MC Pilipili Afariki Kwa Kupigwa na Watu Wasiojulikana – Video
Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo wake kilisababishwa na kupigwa na watu wasiojulikana, tukio lililompelekea kujeruhiwa vibaya na hatimaye…
Rais Samia Aunda Tume ya Uchunguzi Huru wa Matukio ya Amani Kabla na Baada ya Uchaguzi
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda tume huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.
Swipe kusoma taarifa kamili.
Tufuatilie kupitia…
Kesi ya Dkt. Manguruwe Wadai 100 Kuongezwa Kwenye Hati ya Mashtaka
UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Vanilla International, Simon Mkondya maarufu Dkt. Manguruwe, umedai kuwa unatarajia kusoma hoja za awali Novemba 20, mwaka huu.
Wakili wa…
Rais Samia Awaapisha Mawaziri Wapya Na Manaibu, Makonda (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa dhamana alizowapa Mawaziri na Manaibu Mawaziri wapya ni jukumu la kazi na siyo cheo cha kujivunia bila kuwahudumia wananchi.
Akizungumza leo…
Mechi za Leo Dau Lako Dogo, Unaondoka na Mshindo Meridianbet
Siku ya leo unaweza ukatusua kijanja kabisa na wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet kwa kutengeneza jamvi, kuweka dau alo lolote unalotaka, na kuchagua timu zako za ushindi huku ukingoja maokoto hapo baadae.
Spain ambao ndio…
TPLB Yatangaza Tuzo za Ligi Kuu Zitatolewa Disemba 5
Dar es Salaam, Tanzania — Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi kuwa Tuzo za Ligi Kuu za msimu wa 2024/2025 zitatolewa mnamo Disemba 5, 2025, katika ukumbi wa Super Dome Masaki, Jijini Dar es Salaam.
Tuzo hizo…
Pata Faida Kubwa Ukipaisha Kindege Cha Aviator Meridianbet
Wapenzi wa kasino mtandaoni, maandalizi yamekamilika kwa msisimko wa kipekee. Meridianbet inakuletea fursa ya kipekee ya kucheza mchezo unaopendwa na wengi, Aviator, huku ukiwa na nafasi ya kushinda zawadi zisizo za kawaida. Mwezi huu…
Simba Yathibitisha Moussa Camara Kuendelea Kukosekana kwa Wiki 10
Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa golikipa Moussa Pinpin Camara ambaye kwa sasa yupo Nchini Morocco kwa matibabu ataendelea kuwa nje ya uwanja kwa muda wa Wiki 10 huku beki Abdulrazack Hamza ambaye na yeye anasafiri kwenda Morocco…
Mke wa Kizza Besigye Atoa Maelezo ya Kina Kuhusu Mgongano wa Kisiasa
Dkt. Kizza Besigye Kifeefe, mmoja wa viongozi wa upinzani wa Uganda na mwiba mkali wa Rais Yoweri Kaguta Museveni, kwa sasa anashikiliwa na mahabusu nchini Uganda.
Besigye alikamatwa jijini Nairobi mnamo Novemba 16, 2024, na baadaye…
Bashungwa Ampongeza Rais Samia kwa Fursa ya Kutumikia Watanzania
Mbunge na aliyekuwa Waziri, Innocent Bashungwa, ameandika ujumbe wa shukrani kwa Mwenyezi Mungu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na wananchi wa Jimbo la Karagwe, kwa fursa na ushirikiano…
