×

Mpigie Kura Godmuya, Kura Yako Ni Ushindi! – Tuzo za Samia Kalamu Awards 2026

Mtangazaji wa @globaltvonline na @255globalradio, Godfrey Nathan @godmuya ameteuliwa kuwania tuzo za Samia Kalamu Awards 2026. 👉 Piga kura kupitia:...

READ MORE

Ndejembi Aongoza Maandalizi ya Tanzania katika Jukwaa la IAEA Vienna

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameongoza kikao cha maandalizi cha viongozi na wataalamu mbalimbali...

READ MORE

Mo Hussein Awaonya Geita Gold, “Tumewachambua kwa Ukaribu”

Mchezaji wa Yanga, Mohamed Hussein, amesema timu hiyo inaendelea vizuri na ipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Geita...

READ MORE

Rais Mwinyi Amteua Katibu na Wajumbe Wapya wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar

ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa Katibu wa Baraza...

READ MORE

Katuga Ambana Heche Maswali ya Mauaji ya Mawazo na Akwilina

Katika kuendelea kutoa ushahidi katika kesi inayomkabili Tundu Lissu, shahidi John Heche amekabiliwa na maswali makali kutoka kwa Wakili Katuga...

READ MORE

Kocha wa Yanga Aibuka na Mbinu Mpya, Awataka Mashabiki Kuwa na Subira

Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, leo Septemba 14, 2026 amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kufuatia kiwango kisichoridhisha katika...

READ MORE

Misri Yaitaka Iran Kusitisha Mashambulizi Dhidi Ya Nchi za Kiarabu

Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi, ameitaka Iran kuchukua hatua za kupunguza mvutano unaoongezeka katika Mashariki ya Kati na kushirikiana...

READ MORE

Lamine Yamal Ajiweka Juu ya Mbappe Ballon d’Or 2026

Nyota wa Barcelona, Lamine Yamal, ameongeza presha katika mbio za kuwania tuzo ya Ballon d’Or 2026, akimtaja mshambuliaji wa Real...

READ MORE

Wezesha Mzawa Insurance Broker Watangaza Nafasi Nne za Kazi

Kampuni ya Wezesha Mzawa Insurance Broker Limited imetangaza nafasi za kazi kwa Watanzania wenye sifa na uzoefu katika sekta ya bima, mauzo,...

READ MORE

Heche Ahojiwa Kuhusu Ripoti Za Uchaguzi Alizozitumia Mahakamani, Akanusha Kupata Division Four

Dar es Salaam, Septemba 14, 2026 — Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, ameendelea kuhojiwa mahakamani katika kesi inayomkabili Mwenyekiti...

READ MORE

Ligi Zimerudi, Inter, Newcastle na Villarreal Kukiwasha leo, Odds Kubwa Kutoka Meridianbet

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana....

READ MORE

PGMOL Yakubali VAR Ilikosea Bao la Haaland Dhidi ya Man United

    Chombo cha Waamuzi wa kulipwa nchini Uingereza (PGMOL) kimewasiliana rasmi na klabu ya Manchester United na kuomba radhi...

READ MORE

Justin Bieber na Hailey Waadhimisha Miaka Nane ya Ndoa

Staa maarufu wa muziki wa Pop, Justin Bieber, na mke wake Hailey Bieber,  Septemba 13, 2026, wameadhimisha miaka minane tangu...

READ MORE

Meridianbet Yaipa Jumatatu Ladha Mpya kwa Cashback na Bonus

Kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, Jumatatu sasa inaweza kuwa zaidi ya mwanzo wa wiki ya kazi na majukumu. Meridianbet imeendeleza...

READ MORE

Oman Yahairisha Mkutano Wa Kujadili Hatma Ya Mlango Wa Hormuz

Oman imetangaza kuahirishwa kwa mkutano uliokuwa umepangwa kujadili hatma ya Mlango wa Hormuz, njia muhimu inayotumika kusafirisha kiasi kikubwa cha...

READ MORE

Mtendaji Mkuu Singida Black Stars Ajiuzulu, Wamtangaza Tabitha Kidawawa

Uongozi wa Klabu ya Singida Black Stars umetangaza mabadiliko ya uongozi baada ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Kassano Jonathan,...

READ MORE

Haaland Aichapa United Old Trafford, City Yashinda Derby kwa Bao la Utata

MANCHESTER, England — Erling Haaland amekuwa shujaa wa Manchester City baada ya kufunga bao lenye utata na kuipa timu yake...

READ MORE

Pakistan Yalaani Mashambulizi Dhidi ya Saudi Arabia

RIYADH, Saudi Arabia — Waziri Mkuu wa Pakistan, Muhammad Shehbaz Sharif, amelaani vikali mashambulizi yanayolenga Saudi Arabia, akieleza kuwa Pakistan...

READ MORE

Ajira Mpya 678 Serikalini, Madaktari na Walimu, Mwisho wa Maombi Sept 17, 2026

Dodoma, Septemba 3, 2026 — Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS), kwa niaba ya Tangazo hilo lenye Kumb....

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 14, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE