×

Taifa Stars Yapangwa na Nigeria Kufuzu Afcon 2027, Makundi Yote Yapo Hapa

Taifa Stars imepangwa Kundi L katika droo ya kufuzu AFCON 2027, kundi ambalo lina timu za Nigeria, Madagascar  na Guinea-Bissau....

READ MORE

Rais Samia Aitaka Afrika Kuongeza Uwekezaji wa Nishati ya Nyuklia

Rais Samia amesema Afrika inapaswa kuendelea kuwekeza katika teknolojia za kisasa za nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme, kukuza viwanda na...

READ MORE

Carvajal Aaga Real Madrid Baada ya Miaka 23 Akitwaa Mataji 27

Dani Carvajal ataondoka katika klabu ya Real Madrid mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya miaka 23 ndani ya klabu...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Yatangaza Nafasi 2 za Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi, kufuatia kibali kutoka...

READ MORE

Waziri wa Fedha Amkaribisha Rais Samia Kigali Kushiriki Mkutano wa NEISA 2026

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameshiriki mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia...

READ MORE

Je, Bournemouth Wataweza Kumzuia Manchester City Leo?

Bournemouth wanaingia mchezo huu wakiwa na hisia tofauti mkufunzi Andoni Iraola ametangaza kuwa huu utakuwa mchezo wake wa mwisho kwenye...

READ MORE

Rio Ferdinand Atua Tanzania Kwa Ziara Maalum ya Siku Nne – (Video + Video)

Nyota wa zamani wa Manchester United F.C. na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand, amewasili nchini Tanzania leo Jumanne,...

READ MORE

Raia wa China Auwawa Mabibo, Dar es Salaam, Polisi Waendelea na Uchunguzi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mmiliki wa kiwanda...

READ MORE

Arsenal Yakaribia Ubingwa Baada ya Kuifunga Burnley Bao 1-0

Arsenal F.C. imeendelea kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Trump Aahirisha Mashambulizi Mapya Dhidi ya Iran Kwa Ombi la Mataifa ya Uarabuni – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameahirisha mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi ya Iran yaliyokuwa yamepangwa kufanyika Jumanne, kufuatia ombi...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Kigali Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia Afrika (NEISA 2026)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 19, 2026 anaondoka nchini kuelekea Kigali, Rwanda,...

READ MORE

Hawa Ndio Wanamichezo 20 Walioingiza Fedha Nyingi Zaidi Duniani

Majina makubwa duniani ya michezo kama Cristiano Ronaldo, LeBron James, Lewis Hamilton na Roger Federer yameendelea kuthibitisha kuwa michezo ni...

READ MORE

Kenya Yashusha Bei ya Petroli na Dizeli Baada ya Mgomo wa Matatu Kenya

Siku moja baada ya mgomo wa usafiri wa umma wa matatu kutikisa maeneo mbalimbali nchini Kenya, Energy and Petroleum Regulatory...

READ MORE

Hizi Hapa Sifa za Wanawake Wanaopendwa Zaidi Na Wanaume

MTASEMA mengi kuhusu wanawake ambao ni rahisi kuwateka wanaume kimapenzi lakini makundi haya yafuatayo ndiyo wanawake wanaopendwa zaidi. WENYE MSIMAMO...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 19, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

RC Chalamila: Ukatili wa Mauaji ya James Temba Haukubaliki – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameonesha masikitiko yake kufuatia tukio la kikatili la mauaji ya kijana...

READ MORE

Rais Samia Aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia Oktoba 29

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia yaliyotokea wakati na...

READ MORE

Iran Yatuma Mapendekezo Mapya ya Amani kwa Marekani Kupitia Pakistan

Serikali ya Pakistan imethibitisha kuwasilisha kwa Marekani mapendekezo mapya kutoka Iran yanayolenga kumaliza vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati, huku mazungumzo...

READ MORE

Mwanamke Afariki Baada ya Kushambuliwa kwa Petroli Nairobi

Nairobi, Kenya — Mwanamke aliyefahamika kama Rachel Wandetto aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya Kenyatta National Hospital amefariki dunia akiwa anapatiwa...

READ MORE

Simba Wapelekwa Arusha, Yanga Kutinga Mwanza Nusu Fainali ya Kombe la FA

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi viwanja vitakavyotumika kwa michezo ya Nusu Fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup...

READ MORE