Kampuni Kutoka China, HAIER Yaidhamini Yanga Mashindano ya CAF, Yatoa Bil 1.5
Kampuni mpya Tanzania ya bidhaa za umeme itokeayo China iitwayo HAIER imesaini mkataba na KLABU ya Yanga kuwa mdhamini wetu kwenye mechi za Kombe la Shirikisho la CAF.
HAIER ni kampuni namba moja kwa kutengeneza…