×

Trump Adai Iran Inataka Kufanya Makubaliano Haraka Sana

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imewasiliana naye ikitaka kufikia makubaliano mapya, ikiwa ni mabadiliko makubwa ikilinganishwa na...

READ MORE

Dkt. Mwinyi na Othman Masoud Waandika Historia Mpya ya Maridhiano Zanzibar -Video

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo...

READ MORE

Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uungwana haupaswi kuzaa kiburi wala kutoweka nafasi ya...

READ MORE

France na Morocco Kukutana Katika Robo Fainali ya Moto ya Kombe la Dunia 2026

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani...

READ MORE

Kiungo wa Uingereza Afanyiwa Upasuaji Baada ya Kuumia Kombe la Dunia

Kiungo wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Henderson, amewapa mashabiki taarifa mpya kuhusu hali yake ya kiafya baada ya...

READ MORE

Global TV Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Motion Graphics Editor, Mwisho Maombi Julai 7, 2026

Global TV inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya Motion Graphics Editor mwenye ubunifu na uwezo wa kuzalisha maudhui ya...

READ MORE

Video: Billnass na Nandy Wafunika Kwenye “Hallo”, Video Yatikisa Mitandaoni

Msanii Billnass Julai 8, 2026 ameachia rasmi video ya wimbo wake “Hallo”, aliomshirikisha Nandy, ikiwa imeongozwa na Director Kenny. Video hiyo...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Tetesi za Lewis Hamilton na Kim Kardashian Kuachana 

Tetesi zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa nyota wa Formula 1 Lewis Hamilton na staa wa vipindi vya uhalisia...

READ MORE

Marekani Yaongeza Mashambulizi Dhidi ya Iran Kufuatia Shambulio la Meli za Kibiashara

Jeshi la Marekani limetekeleza mashambulizi mapya dhidi ya Iran usiku wa kuamkia leo Julai 9, 2026 baada ya meli tatu...

READ MORE

Ushindi Unazidi Kuwavuta Wengi Kucheza Candy Treasures 3 Reels

Katika zama ambazo burudani ya kidijitali imekuwa sehemu ya maisha yetu kila siku, kupata mchezo wenye ubunifu, msisimko na nafasi...

READ MORE

Sababu 10 za Maumivu ya Tumbo Kwa Wajawazito Wakati wa Miezi Mitatu ya Kwanza

WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo Sababu zinazofanya kutokea kwa maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya...

READ MORE

Ufaransa Kukutana na Mtihani wa Morocco Robo Fainali Kombe la Dunia

NEW YORK: Kampeni ya Ufaransa katika Kombe la Dunia imekuwa ikijaribu uwezo wao wa kushambulia, uvumilivu na utulivu wa akili,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 9, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Madarasa Mapya, Matumaini Mapya: Uwekezaji Ulivyobadili Mazingira ya Kujifunzia Shule ya Msingi Orng’adida

Babati, Manyara – Kwa miaka kadhaa, wanafunzi wa Shule ya Msingi Orng’adida iliyopo katika Kata ya Quash, Wilaya ya Babati...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM Nchini Ufaransa

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo...

READ MORE

Ndege ya Mizigo Ya Pakistan Boeing 737 Yapoteza Mawasiliano Baharini

Ndege ya mizigo iliyosajiliwa nchini Pakistan aina ya Boeing 737 imetoweka baada ya kupoteza mawasiliano na waongozaji wa safari za...

READ MORE

Mwili wa Ali Khamenei Wawasili Iraq, Maelfu Washiriki Msafara wa Mazishi

NAJAF, Iraq: Maelfu ya waombolezaji walijitokeza Jumatano katika mji mtakatifu wa Najaf nchini Iraq kushiriki msafara wa mazishi ya aliyekuwa...

READ MORE

Ligi Kuu Bara 2026/27 Kuanza Agosti 16, Usajili Waanza Rasmi

Mashabiki wa soka nchini wanatarajia kushuhudia msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/2027 ukianza rasmi Agosti 16, 2026, huku...

READ MORE

Trump Aamuru Mashambulizi Makali Baada ya Iran Kulenga Vituo vya Marekani

ANKARA, Uturuki: Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran “yamefikia mwisho”...

READ MORE

Rais Mnangagwa Aongezewa Muda wa Kuongoza Zimbabwe Hadi 2030 Baada ya Kusaini Sheria Mpya

HARARE, Zimbabwe: Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesaini kuwa sheria muswada unaomruhusu kuendelea kubaki madarakani hadi mwaka 2030, baada ya...

READ MORE