Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma amemwomba Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi kuchukua hatua dhidi ya kauli zinazotolewa na...
READ MOREMkurugenzi wa Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia amesema kuwa suala la katiba mpya halipaswi kuonekana...
READ MOREMtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...
READ MOREJeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...
READ MOREMarekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...
READ MORESiku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...
READ MOREStaa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...
READ MOREMahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...
READ MORESerikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/25 imepanga kutoa msamaha wa kodi ya mapato kwa wafanyabiashara wapya kwa kipindi cha...
READ MORESerikali imependekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari zinazochezwa kupitia michezo...
READ MOREMwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...
READ MORERais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...
READ MOREGLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...
READ MORESerikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati...
READ MORETaasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu...
READ MORESekta ya filamu duniani imeendelea kushuhudia kazi nyingi kubwa katika karne ya 21 (2020-2026), huku baadhi ya filamu zikibadili kabisa...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa biashara na uwekezaji kati...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Peoples’...
READ MOREDereva wa lori la mafuta, Adam Abraham (46), mkazi wa Boko-Bunju jijini Dar es Salaam, amefariki Dunia baada la gari...
READ MOREKada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo aliyerejea ndani ya chama hicho baada ya awali kuhamia CCM, Peter Msigwa amesema...
READ MOREDada wa Mtanzania, Ashura Abdul Salum, amezungumza na Global TV kupitia kipindi cha #Mapito na kueleza hali ya mdogo wake...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, amesema angependa kukutana na kiongozi wa juu wa Iran, Mojtaba Khamenei, huku akibainisha kuwa huenda...
READ MOREWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha anawatunza, anawalea na...
READ MOREMvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka kwa kasi baada ya Iran kudai kuhusika na mashambulizi dhidi ya maeneo ya...
READ MORETimu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika...
READ MOREStudio za msanii wa Bongo Fleva, Barnaba Classic, zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia Juni 1, 2026 katika eneo la...
READ MORERais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa inayotarajiwa kuanza rasmi Juni 3 hadi Juni...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, kuwa Mshauri wa...
READ MORERais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema msaada wa kijeshi kutoka Marekani ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote baada ya...
READ MOREMuigizaji Zaiylissa amempa onyo kali msanii wa Singeli Dulla Makabila, akimtaka kuacha kabisa kumzungumzia kwenye mahojiano mbalimbali (interviews) na kuheshimu...
READ MOREMAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara iliwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili kati ya maofisa saba wa jeshi la...
READ MORENyota wa Taifa Stars na Azam FC, Feisal Salum ‘Feitoto’ atazikosa mechi za kirafiki za Stars kutokana na kuwa majeruhi....
READ MOREKumetokea tukio la kusikitisha ambapo mama mmoja ameonekana akiomba msaada mbele ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akidai kuwa mwanaye...
READ MORESerikali ya Kuwait imeishutumu Iran kwa kile ilichokiita mashambulizi ya mara kwa mara na ya kinyama, ikisema kuwa hatua hiyo...
READ MORERais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anaripotiwa kuwasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kudai kupokonywa mamlaka ndani ya mfumo wa uongozi...
READ MOREJeshi la Israel limekamata eneo la kimkakati la Ngome ya Beaufort kusini mwa Lebanon, katika hatua ambayo Waziri Mkuu Benjamin...
READ MOREMsichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...
READ MOREWAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza watumishi waliohusishwa na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 500 katika Halmashauri ya Wilaya...
READ MORERais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad...
READ MORE