×

Fahamu Maajabu ya Vioo vya TV za Kisasa na Tofauti Zake OLED dhidi ya QLED

Enzi za televisheni zenye boksi kubwa na skrini nzito zimepita. Leo hii, teknolojia imebadilisha TV kuwa kifaa chenye uwezo mkubwa...

READ MORE

Utata Wa Neema Na Mwajiri Wake Wafikia Mwisho, Zali Mapito Afika Oman Kufuatilia – Video

Mtangazaji wa Global TV Online na 255 Global Radio, Zali Mapito, yupo nchini Oman kufuatilia hali ya binti mdogo wa...

READ MORE

Ajira NIT 2026: Nafasi 23 Zatangazwa, Mwisho wa Maombi Agosti 28, 2026

DODOMA: Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) imetangaza nafasi 23 za ajira kwa niaba ya National Institute of...

READ MORE

Jamal Bakhresa Afungiwa Kujihusisha na Mpira kwa Mwaka Mmoja

Kiongozi wa Azam FC, Jamal Bakhresa, amefungiwa kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Kwa...

READ MORE

Karoline Leavitt Afichua Kazi Yake Mpya Baada ya Kujiuzulu White House

WASHINGTON: Karoline Leavitt, ambaye anatarajiwa kuondoka katika nafasi yake ya Msemaji wa Ikulu ya Marekani, White House Press Secretary, amefichua...

READ MORE

Kadi Nyekundu Zatikisa Simba Wachezaji Watatu Nje, Waibua Maswali

Simba SC imeanza msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kasi kubwa baada ya kushinda michezo yake yote mitatu ya...

READ MORE

Fahamu Sababu Zinazofanya Mapera Kuwa Miongoni mwa Matunda Bora

Mapera ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi lakini yana virutubisho muhimu kwa afya ya mwili. Tunda hili lina ladha...

READ MORE

Meghan Markle Aanza Ukurasa Mpya wa Uigizaji Baada ya Kuondoka Suits

LONDON: Meghan Markle anatarajiwa kurejea rasmi kwenye uigizaji kwa mara ya kwanza baada ya karibu muongo mmoja, huku akipokea nafasi...

READ MORE

Fahamu Faida na Hasara za Kutumia Gesi Kwenye Gari Kabla Hujafunga Mfumo

Matumizi ya gesi kwenye magari yanaendelea kuongezeka kutokana na gharama nafuu za uendeshaji na jitihada za kupunguza matumizi ya mafuta...

READ MORE

Ariana Grande Amkosoa Trump, Akataa Muziki Wake Kutumika Kisiasa

Msanii maarufu wa Marekani, Ariana Grande, amemkosoa vikali Rais Donald Trump na timu yake baada ya kutumia wimbo wake “We...

READ MORE

Hull City Yaibuka na Ushindi wa Mabao 2-0 dhidi ya Manchester United

Hull City imeanza vyema kurejea kwake katika Ligi Kuu England baada ya kuifunga Manchester United mabao 2-0 katika mchezo wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 23, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Bwawa la Julius Nyerere, Atoa Tahadhari ya El Niño (Picha +Video)

PWANI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kukamilika kwa Mradi wa Kufua Umeme wa...

READ MORE

Bayern Munich dhidi ya Borussia Dortmund Kuminyana Fainali ya DFL Supercup

Msimu mpya wa soka nchini Ujerumani unaanza kwa mechi kubwa kabisa “Der Klassiker” ya mapema, ambapo timu mbili kubwa zaidi...

READ MORE

Messi Afikisha Mabao 922, Historia Yazidi Kuandikwa Marekani

MIAMI, Marekani — Nyota wa Argentina, Lionel Messi, ameendelea kuweka historia katika soka baada ya kufikisha jumla ya mabao 922...

READ MORE

Ratiba ya Mzunguko wa Tatu NBC Premier League 2026/27

Ligi Kuu ya NBC Premier League msimu wa 2026/27 inaendelea, huku timu zikijiandaa kushuka dimbani katika mzunguko wa tatu kwa...

READ MORE

Meridianbet Yaendelea Kugusa Maisha ya Jamii Kupitia Msaada kwa Wazee

Afya njema ni hazina ambayo kila mmoja anatamani kuwa nayo, lakini katika jamii kuna watu wanaohitaji zaidi mkono wa msaada...

READ MORE

Mradi wa Julius Nyerere Watikisa Sekta ya Nishati kwa MW 2,115 – Video

Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) umeingia katika hatua muhimu katika historia ya sekta ya nishati nchini Tanzania,...

READ MORE

Freeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere

RUFIJI, PWANI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe, amewasili...

READ MORE

Ally Kamwe Atoa Onyo kwa Mashabiki “Tusipoe, Hakuna Kuridhika”

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutoridhika na matokeo mazuri ya mwanzo...

READ MORE