×

Mzee Bichuka Apokea Shilingi Milioni 10 Kutoka kwa Rais Samia Kupitia Naibu Waziri

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli Mzee Hassan Rehani Bichuka...

READ MORE

Mo Dewji Atangazwa na Forbes Kuwa Tajiri Namba Moja Afrika Mashariki na Kati

Orodha ya mabilionea duniani iliyotolewa na Forbes imeonyesha kuwa utajiri wa mabilionea barani Afrika unaendelea kuongezeka kwa kasi. Kwa sasa,...

READ MORE

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote...

READ MORE

Marekani Yatangaza Mafanikio Mapya Dhidi ya Iran, Yadai Kuangamiza Meli 50 – Video

Jeshi la Marekani limesema limepiga hatua kubwa katika kudhoofisha uwezo wa kijeshi wa Iran tangu kuanza kwa operesheni za kijeshi...

READ MORE

Kiongozi wa Usalama Iran Amjibu Trump ‘Awe Makini Asije Akaondolewa’

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka baada ya viongozi wa Iran kutoa onyo kali kwa Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aagiza Takukuru Kuchunguza Ujenzi Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Kalambo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina kuhusu makadirio...

READ MORE

Viongozi wa Ulaya Walalamikia Vita vya Marekani na Israel Dhidi ya Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Yvette Cooper amesema kuwa London haitajiunga katika vita vya Marekani na utawala wa...

READ MORE

UDSM Yatangaza Nafasi 18 za Kazi Tutorial Assistant na Assistant Lecturer

Ofisi ya Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Taaluma) imetangaza nafasi 18 za kazi za kitaaluma kwa Watanzania wenye sifa. Kusoma...

READ MORE

Trump Aomba Australia Iwalinde Wachezaji wa Timu ya Wanawake wa Iran

Rais Donald Trump amewaomba viongozi wa Australia kuepuka makosa makubwa ya kibinadamu kwa kuruhusu timu ya taifa ya wanawake wa...

READ MORE

ALAF Yatoa Viti 10 vya Magurudumu kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalumu

Kampuni ya ALAF, inayoongoza katika suluhisho la paa na vifaa vya ujenzi Tanzania, imezindua Kundi la 5 la Mpango wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Ziara ya Kikazi Bandari ya Kasanga, Aangalia Utendaji na Huduma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo...

READ MORE

Tangazo la Nafasi za Kazi – Customer Care & Assistant Supervisor

Kampuni inatafuta wafanyakazi wenye motisha na nidhamu ya kazi kujaza nafasi za Customer Care na Assistant Supervisor. Nafasi hizi zipo...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Wanafunzi Bora Kusomeshwa Nje Kupitia Samia Scholarship

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi watakaofaulu kwa viwango vya juu watanufaika na ufadhili wa masomo kupitia mpango wa...

READ MORE

SBL Yazungumza na Waziri Mkumbo Kuhusu Kuimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila...

READ MORE

Pata ODDS Zote za Simba Ndani ya Meridianbet

Meridianbet inakwambia kuwa unaweza ukabashiri mechi zote za Simba ambapo ODDS zao ni kubwa lakini pia mechi hiyo inakuwa na...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yashuka Baada ya Trump Kusema Vita vya Iran Vinaelekea Mwisho – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amesema vita dhidi ya Iran vimekaribia kukamilika kabisa, akidai kuwa Iran ilikuwa inapanga kuishambulia Marekani...

READ MORE

Ubashiri Sasa Kugeuka Ushindi Halisi Unapo-JIMIXX na Meridianbet

Soko la ubashiri Tanzania limepata msisimko mpya kupitia ushirikiano wa Meridianbet na Mixx by Yas. Hii si promosheni ya kawaida,...

READ MORE

Ijue Historia ya Mwanamke Mbaya Zaidi Duniani

Katika historia ya dunia kuna hadithi nyingi ambazo zinaonyesha jinsi binadamu wanaweza kuvumilia maumivu makubwa kwa ajili ya wale wanaowapenda....

READ MORE

Azam Kukiwasha na Yanga Azam Complex Chamazi Machi 15 saa 2:30 usiku

Mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara utakaowakutanisha Azam FC na bingwa mtetezi Yanga umepangwa kuchezwa Jumapili, Machi 15, majira...

READ MORE

Fainali Yaacha Historia Mbaya Brazil, Wachezaji 23 Watolewa kwa Kadi Nyekundu

FAINALI  ya mashindano ya soka nchini Brazil imeingia kwenye historia kwa sababu zisizofurahisha baada ya kuzuka kwa vurugu kubwa uwanjani...

READ MORE