×

Global TV Online

Shalulile: Kuondoka Mamelodi ni kama Ronaldo Alivyoondoka Real Madrid – Video

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Peter Shalulile, amesema uamuzi wake wa kuondoka Mamelodi Sundowns na kujiunga na mabingwa hao wa Tanzania...

READ MORE

Rais Samia: Serikali Haitatoa Ruzuku kwa Sekta ya Madini, Amani Ni Msingi wa Dira 2050 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitatoa ruzuku kwa sekta ya madini kwa...

READ MORE

Mnyika: Afya ya Lissu Gerezani Siyo Nzuri, Awaomba Watanzania Kumuombea – Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema hali ya kiafya ya Mwenyekiti wa chama hicho,...

READ MORE

Iran Yafichua Sababu ya Kutotoa Sauti ya Kiongozi Wao Mojtaba Khamenei – Video

Gazeti la Hamshahri, linalomilikiwa na Manispaa ya Tehran, limedai kuwa sababu ya kutotolewa kwa sauti ya Kiongozi mpya wa Jamhuri...

READ MORE

Video: Yanga Wamchagua Tena Hersi Said, Arafat Haji Abaki Makamu wa Rais

Wanachama wa Yanga leo Agosti 2, 2026 wamewapitisha Eng. Hersi Said kuwa Rais na Arafat Haji kuwa Makamu wa Rais...

READ MORE

Nyumba ya Mwijaku Yazua Mjadala, Global TV Yafika Eneo la Tukio, Mlinzi na Mjumbe Wafunguka – Video

Taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa nyumba ya msanii na mtangazaji Mwijaku imezungushiwa utepe zimeibua mjadala mkubwa miongoni...

READ MORE

Mambo 7 Usiyoyajua Kuhusu Robert Mugabe, Rais Aliyeitawala Zimbabwe Kwa Miaka 37 – Video

 Msomaji wetu, tunatumaini unaendelea vizuri. Leo tumekusogezea mambo saba huenda ambayo hukuyajua kuhusu marehemu Robert Mugabe, mwanasiasa aliyekuwa Rais...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lafuta Zuio la Mikutano ya Hadhara, Latoa Masharti ya Kufuata – Video

Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuondoa zuio la mikutano ya hadhara lililokuwa limewekwa awali, likisema hali ya usalama nchini kwa...

READ MORE

CCM Yamteua Aggrey Mwanri Kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara – Video

Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemteua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora na Mbunge wa zamani...

READ MORE

Video: Waziri wa Ulinzi wa Israel Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mashambulizi ya Iran

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema ndege za kijeshi za Marekani zilitumia baadhi ya vituo vya kijeshi vya...

READ MORE

Mwanasheria Atoa Ufafanuzi Kuhusu Sheria ya Ugaidi Nchini – Video

Mwanasheria Nathaniel Samson amesema sheria ya ugaidi nchini Tanzania si jambo jipya, bali imekuwepo kwa muda mrefu kwa mujibu wa...

READ MORE

Video: Dkt. Nshala Ahoji Kesi ya Ugaidi, Asema Inachafua Taswira ya Tanzania

Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Rugemeleza Nshala, amesema chama hicho kina wasiwasi na matumizi ya...

READ MORE

Moto Wateketeza Madarasa na Mabweni ya Shule ya Bigwa Sisters Morogoro – Video

Moto mkubwa umezuka katika Shule ya Sekondari Bigwa Sisters, iliyopo Manispaa ya Morogoro, na kuteketeza baadhi ya madarasa, mabweni pamoja...

READ MORE

Video: Majaliwa Amtembelea Mkubwa Fella, Amkabidhi Msaada wa Milioni 20

Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, Julai 25, 2026 amefika nyumbani kwa mdau wa muziki na mlezi wa vipaji nchini, Said...

READ MORE

Video: Dkt. Nchimbi Awataka Watanzania Kuweka Nguvu Kwenye Katiba Mpya

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa Katiba ndiyo sheria kuu ya...

READ MORE

Video: Ajali Moro Yaua Watu Wawili, Lori Zagongana, Moja Yawaka Moto

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2026, katika...

READ MORE

Video: Wafanyabiashara Soko la Mawenzi Morogoro Wagoma

Wafanyabiashara wa Soko la Mawenzi mkoani Morogoro wamegoma kufungua biashara zao wakishinikiza Serikali kupunguza kodi ya pango la vizimba, wakidai...

READ MORE

Iran Yaishambulia Jordan na Bahrain, Houthis Watishia kufunga Mlango wa Bab el-Mandeb

Mvutano wa kijeshi kati ya Marekani na Iran umeendelea kuongezeka baada ya Iran kudai kushambulia kambi za kijeshi za Marekani...

READ MORE

Jinsi ya Kusikia Sauti Halisi ya Video za YouTube Badala ya Tafsiri ya AI

YouTube imeanza kutumia teknolojia ya kutafsiri sauti kwa kutumia Akili Bandia (AI Dubbing) kwenye baadhi ya video, hali inayowafanya baadhi...

READ MORE

Video: Trump Aipa Iran Onyo Baada ya Mashambulizi ya Wahouthi Yemen

Rais wa Marekani, Donald Trump, leo Julai 23, 2026 ameonya kuwa iwapo waasi wa Houthi nchini Yemen wataendelea kufanya mashambulizi...

