×

Profesa wa Sheria, Mwanadiplomasia Costa Mahalu Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 77

  Profesa wa sheria na mwanadiplomasia, Costa Mahalu (77), amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha kuwa Profesa Mahalu...

READ MORE

Wabunge Wawili wa CCM Chato Wafikishwa Mahakamani, Tuhuma Nzito za Rushwa – Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel...

READ MORE

Rais Samia Amkabidhi Msaada wa Shilingi Milioni 10 Mzee Zahir Zorro

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, Machi 8, 2026, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki mkongwe wa...

READ MORE

Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na...

READ MORE

Video: ‘House Girl’ Afikishwa Mahakamani Kwa Tuhuma Za Kujaribu Kuua Kichanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, Machi 9, 2026, limemfikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela, Faima Yasin Twaibu (19),...

READ MORE

Rais Putin Ampongeza Mtoto wa Khamenei Kuteuliwa Kuiongoza Iran

  Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amemtumia salamu za pongezi Mojtaba Khamenei kufuatia uteuzi wake kuwa kiongozi mpya wa Iran....

READ MORE

Video: Mtoto (13) Afariki Baada Ya Kubakwa na Kulawitiwa, Iringa

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa eneo la Isakalilo katika Mtaa wa Njiapanda, Manispaa ya Iringa,...

READ MORE

Polisi Wafanya Uchunguzi Baada ya Nyumba ya Rihanna Kushambuliwa

Polisi wa Los Angeles nchini Marekani wanafanya uchunguzi baada ya nyumba ya Rihanna iliyopo Beverly Hills kushambuliwa kwa risasi Jumapili...

READ MORE

UNDP, Uingereza Watoa Mamilioni ya Fedha Kuimarisha Biashara Bunifu

Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania) pamoja na Serikali ya Uingereza kupitia Ofisi ya Mambo ya Nje,...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yapanda Baada Ya Iran Kumtangaza Mojtaba Khamenei

IRAN usiku wa kuamkia leo Jumatatu Machi 9, 2026 imemteua Mojtaba Khamenei kama kiongozi wake mkuu, akichukua nafasi ya baba...

READ MORE

Bayern Munich Wajipanga Kushinda Makombe Yote Msimu Huu

Wababe wa Ujerumani Bayern Munich wameendelea kuthibitisha ukubwa wao msimu huu baada ya kuendelea kufanya vyema kwenye michuano yote. Je...

READ MORE

Mazoezi Makali ya Rais Mstaafu wa Botswana Yawavutia Wengi – Video

Rais mstaafu wa Botswana, Ian Khama (73), bado anaonesha kiwango kikubwa cha uimara wa mwili kwa kuendelea kufanya mazoezi makali...

READ MORE

UDSM Yatangaza Nafasi 18 za Kazi Tutorial Assistant na Assistant Lecturer

Ofisi ya Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Taaluma) imetangaza nafasi 18 za kazi za kitaaluma kwa Watanzania wenye sifa. Kusoma...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aagiza Takukuru Kuchunguza Fedha Za Miradi Rukwa

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina kuhusu matumizi...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Achaguliwa Kuwa Kiongozi Mkuu Mpya wa Iran

Tehran, Iran – Mwanazuoni wa Kiislamu Mojtaba Khamenei amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, akimrithi baba yake Ali Khamenei,...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Ukarabati Wa Uwanja Wa Ndege Wa Sumbawanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga...

READ MORE

Kihongosi: Chama Cha Mapinduzi Ndiyo Baba wa Demokrasia – Video

Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema CCM ndiyo baba wa demokrasia...

READ MORE

Win&Go Lucky Loser Kutoka Meridianbet Yaigeuza Hasara Kuwa Faida

Umewahi kucheza namba zako sita za Win&Go halafu zote zikagoma kutoka? Usiumie sana kwani hapo ndipo Win&Go Lucky Loser ya...

READ MORE

Mtoto Nuru: Alizaliwa Kwenye Ajali Iliyomuua Mama, Afikisha Mwaka – Video

Ni simulizi ya kusikitisha lakini yenye tumaini. Mtoto Nuru alizaliwa katika mazingira ya kutisha ambayo si rahisi kuamini kwa haraka....

READ MORE

Fahamu Madhara ya Kuendesha Gari Taa ya Mafuta Ikiwa Inawaka

Madereva wengi wana tabia ya kupuuza taa ya mafuta pale inapowaka kwenye dashboard ya gari, wakiamini bado wanaweza kusafiri umbali...

READ MORE