×

Dalili za Kiharusi cha Ubongo Kila Mtu Anapaswa Kuzijua

Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu ambacho kinategemea usambazaji wa damu unaoendelea. Kutatizika kwa mtiririko wa damu kunaweza kukata oksijeni...

READ MORE

Rais Samia: Serikali Haitatoa Ruzuku kwa Sekta ya Madini, Amani Ni Msingi wa Dira 2050 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitatoa ruzuku kwa sekta ya madini kwa...

READ MORE

Halmashauri ya Mafia Yatangaza Nafasi Mbili za Kazi za Nahodha Daraja la II

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Nahodha Daraja la II (Skipper) na...

READ MORE

Mashahidi Wanane Kutoa Ushahidi Katika Kesi ya Mkwepu

Mfanyabiashara na aliyekuwa Mwenyekiti wa Eneo la Goba, Shafii Mkwepu, amekana mashtaka yanayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar...

READ MORE

Usiiache Biashara Yako Ijifiche, Ifikishe kwa Wateja Wengi Kupitia Global TV – Video

Katika dunia ya ushindani wa kibiashara, kuonekana ni hatua muhimu ya kufikia mafanikio. Makampuni makubwa duniani yanawekeza kila siku kwenye...

READ MORE

Mnyika: Afya ya Lissu Gerezani Siyo Nzuri, Awaomba Watanzania Kumuombea – Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema hali ya kiafya ya Mwenyekiti wa chama hicho,...

READ MORE

Iran Yafichua Sababu ya Kutotoa Sauti ya Kiongozi Wao Mojtaba Khamenei – Video

Gazeti la Hamshahri, linalomilikiwa na Manispaa ya Tehran, limedai kuwa sababu ya kutotolewa kwa sauti ya Kiongozi mpya wa Jamhuri...

READ MORE

Mangungu: Mimi na Mo Dewji Tulipitisha Majina ya Wajumbe Wapya

Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika...

READ MORE

Jungle Temple Yawasili Meridianbet, Wachezaji Wapelekwa Kwenye Dunia ya Hazina za Siri

Mashabiki wa Meridianbet kasino wamepokea sababu mpya ya kujaribu bahati yao baada ya uzinduzi rasmi wa Jungle Temple, mchezo mpya...

READ MORE

Video: Hersi Awataka Wanachama wa Yanga Kuvunja Makundi Baada ya Uchaguzi, Watano Wachaguliwa

Wanachama wa Yanga wamewachagua wajumbe watano wapya wa Kamati ya Utendaji katika Mkutano Mkuu wa klabu hiyo uliofanyika katika Ukumbi...

READ MORE

Trump Afunguka Saudi, Qatar na UAE Walivyomshawishi Kusitisha Mashambulizi Dhidi ya Iran

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameahirisha mpango wa kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran baada ya kushauriwa na viongozi...

READ MORE

Mangungu: Mabadiliko Simba Lazima Yafuate Sheria, Sio Maamuzi ya Watu

Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu leo Agosti 3, 2026 amesema alifanya jitihada za kuitisha mkutano wa dharura kufuatia maelekezo aliyoyapokea...

READ MORE

Bilioni 2 Zasubiri Mshindi: Meridianbet Yazindua Diamond Jackpot ya Mechi 14

Meridianbet wamekuletea bonge la Jackpot ambapo Shilingi Bilioni 2 kuwania wikendi hii. Hii ni Diamond Jackpot ambayo kwa dau la...

READ MORE

Mambo 10 Muhimu Ya Kuzingatia Ukiagiza Gari Nje Ya Nchi, Usifanye Makosa!

Kuagiza gari lililotumika kutoka nje ya nchi ni mchakato unaohitaji uangalifu mkubwa ili kuhakikisha unakidhi sheria, kodi, na taratibu za...

READ MORE

Waigizaji 7 Waliowahi Kuigiza Kama Wapenzi wa Zendaya Kwenye Filamu na Tamthilia

Mwigizaji maarufu wa Marekani, Zendaya, amekuwa na nafasi nyingi za kuonyesha mapenzi kwenye skrini akiwa na waigizaji mbalimbali wakubwa Hollywood....

READ MORE

Angalia Maajabu Ya Mazda CX‑50 Toleo la Kipekee Kwenye Macho!

Kama unatafuta SUV yenye muundo wa kuvutia, nguvu za barabarani, na teknolojia ya kisasa, basi Mazda CX‑50 ni chaguo lisilo...

READ MORE

Serikali Kuangalia Fursa Za Mikopo Kwa Wanaosoma Kozi Fupi – Waziri Mkuu

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itachunguza uwezekano wa kutoa mikopo kwa vijana wanaosoma kozi za muda mfupi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 3, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Simba Yatikiswa! Magori Akataa Kutambua Mkutano wa Bunju

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, amesema kikao kilichofanyika Bunju, Dar es Salaam, Agosti 2, 2026,...

READ MORE

Video: Yanga Wamchagua Tena Hersi Said, Arafat Haji Abaki Makamu wa Rais

Wanachama wa Yanga leo Agosti 2, 2026 wamewapitisha Eng. Hersi Said kuwa Rais na Arafat Haji kuwa Makamu wa Rais...

READ MORE