READ MORE

Wabunge Waibana Serikali ya Trump Kuhusu Bajeti ya Vita dhidi ya Iran

Washington, D.C. – Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema gharama za vita dhidi ya Iran zimefikia dola bilioni...

READ MORE

Video: Rais Samia Ateua Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Wenyeviti Wawili wa Bodi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu mmoja na Wenyeviti wawili...

READ MORE

Waziri Masauni Ahimiza Wananchi wa Rufiji Kutumia Fursa ya Biashara ya Hewa ya Ukaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni, amewahimiza wananchi na viongozi wa Wilaya ya Rufiji kutumia...

READ MORE

Rais Samia Azindua Ujenzi wa Meli Nne za Mizigo Bandari ya Kigoma (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 20, 2026, amezindua rasmi mradi wa ujenzi...

READ MORE

Miili ya Baba na Mdogo Wake Yazikwa Mwananyamala, Dar – Video

Miili ya Hamza Juma Omary na mdogo wake Ally Juma Omary, wanaodaiwa kuuawa na mtoto wa Hamza, Hosam Hamza, imezikwa...

READ MORE

Marekani Yaishambulia Iran Tena Baada ya Wanajeshi Wake Kuuawa Jordan – Video

Marekani imefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Iran baada ya shambulio lililolenga kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Jordan...

READ MORE

Polisi Watoa Taarifa Mauaji Ya Baba Mzazi Na Baba Mdogo, Miili Yapatikana – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Hosamu Hamza maarufu kwa jina la Maopena, kwa tuhuma za...

READ MORE

Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma za Kumuua Baba Yake na Baba Mdogo

Dar es Salaam – Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Osam Hamza, maarufu kwa jina la...

READ MORE

Iran Yatoa Onyo kwa Marekani “Mashambulizi Yakiendelea Tutapanua Uwanja wa Vita” – Video

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeendelea kuongezeka baada ya kiongozi mwandamizi wa kijeshi wa Iran, Meja Jenerali Mohsen Rezaei,...

READ MORE

Rumble Kong CASHINGO Na Mbinu Mpya Za Ushindi

Watu wamezoea kasi, msisimko na burudani isiyoisha. Sasa Meridianbet inaleta moto mpya kupitia Rumble Kong CASHINGO, mchezo wa sloti kutoka...

READ MORE

Iran Yalipiza Kisasi Baada ya Marekani Kushambulia Madaraja na Uwanja wa Ndege – Video

Mapigano kati ya Marekani na Iran yameingia katika hatua mpya ya hatari baada ya pande zote mbili kuanza kushambulia miundombinu...

READ MORE

Vodacom Yazindua Mashindano ya Golf Kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara Nchini

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika...

READ MORE

Houthis Warusha Makombora Saudi Arabia Baada ya Miaka Minne ya Utulivu – Video

Harakati za Houthi nchini Yemen zimerusha makombora kuelekea Saudi Arabia, hatua iliyovunja kipindi cha takribani miaka minne cha utulivu kati...

READ MORE

Rais Samia: Sijawahi Kuruhusu Utekelezaji wa Adhabu ya Kifo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hajawahi kusaini hati ya kuruhusu utekelezaji wa adhabu...

READ MORE

Fedha Zatawala Send Off ya Monalisa Buyamba, Zawadi Zimefikia Bilioni 1+ (Picha +Video)

Usiku wa kuamkia leo Jumatatu Julai 13, 2026 ulikuwa wa aina yake kwa familia ya Buyamba mkoani Geita baada ya...

READ MORE

Mjasiriamali Lilian Mmari Ajizawadia Apartment ya Milioni 400 Akitimiza Miaka 40 – Video

Mjasiriamali maarufu Lilian Mmari, anayefahamika pia kupitia LIM Microfinance, ameendelea kuonyesha kuwa malengo yanaweza kutimia kwa juhudi na nidhamu, baada...

READ MORE

Sendoff ya Kifahari: Mtoto wa GSM wa Katoro Aenda Kukagua Ukumbi kwa Chopa – Video

Maandalizi ya sendoff ya Monalisa Sylvester, mtoto wa mchimba madini maarufu wa Katoro, Geita, Sylvester Muyamba maarufu kama GSM wa...

READ MORE

Zuchu na Diamond Waachana, Mashabiki Wabaki na Maswali, Mitandao Yachafuka – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Zuchu, ametangaza kuwa uhusiano wake wa ndoa na Diamond Platnumz umefikia tamati. Kupitia ujumbe...

READ MORE

Wolper Afunguka Kuhusu Maisha ya Mastaa “Watu Huona Raha Tu, Hawajui Tunachopitia” – Video

Staa wa filamu za Bongo na mfanyabiashara maarufu, Jacqueline Wolper, amesema watu wengi huvutiwa na maisha wanayoishi mastaa bila kufahamu...

READ MORE

Video: Kuna Chimbo Pikipiki, Bajaji Unaipata Kwa Laki 8 Tu, Keko Commission Agent

️️ Je, unatafuta pikipiki au bajaji bora kwa bei nafuu? Hapa ndipo mahali sahihi! Pata pikipiki na bajaji zenye ubora...

READ MORE