajira kwa walimu wa Sekondari katika masomo yafuatayo:
1. Chemistry
2. Physics
3. Biology
4. Mathematics
SIFA ZA MWOMBAJI
-Mwombaji anatakiwa awe na elimu
inayotambuliwa kisheria…
