×

Rais Samia Azindua Bwawa la Julius Nyerere, Atoa Tahadhari ya El Niño (Picha +Video)

PWANI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kukamilika kwa Mradi wa Kufua Umeme wa...

READ MORE

Bayern Munich dhidi ya Borussia Dortmund Kuminyana Fainali ya DFL Supercup

Msimu mpya wa soka nchini Ujerumani unaanza kwa mechi kubwa kabisa “Der Klassiker” ya mapema, ambapo timu mbili kubwa zaidi...

READ MORE

Messi Afikisha Mabao 922, Historia Yazidi Kuandikwa Marekani

MIAMI, Marekani — Nyota wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuweka historia katika soka baada ya kufikisha jumla ya mabao 922...

READ MORE

Ratiba ya Mzunguko wa Tatu NBC Premier League 2026/27

Ligi Kuu ya NBC Premier League msimu wa 2026/27 inaendelea, huku timu zikijiandaa kushuka dimbani katika mzunguko wa tatu kwa...

READ MORE

Meridianbet Yaendelea Kugusa Maisha ya Jamii Kupitia Msaada kwa Wazee

Afya njema ni hazina ambayo kila mmoja anatamani kuwa nayo, lakini katika jamii kuna watu wanaohitaji zaidi mkono wa msaada...

READ MORE

Ariana Grande Amkosoa Trump, Akataa Muziki Wake Kutumika Kisiasa

Msanii maarufu wa Marekani, Ariana Grande, amemkosoa vikali Rais Donald Trump na timu yake baada ya kutumia wimbo wake “We...

READ MORE

Mradi wa Julius Nyerere Watikisa Sekta ya Nishati kwa MW 2,115 – Video

Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) umeingia katika hatua muhimu katika historia ya sekta ya nishati nchini Tanzania,...

READ MORE

Freeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere

RUFIJI, PWANI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe, amewasili...

READ MORE

Ally Kamwe Atoa Onyo kwa Mashabiki “Tusipoe, Hakuna Kuridhika”

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutoridhika na matokeo mazuri ya mwanzo...

READ MORE

Video: Linah Aahidi Burudani ya Kipekee Kwenye Miaka 30 ya Bongo Fleva

DODOMA: Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, amefunguka kuhusu maandalizi yake kuelekea shoo ya kusherehekea Miaka 30 ya...

READ MORE

TIRA Yamuaga Balozi Zena Said, Yapongeza Mchango Wake Katika Sekta Ya Bima

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imefanya hafla ya kumuaga Balozi Mhandisi Zena A. Said, kufuatia...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Msanii Mkongwe Yvonne Chaka Chaka

DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na msanii mkongwe kutoka Afrika...

READ MORE

Manchester United Yakamilisha dili la Carlos Baleba kwa Bilioni 253

MANCHESTER: Manchester United imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo wa Brighton, Carlos Baleba, kwa ada ya jumla ya pauni milioni 70...

READ MORE

Tanzania Yaendelea Kung’ara Miss World, Latricia Ian Afuzu Top 60

Mwakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Miss World 2026, Latricia Ian, amefanikiwa kuingia kwenye orodha ya warembo 60 bora katika...

READ MORE

Dogo Janja Afunguka Kuhusu Ndoa yake na Irene Uwoya – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende maarufu Dogo Janja, amefunguka kuhusu historia ya uhusiano wake na staa wa...

READ MORE

Marekani Yaongeza Shinikizo la Kiuchumi Dhidi ya Iran, China Yafunguka

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Iran bado haijawa tayari kufikia makubaliano anayoyaona kuwa sahihi, huku Washington ikijiandaa kutangaza vikwazo...

READ MORE

Roboti Yaanguka Kwa Hitilafu ya Umeme Wakati wa Mazoezi

Beijing, China — Maandalizi ya mashindano ya World Humanoid Robot Games 2026 yamekumbwa na tukio lisilotarajiwa baada ya roboti kutoka...

READ MORE

Miaka 11 Baada Ya Kustaafu, Ronaldinho Arejea Kwenye Soka

Milan, Italia — Mwanasoka nguli wa Brazil, Ronaldinho Gaúcho, anatarajiwa kurejea rasmi uwanjani akiwa na umri wa miaka 46, miaka...

READ MORE

Nafasi za Kazi kwa Wanawake – Wahudumu wa Maduka Mlimani City na Posta

Nafasi za kazi zimetangazwa kwa wanawake pekee kwa ajili ya kufanya kazi kama Wahudumu wa Maduka katika maeneo ya Mlimani...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 22, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE