×

Furaha Kwa Wamiliki Wa Magari, Petroli Yashuka Kwa Shilingi 102 Na Dizeli Shilingi 101 Kila Lita

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za bidhaa za mafuta ya petroli nchini,...

READ MORE

Julián Álvarez Aamua Kubaki Atletico Madrid, Aikataa Arsenal

Mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, ameamua kuendelea kusalia katika klabu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa za kuhusishwa na...

READ MORE

Davido Aongoza Afrimma 2026 Kwa Nominations Tano

Msanii wa Nigeria, Davido, ameibuka kuwa msanii mwenye uteuzi mwingi zaidi katika tuzo za AFRIMMA 2026 baada ya kutajwa katika...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Magari ya Jetour na Sababu Zinazoyafanya Yazidi Kupata Umaarufu

Katika miaka ya hivi karibuni, magari ya Jetour yameendelea kujijengea umaarufu mkubwa katika soko la kimataifa na Afrika, ikiwemo Tanzania....

READ MORE

Mwanamke Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Mumewe – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovita Bateguye Budyo, mwenye umri wa miaka 30, kwa tuhuma za kumuua mumewe,...

READ MORE

Antonio Rüdiger Afunga Ukurasa wa Ujerumani Baada ya Mechi 86

Beki wa Real Madrid, Antonio Rüdiger, ametangaza rasmi kustaafu kucheza soka la kimataifa akiwa na timu ya taifa ya Ujerumani....

READ MORE

Ligi ya Mabingwa Kuanza Septemba 4, Simba na Yanga Kuwakilisha Tanzania

Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) inatarajiwa kuanza rasmi Septemba 4, 2026, huku Tanzania ikiendelea kuwakilishwa na...

READ MORE

Vitu Muhimu 9 vya Kuzingatia Wakati wa Kununua Gari

Kununua gari ni uamuzi mkubwa wa kifedha na unahitaji uangalifu mkubwa. Iwe unanunua gari jipya au lililotumika, kuna mambo muhimu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 2, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Ebola Yazidi Kusambaa DRC, Vifo Vyakaribia 3,000 Afrika

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inakabiliwa na ongezeko kubwa la maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, huku idadi ya wagonjwa...

READ MORE

Tanzanite Queens Kukiwasha na Brazil, England na Canada Kombe la Dunia U-20

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite Queens, imeondoka nchini kuelekea Poland tayari...

READ MORE

Haakon Viii Aapa Kiapo Cha Katiba, Aanza Rasmi Utwala Wa Norway

Mfalme mpya wa Norway, Haakon VIII, ameapa rasmi kuilinda Katiba na sheria za nchi hiyo katika hafla iliyofanyika Bungeni mjini...

READ MORE

Video: Ndejembi Awasalimu Wananchi Moshi, Atoa Ahadi Kwa Rais Samia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amewasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, waliokusanyika...

READ MORE

Video: Kesi ya Lissu Yaahirishwa, Mnyika Kuendelea Kudodoswa Kesho

 Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho Septemba 2, 2026, huku Katibu Mkuu wa chama hicho,...

READ MORE

Trump Atishia Kuijibu Iran Kwa Nguvu Baada Ya Mashambulizi Mapya

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya Iran baada ya nchi hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya...

READ MORE

Pitso Mosimane Apewa Tena Usukani wa Bafana Bafana

Shirikisho la Soka la Afrika Kusini (SAFA) limemtangaza Pitso Mosimane kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya taifa ya Afrika...

READ MORE

Mnyika Akabiliwa Maswali Mazito Mahakamani Katika Kesi Ya Lissu

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amekabiliana na maswali makali kutoka kwa Wakili wa Serikali, Katuga, wakati akiendelea kutoa ushahidi...

READ MORE

Ndejembi Atua Kilimanjaro, Asalimiana Na Viongozi – Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro...

READ MORE

Kikosi Cha Man City Cha 2023 Chaanza Kutoweka, Wabaki Wachezaji Wawili

Kikosi cha Manchester City kilichotwaa UEFA Champions League mwaka 2023 na kukamilisha Treble kinaendelea kuvunjika, huku wachezaji wengi waliokuwa sehemu...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Nchini Kwenda Zambia Kwa Uapisho Wa Hichilema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 1, 2026, ameondoka nchini kuelekea Lusaka, Zambia,...

READ MORE