×

Fedha Zatawala Send Off ya Monalisa Buyamba, Zawadi Zimefikia Bilioni 1+ (Picha +Video)

Usiku wa kuamkia leo Jumatatu Julai 13, 2026 ulikuwa wa aina yake kwa familia ya Buyamba mkoani Geita baada ya...

READ MORE

Prof. Tibaijuka Amwomba Rais Samia Kumuachia Huru Tundu Lissu

Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, amemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Nani Kunyakua Tuzo ya Mchezaji Bora Kombe la Dunia 2026? Meridianbet Yataja Vinara

Mpaka sasa ni timu 8 ambazo zimebaki kwenye michuano mikubwa Duniani ambapo kila timu inawania nafasi ya kufika Fainali ya...

READ MORE

Muigizaji Sam Neill wa ‘Jurassic Park’ Afariki Dunia Akiwa na Miaka 78

Muigizaji maarufu wa New Zealand, Sam Neill, aliyepata umaarufu mkubwa duniani kupitia nafasi yake ya Dk. Alan Grant katika filamu...

READ MORE

Nusu Fainali ya Moto! Konate wa Ufaransa Afungaka Kabla ya Kukutana na Hispania Kesho

Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu...

READ MORE

Mjasiriamali Lilian Mmari Ajizawadia Apartment ya Milioni 400 Akitimiza Miaka 40 – Video

Mjasiriamali maarufu Lilian Mmari, anayefahamika pia kupitia LIM Microfinance, ameendelea kuonyesha kuwa malengo yanaweza kutimia kwa juhudi na nidhamu, baada...

READ MORE

Wild White Whale Yawasili Meridianbet: Pata Mizunguko 50 ya Bure Kila Siku

Meridianbet inakukaribisha kwenye promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi wa Julai. Kwa kipindi hiki, wachezaji wana fursa...

READ MORE

FIFA Yaanza Kuuza Vipande vya Nyasi za Uwanja wa Fainali ya Kombe la Dunia 2026

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeanzisha mauzo ya vipande vya nyasi halisi vitakavyotumika kwenye mechi ya fainali...

READ MORE

Sendoff ya Kifahari: Mtoto wa GSM wa Katoro Aenda Kukagua Ukumbi kwa Chopa – Video

Maandalizi ya sendoff ya Monalisa Sylvester, mtoto wa mchimba madini maarufu wa Katoro, Geita, Sylvester Muyamba maarufu kama GSM wa...

READ MORE

Zuchu na Diamond Waachana, Mashabiki Wabaki na Maswali, Mitandao Yachafuka – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ametangaza kuwa uhusiano wake wa ndoa na Diamond Platnumz umefikia tamati. Kupitia ujumbe...

READ MORE

Messi na England Wakutana Kwa Mara ya Kwanza Katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, anatarajiwa kuandika historia mpya Jumatano atakapoiongoza timu yake kuivaa England katika nusu fainali ya Kombe...

READ MORE

Wolper Afunguka Kuhusu Maisha ya Mastaa “Watu Huona Raha Tu, Hawajui Tunachopitia” – Video

Staa wa filamu za Bongo na mfanyabiashara maarufu, Jacqueline Wolper, amesema watu wengi huvutiwa na maisha wanayoishi mastaa bila kufahamu...

READ MORE

Trump Aamuru Mashambulizi Mengine Iran, Mlango wa Hormuz Wazua Hofu Duniani

Marekani imefanya mashambulizi mapya dhidi ya Iran baada ya meli ya mizigo kushambuliwa katika Mlango wa Hormuz na kushika moto,...

READ MORE

Mwanamapinduzi wa Qatar Sheikh Hamad bin Khalifa Al-Thani Afariki

DOHA: Aliyekuwa Emir wa Qatar, Sheikh Hamad bin Khalifa Al-Thani, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74, baada ya...

READ MORE

Video: Kuna Chimbo Pikipiki, Bajaji Unaipata Kwa Laki 8 Tu, Keko Commission Agent

️️ Je, unatafuta pikipiki au bajaji bora kwa bei nafuu? Hapa ndipo mahali sahihi! Pata pikipiki na bajaji zenye ubora...

READ MORE

Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin & Win; Zawadi ya Milioni 3 Papo Hapo

Kila mtu ana ndoto ya siku ambayo bahati itagonga mlango wake, na Meridianbet imeamua kuifanya ndoto hiyo iwe karibu zaidi...

READ MORE

Seneta Mkongwe wa Republican Lindsey Graham Afariki, Trump Apoteza Mshirika Wake wa Karibu

Seneta wa Marekani kutoka jimbo la South Carolina, Lindsey Graham, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 baada ya...

READ MORE

Iran Yafunga Mlango wa Hormuz, Yashambulia Qatar, Bahrain na UAE kwa Makombora – Video

Iran imepanua mashambulizi yake ya kijeshi katika eneo la Ghuba baada ya kurusha makombora na droni kuelekea Qatar, Bahrain na...

READ MORE

Bashiri Leo, Lipwa Mapema! Early Payout ya Meridianbet Yarejea kwa Kishindo

Ushindi mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo....

READ MORE

Argentina Yatinga Nusu Fainali, Sasa Kuvaana Na Uingereza Katika Pambano La Kihistoria

Argentina leo Julai 12, 2026 imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao...

READ MORE