×

Marekani Yawasaka Makamanda Wa IRGC, Yaweka Zawadi Ya Bilioni 26.5 – Video

Marekani imetangaza zawadi ya hadi dola milioni 10 sawa na TSh bilioni 26.5 kwa taarifa zitakazosaidia kuwabaini au kufichua baadhi...

READ MORE

Tottenham Yamsajili Savinho kwa Bilioni 262.5 Kutoka Man City

Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa winga wa Brazil, Savinho, kutoka Manchester City kwa ada ya awali ya takribani TSh bilioni...

READ MORE

Mtoto wa Kim Kardashian na Kanye West Afunguka Mazito ‘Ataja Kampuni ya Kahawa’

Mtoto wa mastaa Kim Kardashian na Kanye West, North West,  amesema anatamani kuwa na maisha ya kawaida na kupata kazi...

READ MORE

JKT Tanzania Yatuma Ujumbe Mzito Baada ya Kichapo cha 4-0 kutoka kwa Yanga

JKT Tanzania imetoa ujumbe kupitia mitandao ya kijamii baada ya kukutana na Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

READ MORE

Mmiliki wa Leeds na Rangers Afungwa Baada ya Kukamatwa Katika Operesheni ya Ukahaba

Ohio, Marekani — Mmoja wa wamiliki wa klabu za Leeds United na Rangers, Jed York, amehukumiwa kifungo cha siku moja...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 26, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Ikulu Yathibitisha Dkt. Nchimbi Kujiuzulu Umakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea na kuridhia ombi la kujiuzulu kwa Makamu wa...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Waislamu Kheri katika Maadhimisho ya Maulid

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewatakia Waislamu na Watanzania wote kheri na baraka katika...

READ MORE

Dk Nchimbi Atangaza Kujiuzulu Umakamu wa Rais na Kustaafu Siasa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa...

READ MORE

Video: Simanzi Kihesa, Mrembo wa Miaka 23 Afariki Ndani ya Chumba Chake

Mkazi wa Mtaa wa Kihesa, Halmashauri ya Mji wa Njombe, Edina Chaula, mwenye umri wa miaka 23, amefariki dunia baada...

READ MORE

Marekani Yaiondoa Syria Kwenye Orodha ya Wafadhili wa Ugaidi

WASHINGTON — Marekani imeiondoa rasmi Syria kwenye orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi, hatua inayowakilisha mabadiliko makubwa katika sera ya Washington...

READ MORE

Fahamu Kanisa la ajabu Barcelona, Ujenzi wake Wachukua Miaka 140

Ukiambiwa kuna kanisa ambalo ujenzi wake umechukua zaidi ya miaka 140 na bado haujakamilika, huenda ukashangaa. Lakini hali hiyo ipo...

READ MORE

Yanga Yaichapa JKT Tanzania 4-0, Yarudi Kileleni Ligi Kuu Bara

Yanga SC imeendeleza mwanzo wake mzuri katika msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa JKT Tanzania...

READ MORE

Jux na Priscy Waweka Wazi Sura ya Mtoto Wao Kwa Mara ya Kwanza

Mwanamuziki wa Bongo Flava, Juma Jux, na mke wake Priscilla Ojo, maarufu kama Priscy, wamezua gumzo mitandaoni baada ya kuamua...

READ MORE

Southampton Yawakaribisha West Ham Katika Pambano la Carabao Cup

Southampton na West Ham United watakutana leo Jumanne, Agosti 25, 2026, katika raundi ya pili ya Carabao Cup (EFL Cup)....

READ MORE

Netanyahu Aingia Mtegoni, Uturuki Yataka Interpol Imkamate

Uturuki imetangaza hatua ya kutaka Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, akamatwe kimataifa kufuatia uchunguzi kuhusu shambulio dhidi ya wanaharakati...

READ MORE

Nafasi za Kazi kwa Wanawake – Wahudumu wa Maduka Mlimani City na Posta

Nafasi za kazi zimetangazwa kwa wanawake pekee kwa ajili ya kufanya kazi kama Wahudumu wa Maduka katika maeneo ya Mlimani...

READ MORE

Meridianbet Non-Stop Blasts & Races: Zawadi TZS 75 Bilioni Zawasubiri

Kama unatafuta kampeni yenye kasi, ushindani na zawadi, Meridianbet imeleta Non-Stop Blasts & Races. Kwa jumla ya TZS 75,000,000,000 katika...

READ MORE

Fahamu Kiumbe Cha Bahari Chenye Siri Nyingi Za Kushangaza, Soma Hapa

Pweza ni kiumbe cha baharini chenye maajabu mengi ikiwemo kuwa na mioyo 3 ambapo moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu...

READ MORE

Serikali Yawataka Vijana Kutumia Teknolojia Kutengeneza Suluhisho Za Afrika

Dar es Salaam, Tanzania, 2026. Viongozi wa Serikali, sekta sekta binafsi na wadau wa teknolojia wametoa wito wa kuongeza uwekezaji...

READ MORE