×

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Mechi Mbili Kubwa Kuteka Hisia za Mashabiki leo

Nyasi kuwaka moto leo kwenye mechi za michuano mikubwa Duniani ambapo mataifa makubwa uanatarajiwa kushuka dimbani kuoneshana mbavu. Je nani...

READ MORE

Kampuni ya Ujenzi Yatangaza Nafasi za Kazi kwa Wahandisi Waliosajiliwa

JOB VACANCY – REGISTERED ENGINEERS A reputable construction company is looking for qualified and motivated *Registered Engineers* to join our...

READ MORE

Waziri wa TAMISEMI Aielekeza Kampuni ya CRBC Kukamilisha Ujenzi wa Barabara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametaka...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Alivyoongoza Mazishi Ya Msanii Mkongwe Mzee Onyango

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, jana tarehe 13 Juni 2026, amejumuika...

READ MORE

Iran Yatangaza Ratiba ya Mazishi ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei

Iran imetangaza rasmi ratiba ya mazishi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, ambaye alifariki dunia...

READ MORE

Golden Goal Rewards Yaanza Rasmi, Washindi Kusaka Milioni 450

Kama unapenda michezo ya kasino yenye msisimko, Golden Goal Rewards ni nafasi yako ya kugeuza burudani kuwa ushindi. Meridianbet imeandaa...

READ MORE

Ajira Mpya 85 Zatangazwa, Wahitimu wa Shahada na Diploma Wanahitajika

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) imetangaza nafasi 85 za kazi katika taasisi mbalimbali za umma nchini, ikiwemo...

READ MORE

Maajabu Ya Airbus A380-800 Yanayowashangaza Watu Duniani

Ndege ya Airbus A380-800 imeendelea kutajwa kuwa moja ya ndege kubwa na za kipekee kuwahi kutengenezwa duniani kutokana na ukubwa...

READ MORE

Trump Atoa Tarehe ya Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani na Iran

Viongozi wa Marekani na Pakistan wametangaza matarajio ya kusainiwa kwa makubaliano ya awali ya amani kati ya Marekani na Iran...

READ MORE

Morocco Yaibana Brazil, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Morocco imeonyesha uimara mkubwa kwa kuibana Brazil na kulazimisha sare ya mabao 1-1 katika mchezo wa...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kula Machungwa Kila Siku

Machungwa ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi, lakini nyuma ya ladha yake tamu kuna...

READ MORE

Washindi Wa Droo Ya Tatu Ya Kampeni Ya “Kila Muamala Ni Bao La Ushindi” Wakabidhiwa Zawadi Zao

Kampuni ya Mixx imewakabidhi zawadi washindi wa droo ya tatu ya kampeni ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi”, hatua...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 14, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Maelfu ya Vijana Wapewa Elimu ya Fedha Kutoka Nmb

  Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha,...

READ MORE

Nafasi 32 Za Kujitolea Wakala Wa Vipimo (WMA) Kada Mbalimbali

Weights and Measures Agency (WMA) ni Wakala wa Serikali ulio chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara, ulioanzishwa mwaka 2002...

READ MORE

Vinicius Jr. Abeba Matumaini ya Brazil Dhidi ya Morocco Kombe la Dunia

Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake...

READ MORE

Wema Sepetu Amshukuru Mungu na Whozu Baada ya Kujifungua

Baada ya kupata mtoto wa kiume, Wema Sepetu ameandika ujumbe wa kugusa hisia akimshukuru Mungu pamoja na mpenzi wake, Whozu,...

READ MORE

TAMISEMI Yatangaza Nafasi 400 za Walimu wa Biashara, Mwisho wa Maombi Juni 14, 2026

TAMISEMI imetangaza nafasi 400 za walimu wa kujitolea (mkataba) kwa somo la Elimu ya Biashara katika shule za sekondari zenye...

READ MORE

Tazama Baby Shower ya Wema Sepetu Kabla ya Kujifungua Mtoto wa Kiume – Video

Staa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...

READ MORE

Whozu Avunja Ukimya Baada ya Wema Sepetu Kujifungua Mtoto wa Kiume

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Whozu, ameonyesha hisia zake za furaha baada ya mpenzi wake, Wema Sepetu, kujifungua mtoto wa kiume....

READ MORE