×

Rais Samia Apewa Tuzo na BMT Kutambua Mchango Wake Kwenye Michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekabidhi Tuzo Maalum ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu,...

READ MORE

Nafasi za Kazi; Anahitajika Afisa Masoko Mwenye Uzoefu

GLOBAL PUBLISHERS AND GENERAL ENTERPRISES LIMITED; Wamiliki wa Global TV, Global Radio na mitandao yake ya kijamii inayofuatiliwa na watu...

READ MORE

Waziri Mkuu Aeleza Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Kwenye Michezo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uongozi wake mahiri, dira pana na dhamira...

READ MORE

Matapeli wa Miamala ya Simu: Noti Bandia | Crime In Dar City (Chapter 1) – Video

Wafanyabiashara wengi wa huduma za miamala ya simu, maarufu kama mawakala, ni miongoni mwa watu wanaotapeliwa fedha nyingi kila kukicha....

READ MORE

Tuzo za BMT 2025: Simba Yatwaa Klabu Bora ya Mwaka, Simbu Mwanamichezo Bora wa Kiume

Klabu ya Simba imeendelea kuthibitisha ubora wake katika soka la ndani na kimataifa baada ya kutwaa tuzo ya Klabu Bora...

READ MORE

Waziri Kombo Amwakilisha Rais Samia Katika Uapisho wa Rais Guelleh Djibouti

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amemuwakilisha Rais wa Jamhuri...

READ MORE

USM Alger Yaichapa Zamalek Fainali ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)

Klabu ya USM Alger imepiga hatua muhimu kuelekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

Vitu 10 Muhimu Unavyotakiwa Kujua Kabla ya Kununua Gari la Speed

Kwa watu wanaopenda gari zenye speed, sio tu kuangalia nguvu ya injini. Kuchagua gari sahihi kunahitaji kuzingatia usalama, udhibiti, na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 10, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Oryx Energies Yapewa Hongera Kwa Kuunga Mkono Nishati Safi ya Kupikia

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesifu mchango mkubwa wa Oryx Energies katika sekta ya nishati nchini...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Gereza la Ukonga, Akutana na Wafungwa (Picha + Video)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 9, 2026 ametembelea Gereza la Ukonga lililopo...

READ MORE

Mwigulu Aeleza Mafanikio ya Rais Samia Wakati wa Uzinduzi Soko la Kibakwe

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumamosi (Mei 9, 2026) ameweka jiwe la msingi la ufunguzi wa soko la mazao...

READ MORE

Rais Samia Ahitimisha Mafunzo ya Uongozi TCT Ukonga (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, alihudhuria hafla maalum iliyofanyika katika Chuo...

READ MORE

Bruno Fernandes Kuongoza Mashambulizi ya United Dhidi ya Sunderland Leo

Leo Mei 9 saa 17:00 alasiri Uwanja wa Stadium of Light utakuwa mwenyeji wa mchezo wa Ligi Kuu kati ya...

READ MORE

Shinikizo Lazidi Kwa Rais Ramaphosa, Malema Aomba Ajiuzulu Mara Moja

Pretoria, Afrika Kusini — Mazingira ya kisiasa nchini Afrika Kusini yameingia katika kipindi cha mvutano mpya baada ya uamuzi wa...

READ MORE

Dakika 90 Zinaweza Kubadilisha Maisha Yako Na Diamond Jackpot

Kijana wa leo hapendi kusubiri sana, anataka matokeo, anataka mabadiliko, na anataka nafasi ya kweli ya kushinda. Ndiyo maana Meridianbet...

READ MORE

Waziri Dkt. Gwajima Asikitishwa Na Kukemea Mwenendo Wa ‘Mzee Malundo’ Mitandaoni – Video

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amekemea tabia ya mtu anayefahamika kwa jina...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Yatangaza Nafasi 2 za Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Mwandishi Mwendesha Ofisi, kufuatia kibali kutoka...

READ MORE

Waziri wa Uingereza Ashinikizwa Kujiuzulu Kufuatia Matokeo Mabaya ya Labour

Waziri Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer anakabiliwa na presha kubwa kutoka kwa wabunge wa Labour Party baada ya zaidi...

READ MORE