×

Polisi Wakamata Watuhumiwa 4 Mauaji ya Mwanafunzi wa IFM Aliyekatwa Kichwa – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya kikatili ya mwanafunzi...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Dkt. Evaline Munisi Kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuapisha Evaline Wilbard Munisi kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya...

READ MORE

Mtanzania Macha Mongu Afariki Hormuz Baada ya Meli Kushambuliwa, TASAC Yathibitisha

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC limethibitisha kifo cha baharia raia wa Tanzania, Macha Maregesi Mongu, baada ya meli...

READ MORE

Trump Asitisha “Project Freedom” Katika Mlango Bahari wa Hormuz, Atoa Nafasi ya Mazungumzo – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha operesheni ya kijeshi ya Marekani ya kusindikiza meli katika Mlango Bahari wa Hormuz,...

READ MORE

Usiku wa Maamuzi, Nani kwenda Fainali UCL Leo Bayern Munich vs Paris Saint-Germain

Mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Bayern Munich na Paris Saint-Germain unaingia...

READ MORE

Mchumba wa Ashlee Jenae Avunja Ukimya kwa Mara ya Kwanza, Atoa Pole Kwa Familia

Mshawishi maarufu wa mtandaoni Ashly Robinson, maarufu kama Ashlee Jenae, aliyefariki ghafla akiwa safarini nchini Tanzania, Aprili 9, 2026 katika...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Yatangaza Nafasi 2 za Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi, kufuatia kibali kutoka...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yapanda Dar Petroli Lita 4115 Mwanza na Kigoma 4300

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta zilizoanza kutumika leo Mei 6,...

READ MORE

Arsenal Watinga Fainali ya UCL kwa Mara ya Pili Baada ya Kuiondoa Atletico Madrid

Klabu ya Arsenal imeandika historia mpya baada ya kutinga fainali ya UEFA Champions League kwa mara ya pili, kufuatia ushindi...

READ MORE

Win&Go Yaongeza Msisimko: Meridianbet Watoa Nafasi ya Pili ya Ushindi

Zamani ilikuwa ukikosa namba zote unajua tayari imeisha, lakini Meridianbet wameamua kubadilisha hilo. Kupitia Lucky Loser, sasa hakuna tena kukata...

READ MORE

Marekani Yakanusha Madai ya Dolphin wa Kujitoa Muhanga wa Iran

Washington, Marekani – Kauli tata kuhusu madai ya matumizi ya Dolphin wa kujitoa muhanga katika shughuli za kijeshi za Iran...

READ MORE

Nafasi ya Kazi: Shop Sales Attendant Posta, Dar es Salaam

Duka la rejareja lililopo Posta linatafuta Shop Sales Attendant mwenye uwezo wa kuuza dukani na pia kusaidia kutangaza bidhaa mtandaoni....

READ MORE

Terrano Yarudi na Muonekano wa Kisasa na Uimara Mkubwa

Nissan imerejesha jina maarufu la Nissan Terrano kwa kuzindua concept ya SUV mpya ya plug-in hybrid, inayolenga kushindana na magari...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 6, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mwili wa James Temba Kusafirishwa Kwenda Moshi kwa Mazishi – Video

 Baba wa kijana James Temba ambaye inadaiwa aliuawa kisha mwili wake kukatwa kichwa, amesema mwili wa marehemu mwanaye utasafirishwa...

READ MORE

Hotuba ya Ruto Yazua Gumzo: Atoa Ujumbe Mzito kwa Watanzania na Wakenya – Video

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa wananchi wa Kenya na Tanzania si maadui, bali wanakabiliwa na changamoto zinazofanana ambazo...

READ MORE

Rais Samia Amteua Drogba Kuwa Balozi wa Tanzania Kuelekea AFCON 2027

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na mshambuliaji wa zamani wa Timu...

READ MORE

Iran Yashutumiwa Kuvunja Ceasefire, Marekani Yatoa Onyo

Maafisa wa kijeshi wa Marekani wamesema kuwa Iran imefanya mashambulizi zaidi ya mara 10 dhidi ya vikosi vya Marekani tangu...

READ MORE

Siri Nzito Arusha: Wasichana Wawili Wapotea Kwa Zaidi ya Mwaka – Video

Wasiwasi umeendelea kuongezeka kufuatia kupotea kwa wasichana wawili wa jijini Arusha, Karen Mark Didas (23) na Nakivona Toroka (22), ambao...

READ MORE

Strait of Hormuz Yageuka Uwanja wa Vita Kati ya Iran na Marekani

Hali ya mvutano imeongezeka Mashariki ya Kati baada ya Iran kutoa onyo kali kuwa “bado wanaanza tu” kufuatia mashambulizi ya...

READ MORE