×

Video: Makonda Awaomba Watanzania Kuwapa Morali Serengeti Boys

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anawatunza, anawalea na...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mazungumzo na Putin Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo rasmi na Rais...

READ MORE

Kafulila: Ubunifu na Taasisi Imara Ndio Nguvu ya Uchumi wa Taifa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulila, amesema moja ya...

READ MORE

Afrika Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026 Yapeleka Timu 10

Afrika imeweka rekodi mpya ya kihistoria baada ya kupata wawakilishi 10 katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Marekani,...

READ MORE

Rais Samia Aweka Shada la Maua Kaburi la Askari Asiyejulikana Moscow

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua katika Kaburi la Askari Asiyejulikana...

READ MORE

Global TV Online Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Content Moderator

GLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...

READ MORE

Mashambulizi ya Makombora Yazidisha Hali ya Taharuki Mashariki ya Kati – Video

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka kwa kasi baada ya Iran kudai kuhusika na mashambulizi dhidi ya maeneo ya...

READ MORE

Kiungo wa Serengeti Boys Aibuka Mfungaji Bora Mashindano ya AFCON U17

Kiungo wa Serengeti Boys, Dismas Athanasi, ameibuka mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Dar, Serikali Yaweka Ruzuku Kwenye Dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi bei mpya za kikomo za bidhaa za mafuta...

READ MORE

Live In-Play Booster Yaleta Mabadiliko katika Ubashiri wa Mubashara

Live In-Play Booster ni huduma ya Meridianbet inayowezesha wateja kubashiri mechi zinazoendelea (live matches) na kupata odds zilizoboreshwa papo kwa...

READ MORE

Fahamu Kiumbe Cha Bahari Chenye Siri Nyingi Za Kushangaza, Soma Hapa

Pweza ni kiumbe cha baharini chenye maajabu mengi ikiwemo kuwa na mioyo 3 ambapo moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu...

READ MORE

Pia Sloti ya Meridianbet Yaleta Msisimko wa Safari ya Ushindi

Kila siku huleta nafasi mpya, na sasa Meridianbet imekuja na Pia Sloti ili kukupa fursa ya kujaribu bahati yako kwenye...

READ MORE

Senegal Watwaa Ubingwa wa AFCON U-17 Baada ya Kuifunga Tanzania Kwa Penalti (Picha +Video)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika...

READ MORE

Mambo 8 ya Kujua Kabla ya Kuchukua Gari la Kukodi ‘Usifanye Makosa’

Kukodisha gari kumekuwa suluhisho rahisi kwa watu wengi wanaosafiri kikazi, kitalii au kwa matumizi ya muda mfupi. Iwe unasafiri ndani...

READ MORE

Fahamu Tofauti Kati ya UTI na Malaria Unazopaswa Kuzijua

Kuna watu hujikuta wakiwa na homa na kudai wana malaria kumbe ni ugonjwa wa UTI. Tunawalete tofauti za magonjwa hayo....

READ MORE

Namba za Wachezaji England Zafichua Mfumo Unaotarajiwa

Timu ya taifa ya England imetangaza rasmi namba za wachezaji wake kuelekea Kombe la Dunia 2026, hatua ambayo imeacha dalili...

READ MORE

Kesi Mpya Yaibuka Dhidi ya Diddy, Ofisi ya D.A. Yachunguza Ushahidi

Los Angeles, Marekani — Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Jimbo la Los Angeles (D.A.) inaendelea kufanya mapitio ya kesi mpya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 3, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Utajuaje Kama Uliyenaye Ni Mtu Sahihi Kwako? Soma Hapa

UNAPOANZISHA uhusiano mpya, bila shaka unakuwa na matarajio makubwa ndani ya moyo wako kuhusu yale unayotarajia mwenzi wako atakufanyia au...

READ MORE

Barnaba Ataja Hasara Aliyoipata Studio Kuungua ”Ni Zaidi Ya Tsh Mil 100″ – Video

Studio za msanii wa Bongo Fleva, Barnaba Classic, zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia Juni 1, 2026 katika eneo la...

READ MORE