Mtoto Nilsa Afariki Dunia Akipatiwa Matibabu
Mtoto Nilsa, ambaye alikuwa akiishi na changamoto ya kiafya tangu kuzaliwa, amefariki dunia leo, Januari 18, 2026.
Kifo cha Nilsa kimethibitishwa na baba yake mzazi, Saimon Braison, kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, ambapo…
Kiongozi Mkuu wa Iran Amshutumu Trump kwa Vifo vya Waandamanaji – Video
Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, siku ya Jumamosi amemlaumu Rais wa Marekani Donald Trump kwa wiki kadhaa za maandamano nchini Iran ambayo, kwa mujibu wa makundi ya kutetea haki za binadamu, yamesababisha vifo vya zaidi ya…
Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT), anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa, uwezo na nia ya kufanya kazi serikalini kujaza nafasi 142 kama…
Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa
Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake, OG Phone and Accessories, akieleza kuwa uamuzi huo umefikiwa kwa utulivu, heshima na bila chuki wala…
Maswali 10 Unayotakiwa Kumuuliza Mtu Unayetaka ‘Kudate’ Naye!
WIKI hii nitazungumzia maswali 10 ambayo unatakiwa kumuuliza mtu unayetaka kudate naye ili majibu yake yakupe mwanga wa kinachoweza kutokea ndani ya uhusiano wako.
UPO SINGLE AU NI MTALAKA?
Unapoanza uhusiano mpya na mtu, moja ya…
Senegal Yatwaa Ubingwa, Sadio Mané Aibuka Mchezaji Bora
Mchezaji wa klabu ya Al Nassr na timu ya Taifa ya Senegal, Sadio Mané, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashindano ya AFCON 2025 baada ya kuiongoza Senegal kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa ushindi wa bao 1–0 dhidi ya wenyeji Morocco.…
Zambia Yadhibiti Matumizi ya Dola, Kwacha Yapaa Afrika
Kwa sasa, Kwacha ya Zambia inatajwa kuwa miongoni mwa sarafu zinazofanya vizuri zaidi barani Afrika dhidi ya Dola ya Marekani, hali iliyozua mjadala mpana kuhusu sababu za mafanikio hayo.
Moja ya sababu kuu ni sekta ya madini ya shaba…
Kwagilwa Atoa Siku 30 Kukamilisha Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Reuben Kwagilwa (Mb), ametoa muda wa mwezi mmoja kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuhakikisha unakamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara…
Sababu 7 Kwanini Wagonjwa wa Pressure Wanatumia Kitunguu Saumu
High blood pressure (hypertension) ni sababu kubwa ya magonjwa ya moyo, kiharusi na uharibifu wa figo. Kwa muda mrefu, tiba asili zimekuwa zikisisitiza umuhimu wa lishe na mimea tiba katika kuzuia na kudhibiti shinikizo la damu na…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 19, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
