×

Kiongozi Wa Upinzani Akabiliwa Na Mashtaka Ya Uhaini Zambia

LUSAKA, Zambia — Mawakili wa kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, wamethibitisha kuwa mteja wao amefikishwa mahakamani na kushtakiwa...

READ MORE

Mawakili wa Mtoto wa Rwakatare Watoa Tahadhari Kuhusu Mali za Mirathi – Video

Mawakili Nicholas Mugarura, Mwesigwa Muhingo na David Saire Manoti, wanaomwakilisha mmoja kati ya watoto wa marehemu Mchungaji Getrude Rwakatare wametoa...

READ MORE

Mashabiki, Wasanii Wamwaga Pongezi Kwa Maua Sama Baada Ya Picha Za Ujauzito

Msanii wa muziki wa Tanzania, Maua Sama, amezua furaha miongoni mwa mashabiki na mastaa mbalimbali baada ya kushiriki picha na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 31, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Khamenei Azitaka Nchi Za Kiislamu Kuungana Dhidi Ya Marekani Na Israel – Video

Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, amezitaka nchi za Kiislamu kuungana dhidi ya Marekani na Israel, akizitaja nchi hizo mbili...

READ MORE

Nafasi za Kazi Wezesha Mzawa Microfinance – Loan Officer, Mwisho wa Maombi Agosti 31, 2026

We are seeking a motivated, experienced Loan officer/ Credit officer to join our growing company. In this position, you will...

READ MORE

Chelsea Yaichapa Brighton 4-3 Kwenye Mchezo Wa Kuvutia Stamford Bridge

Chelsea imeendeleza mwanzo wake mzuri katika msimu mpya wa Ligi Kuu England baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-3...

READ MORE

Dkt Mwigulu: Serikali Kuendelea Kushirikiana Na Taasisi Za Dini Katika Maendeleo Ya Taifa – Video

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma...

READ MORE

Usikose Mechi Za Leo, Dau Dogo Laweza Kukuletea Milioni

Je unajua kuwa ukiwa na dau dogo pia unaweza ukatengeneza jamvi na ukaweza ukajishindia pesa zaidi ya Milioni?. Basi Meridianbet...

READ MORE

Makamu wa Rais Ndejembi Ashiriki Misa Takatifu Kanisa Katoliki Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika...

READ MORE

Dkt. Mwigulu awasili Katavi Kushiriki Jubilei ya Miaka 25 ya Jimbo Katoliki la Mpanda

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Agosti 30, 2026, amewasili Mpanda mkoani Katavi kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Jubilei...

READ MORE

Mourinho Amkingia Kifua Mbappe Kwenye Bio za Ballon d’Or

MADRID, Hispania: Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Kylian Mbappe, ndiye anayestahili kushinda tuzo ya...

READ MORE

Rais wa Iran Akiri Vikwazo vya Marekani Vinaumiza Uchumi

TEHRAN, Iran: Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amekiri kuwa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani vinaendelea kuathiri uchumi wa nchi...

READ MORE

Cardi B Avamia Jalada la Vogue Arabia, Aonyesha Mvuto wa Kiarabu

Msanii wa kimataifa kutoka Marekani, Cardi B, amepewa nafasi ya kipekee kwenye jalada la toleo la Septemba 2026 la Vogue...

READ MORE

Dau Lako Kuzidishwa Hadi Mara x250 Na Mystery Multiplier Drop

Msisimko mpya umefika Meridianbet na safari hii bahati inaweza kukushtukiza wakati wowote. Kupitia kampeni ya Mystery Multiplier Drop, mashabiki wa...

READ MORE

Chadema Yaweka Nguvu Kwenye Kesi ya Lissu, Baraza Kuu Laahirishwa

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema chama hicho hakitakuwa tayari kushiriki katika mazungumzo yoyote...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kula Machungwa Kila Siku

Machungwa ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi, lakini nyuma ya ladha yake tamu kuna...

READ MORE

Baraza la Wazazi CCM Launga Mkono Nchimbi Kuvuliwa Uanachama – Video

Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Wazazi la CCM Taifa, Ally Salum Hapi, amesoma azimio la Jumuiya hiyo la kuunga...

READ MORE

Serikali Yazitaka Shule Kuwaandaa Wanafunzi Kwa Dunia ya Sasa Ya Teknolojia

Serikali imezitaka shule nchini kuweka kipaumbele kwenye mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA kwa wanafunzi wao ili kwenda...

READ MORE

Maono ya Rais Dkt. Samia Yajenga Kizazi cha Sayansi na Teknolojia, GEL Yaeleza..

KUNDI lingine la mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wameondoka nchini Jumamosi kuelekea vyuo vikuu mbalimbali kuanza masomo ya elimu ya...

READ MORE