×

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Adai hajui Kama Tundu Lissu Aliwahi Kuwa Rais wa TLS

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria...

READ MORE

Video: Trump Aipa Iran Onyo Baada ya Mashambulizi ya Wahouthi Yemen

Rais wa Marekani, Donald Trump, leo Julai 23, 2026 ameonya kuwa iwapo waasi wa Houthi nchini Yemen wataendelea kufanya mashambulizi...

READ MORE

Uwoya Akanusha Kufunga Ndoa na Dogo Janja “Nina Ndoa Moja Tu”

Muigizaji wa filamu nchini, Irene Uwoya, amesema hajawahi kufunga ndoa na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Dogo Janja, akisisitiza kuwa ndoa...

READ MORE

Wabunifu, Wasanii Wahimizwa Kushiriki Mashariki Creative Economy Expo 2026

Wabunifu, wasanii na wadau wa sekta ya ubunifu wamehimizwa kujitokeza kushiriki katika Jukwaa la Mashariki Creative Economy Expo 2026, ambalo...

READ MORE

Kocha Mpya wa Yanga, Manqoba Mngqithi Aanza Kazi

Kocha mpya wa klabu ya Young Africans (Yanga SC), Manqoba Mngqithi, leo Julai 23, 2026 ameanza rasmi majukumu yake ya...

READ MORE

Dynamo Kyiv dhidi ya PAOK FC: Mechi ya Kufuzu Europa League Kupigwa Leo

Mbali na takwimu za kawaida za mechi, kuna hadithi ya kuvutia inayozunguka mchezo wa leo kati ya Dynamo Kyiv na...

READ MORE

Meridianbet na UFC Waunganisha Nguvu Kwenye Tukio la Kihistoria Belgrade

Tarehe 1 Agosti 2026 itaingia kwenye historia ya michezo ya mapambano wakati UFC itakapofanya tukio lake la kwanza kabisa nchini...

READ MORE

Polisi Arusha Wafungua Milango Ya Ajira Kwa Vijana Wa Mazingira Magumu

Ndoto za vijana wanaoishi katika mazingira magumu mkoani Arusha zimeanza kupata mwanga baada ya Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha...

READ MORE

Inter Miami Yamtambulisha Casemiro, Lakini Yakumbwa na Uchunguzi

Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United...

READ MORE

Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi ya Haki ya Faragha Gerezani – Picha

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amefikishwa tena katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es...

READ MORE

Makosa 7 Yaliyosababisha Ajali ya Meli ya Costa Concordia na Vifo vya Watu 32

Ajali ya meli ya kifahari Costa Concordia iliyotokea Januari 13, 2012, na kusababisha vifo vya watu 32 imeendelea kukumbukwa kama...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa AU Kuhusu Afya Ghana – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali...

READ MORE

Simba Yapata Pigo, Kiongozi Iddi Kajuna Afariki Hospitali ya Muhimbili

Klabu ya Simba SC imetangaza kwa masikitiko kifo cha Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano, Iddi Kajuna, kilichotokea usiku wa...

READ MORE

Saudi Arabia na Marekani Wasaini Mkataba wa Matumizi ya Nishati ya Nyuklia

Saudi Arabia na Marekani zimesaini makubaliano ya ushirikiano kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia kwa madhumuni ya amani, hatua inayolenga...

READ MORE

Drops & Wins Yaibuka na Ushindi wa Hadi Mara 100,000 ya Dau

Kama unapenda kasino yenye mzuka, msisimko na nafasi kubwa ya kushinda, basi Drops & Wins ya Pragmatic Play ndani ya...

READ MORE

Serikali Yapongeza Stanbic kwa Kuwekeza Katika Malezi na Makuzi ya Mtoto

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amefungua rasmi Kituo cha Malezi na Makuzi ya Awali ya...

READ MORE

Zanzibar Yazindua Mabasi Ya Umeme Zanbus, Mixx Kusimamia Malipo Ya Kidijitali

Zanzibar, Julai 23, 2026 – Wakazi wa Zanzibar sasa watanufaika na mfumo wa kisasa wa usafiri wa umma usiotumia fedha...

READ MORE

Kipa wa Mexico Guillermo Ochoa Astaafu Soka Baada ya Miaka 22

Kipa maarufu wa Mexico, Guillermo Ochoa, ametangaza kustaafu soka la kulipwa baada ya kuweka historia ya zaidi ya miaka 22...

READ MORE

Sababu 7 Zinazofanya Maziwa Kuwa Muhimu kwa Afya ya Mwili

Maziwa ni moja ya vyakula vyenye virutubisho muhimu vinavyosaidia ukuaji na uimarishaji wa mwili. Kunywa maziwa kwa kiasi kinachofaa kunaweza...

READ MORE

Polisi Wadai Kupata ‘Burn Box’ Nyumbani kwa D4vd Katika Kesi ya Mauaji

Maafisa wa Polisi wa Los Angeles (LAPD) wameieleza mahakama kuwa walikuta kifaa kinachoitwa “burn box” nyumbani kwa msanii D4vd, wakati...

READ MORE