×

Global TV Online

Musukuma Amwomba Rais Mwinyi Kudhibiti Kauli za Kibaguzi kati ya Uzanzibar na Utanganyika – Video

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amemwomba Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi kuchukua hatua dhidi ya kauli zinazotolewa na...

READ MORE

Brenda Rupia Afafanua Hoja ya Katiba Mpya Nchini “Ni Matakwa ya Wananchi” – Video

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia amesema kuwa suala la katiba mpya halipaswi kuonekana...

READ MORE

Kutoka Marekani: Patricia Asimulia Kifo Kilivyomsogelea – Video

Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Gereji Pembezoni mwa Barabara Dar Ziondolewe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...

READ MORE

Marekani na Iran Wafikia Makubaliano ya Kumaliza Vita, Hormuz Kufunguliwa Tena – Video

Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...

READ MORE

Mama Ntilie Wa Kariakoo Anayetrendi Kujaza Wateja, Afunguka Mazito – Video

Siku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...

READ MORE

Tazama Baby Shower ya Wema Sepetu Kabla ya Kujifungua Mtoto wa Kiume – Video

Staa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Video: Serikali Kusamehe Kodi Mwaka Mzima kwa Wafanyabiashara Wapya

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...

READ MORE

Serikali Kuongeza Ushuru wa Kamari Kufikia 5% Kupunguza Madhara ya Kijamii

Serikali imependekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari zinazochezwa kupitia michezo...

READ MORE

Shigongo Atimiza Ahadi kwa Mama Aliyezuia Mauaji ya Kijana – Video

Mwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Iran na Israel Kusitisha Mashambulizi, Houthis Waingia Kwenye Vita – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...

READ MORE

Global TV Online Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Content Moderator

GLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...

READ MORE

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati...

READ MORE

Familia ya Watu Wenye Ulemavu Yapewa Msaada wa Ujenzi Baada ya Nyumba Kubomoka – Video

Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu...

READ MORE

Fahamu Filamu 20 Bora Zaidi Zilizotikisa Mashabiki wa Cinema 2000 – 2026

Sekta ya filamu duniani imeendelea kushuhudia kazi nyingi kubwa katika karne ya 21 (2020-2026), huku baadhi ya filamu zikibadili kabisa...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mazungumzo ya Kiuchumi Jijini St. Petersburg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji kati...

READ MORE

Rais Samia Aandika Historia Atunukiwa Udaktari wa Heshima Moscow (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Peoples’...

READ MORE

Video: Ajali ya Kutisha Tunduru, Lori la Mafuta Lateketea, Dereva Afariki

Dereva wa lori la mafuta, Adam Abraham (46), mkazi wa Boko-Bunju jijini Dar es Salaam, amefariki Dunia baada la gari...

READ MORE

Exclusive: Mchungaji Msigwa Afichua Mazito, Sababu Kurudi Chadema Tume Ya Chande -Video

Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo aliyerejea ndani ya chama hicho baada ya awali kuhamia CCM, Peter Msigwa amesema...

READ MORE

Video: Dada wa Mtanzania wa Aliyekamatwa Oman Afunguka Mazito Global TV

Dada wa Mtanzania, Ashura Abdul Salum, amezungumza na Global TV kupitia kipindi cha #Mapito na kueleza hali ya mdogo wake...

READ MORE

Trump Ataka Kukutana na Kiongozi wa Iran, Afunguka Vita Israel na Lebanon – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema angependa kukutana na kiongozi wa juu wa Iran, Mojtaba Khamenei, huku akibainisha kuwa huenda...

READ MORE

Video: Makonda Awaomba Watanzania Kuwapa Morali Serengeti Boys

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anawatunza, anawalea na...

READ MORE

Mashambulizi ya Makombora Yazidisha Hali ya Taharuki Mashariki ya Kati – Video

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka kwa kasi baada ya Iran kudai kuhusika na mashambulizi dhidi ya maeneo ya...

READ MORE

Senegal Watwaa Ubingwa wa AFCON U-17 Baada ya Kuifunga Tanzania Kwa Penalti (Picha +Video)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika...

READ MORE

Barnaba Ataja Hasara Aliyoipata Studio Kuungua ”Ni Zaidi Ya Tsh Mil 100″ – Video

Studio za msanii wa Bongo Fleva, Barnaba Classic, zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia Juni 1, 2026 katika eneo la...

READ MORE

Rais wa Tanzania Samia Apokelewa Kwa Heshima Urusi Katika Ziara ya Kitaifa (Picha +Video)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa inayotarajiwa kuanza rasmi Juni 3 hadi Juni...

READ MORE

Rais Samia Amteua Ummy Mwalimu Kuwa Mshauri wa Rais – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, kuwa Mshauri wa...

READ MORE

Video: Kyiv Yakumbwa na Mashambulizi Makubwa, Zelensky Aililia Marekani

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema msaada wa kijeshi kutoka Marekani ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote baada ya...

READ MORE

Zaiylissa Amuonya Dulla Makabila Kumtaja Kwenye Mahojiano “Nimechoka” -Video

Muigizaji Zaiylissa amempa onyo kali msanii wa Singeli Dulla Makabila, akimtaka kuacha kabisa kumzungumzia kwenye mahojiano mbalimbali (interviews) na kuheshimu...

READ MORE

Video: Jinsi Polisi Walivyohukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Mfanyabiashara Wa Madini (Part 1-3)

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara iliwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili kati ya maofisa saba wa jeshi la...

READ MORE

Feitoto Kutocheza Mechi za Kirafiki za Stars Dhidi ya Uganda na Rwanda – Video

Nyota wa Taifa Stars na Azam FC, Feisal Salum ‘Feitoto’ atazikosa mechi za kirafiki za Stars kutokana na kuwa majeruhi....

READ MORE

Mama Alia Mbele ya Waziri Mkuu Akidai Mwanaye Kuchukuliwa na Wanaojiita Polisi – Video

Kumetokea tukio la kusikitisha ambapo mama mmoja ameonekana akiomba msaada mbele ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akidai kuwa mwanaye...

READ MORE

Kuwait Yalaani Mashambulizi ya Iran, Saudi Arabia na UAE Watoa Tamko

Serikali ya Kuwait imeishutumu Iran kwa kile ilichokiita mashambulizi ya mara kwa mara na ya kinyama, ikisema kuwa hatua hiyo...

READ MORE

Rais wa Iran Aripotiwa Kuomba Kujiuzulu, Adai Kutengwa Kwenye Maamuzi – Video

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anaripotiwa kuwasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kudai kupokonywa mamlaka ndani ya mfumo wa uongozi...

READ MORE

Israel Yateka Ngome ya Beaufort Lebanon Katika Operesheni Dhidi ya Hezbollah – Video

Jeshi la Israel limekamata eneo la kimkakati la Ngome ya Beaufort kusini mwa Lebanon, katika hatua ambayo Waziri Mkuu Benjamin...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Amri Kali, Walioiba Milioni 500 Manyoni Kukamatwa – Video

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza watumishi waliohusishwa na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 500 katika Halmashauri ya Wilaya...

READ MORE

Miaka 18 Baadaye: Jk Akutana Tena Na Catherine, Binti Aliyefanyiwa Upasuaji Wa Moyo Akiwa Na Miaka Minne – Video

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad...

READ MORE