×

Bruno Fernandes Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora EPL 2025/26

Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes ametangazwa rasmi kuwa Mchezaji Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Uingereza 2025/2026 baada...

READ MORE

Video: Okello Afunguka Sababu ya Kufurahia Kulinganishwa na Chama

Mchezaji wa Young Africans S.C. Allan Okello amezungumza na Global TV kuhusu watu wengi kumfananisha na Chama. Amesema: “Napata nguvu...

READ MORE

Real Madrid vs Athletic Club: Vita ya Heshima na Tiketi ya Europa Leo

Mchezo huu wa mwisho wa ligi unakuja wakati Real Madrid wakiwa tayari wamejihakikishia nafasi ya pili, ilhali Athletic bilibao wanapigania...

READ MORE

Fursa ya Ajira kwa Mabinti Wenye Ujuzi wa Mauzo Dar – City Mall na Aura

Kampuni inayojihusisha na shughuli za mauzo ndani ya maduka ya Shopers, City Mall pamoja na Aura imetangaza nafasi za kazi...

READ MORE

PSRS Yatangaza Nafasi za Kazi 309 – Chuo Ushirika Moshi, TRC, eGA, ARU na Nyingine

Ofisi ya Rais – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) imetangaza rasmi nafasi kubwa za ajira 309 katika...

READ MORE

Trump Afunguka Ugumu wa Kuhudhuria Harusi ya Mwanaye Katika Kisiwa cha Bahamas

Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda asihudhurie harusi ya mtoto wake mkubwa, Donald Trump Jr (48), kutokana na majukumu...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Equator ya Uganda Yanayowashangaza Watalii Duniani

Uganda ni moja ya mataifa yenye vivutio vya kipekee duniani, lakini miongoni mwa maeneo yanayowavutia zaidi watalii ni uzoefu wa...

READ MORE

De Zerbi Afunguka Mpango wa Kuibadili Spurs Baada ya Kunusurika Kushuka Daraja

Kocha wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema tayari ana maono ya wazi kuhusu nini kifanyike kuirejesha timu hiyo kwenye...

READ MORE

Mke wa Zamaini wa Donald Trump Jr Apatikana na Saratani ya Matiti

Vanessa Trump, aliyewahi kuwa mke wa Donald Trump Jr, amethibitisha kupatikana na ugonjwa wa saratani ya matiti kupitia taarifa aliyochapisha...

READ MORE

Kama Unataka Mkwanja Fasta, Gates of Arabia Ni Mchezo Wako

Kama unajua raha ya kuona mchezo ukilipuka na ushindi kuingia fasta, basi Gates of Arabia kutoka Meridianbet ni mchezo wako...

READ MORE

Ukiwa na Tabia Hizi, Mwanaume Lazima Akukimbie!

MUNGU ni mwema wapenzi wasomaji wa safu hii. Jumamosi nyingine tena tunakutana na kuweza kupeana darasa la uhusiano. Kujifunza ni...

READ MORE

Manchester United Yamtangaza Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa kudumu

  Manchester United imemtangaza rasmi Michael Carrick kuwa kocha mkuu wa kudumu wa timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili...

READ MORE

Angalia Maajabu Ya Mazda CX‑50 Toleo la Kipekee Kwenye Macho!

Kama unatafuta SUV yenye muundo wa kuvutia, nguvu za barabarani, na teknolojia ya kisasa, basi Mazda CX‑50 ni chaguo lisilo...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 23, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Yanga Yarudi Kileleni Baada ya Ushindi Mnono wa 3-0 Dhidi ya Singida Black Stars

Yanga wamefanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0...

READ MORE

Video: Shigongo Aitaka Serikali Kutunga Sheria ya Uwezeshaji Kiuchumi

Mbunge wa Jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo, ametaka kutungwa sheria maalumu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kuwasaidia Watanzania...

READ MORE

Video: Makonda Afunguka Sababu ya Rio Ferdinand Kutoposti Mitandaoni Akiwa Tanzania

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema alimwomba mwanasoka wa zamani wa kimataifa kutoka Uingereza na Manchester...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Yatangaza Fursa za Uwekezaji

Halmashauri ya Wilaya ya Njombe kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia baina ya Serikali na Sekta Binafsi (PPPC) inakualika kuwekeza...

READ MORE

Iran Yakataa Kusafirisha Uranium Yake Nje, Mazungumzo na Marekani Yaingia Dosari

Iran imekataa kusafirisha nje akiba yake ya uranium iliyorutubishwa kwa kiwango cha juu, hatua inayoweza kuongeza mvutano katika mazungumzo ya...

READ MORE

Video: Jinsi Polisi Walivyohukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Mfanyabiashara Wa Madini

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara iliwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili kati ya maofisa saba wa jeshi la...

READ MORE