×

Afya

Sababu 7 za Kutumia Mafuta ya Ng’ombe Kwenye Mlo Wako

Mafuta ya ng’ombe (tallow) ni mafuta ya asili yanayopatikana baada ya kuyeyusha mafuta ya ng’ombe. Kwa miaka mingi yamekuwa yakitumika...

READ MORE

Mambo Sita Usiyoyajua Kuhusu Faida na Hasara za Pilipili

Pilipili ni kiungo kinachotumiwa sana kwenye vyakula mbalimbali kutokana na ladha yake ya ukali. Ina kemikali iitwayo capsaicin ambayo ndiyo...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kula Machungwa Kila Siku

Machungwa ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi, lakini nyuma ya ladha yake tamu kuna...

READ MORE

Matunda 5 Yanayosaidia Kuimarisha Afya ya Figo

Lishe sahihi ina mchango mkubwa katika kulinda na kuboresha afya ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, uchaguzi wa...

READ MORE

Fahamu Siri ya Mbegu za Maboga Zinazobadilisha Afya Yako

Mbegu za maboga ni moja ya vyakula vya asili vinavyopatikana kwa urahisi, lakini mara nyingi hazipewi thamani inayostahili. Licha ya...

READ MORE

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi...

READ MORE

Sababu 10 za Maumivu ya Tumbo Kwa Wajawazito Wakati wa Miezi Mitatu ya Kwanza

WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo Sababu zinazofanya kutokea kwa maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya...

READ MORE

Elewa Kinachosababisha Kuwa na Kizunguzungu (Dizziness)

Kizunguzungu kisichofahamika chanzo (Benign Paroxysmal Positional Vertigo) – Kizunguzungu hiki hakina athari kubwa kwa maisha ya muhusika. Aina hii ya...

READ MORE

Fahamu Kiumbe Cha Bahari Chenye Siri Nyingi Za Kushangaza, Soma Hapa

Pweza ni kiumbe cha baharini chenye maajabu mengi ikiwemo kuwa na mioyo 3 ambapo moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu...

READ MORE

Haya Ndiyo Maajabu Sita ya Kula Nanasi Kila Mara Kwa Afya Yako

Nanasi ni tunda lenye virutubisho vingi vinavyosaidia afya ya mwili kwa ujumla. Likiwa limeiva vizuri, lina ladha tamu na pia...

READ MORE

Fahamu Kwa Nini Mafuta ya Mawese Yanatajwa Kuwa na Virutubisho Muhimu?

Mafuta ya mawese ni miongoni mwa mafuta yanayotumika sana katika mapishi, hasa barani Afrika. Ingawa matumizi yake yamekuwa yakijadiliwa mara...

READ MORE

Fahamu Makundi Matatu ya Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo

KUNA makundi matatu makuu ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo na leo tutajadili kwa kina aina hizo za magonjwa haya...

READ MORE

Kwa Nini Supu ya Kongoro Ni Maarufu? Hizi Ndizo Sababu

Supu ya kongoro ni moja ya vyakula vinavyopendwa sana barani Afrika, hususan Tanzania, ambapo mara nyingi huliwa hasa asubuhi au...

READ MORE

Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia Kupunguza Uzito na Kuimarisha Afya

Stoberi (strawberry) ni moja ya matunda maarufu duniani kutokana na ladha yake tamu na faida zake nyingi kiafya. Licha ya...

READ MORE

Matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuwa na...

READ MORE

Faida 5 za Maji ya Limao Ambazo Watu Wengi Hawazijui

Maji ya limao ni kinywaji rahisi kinachotengenezwa kwa kuchanganya maji na juisi ya limao mbichi. Kunywa maji ya limao kila...

READ MORE

Kwa Nini Kula Karoti ni Muhimu kwa Afya ya Macho

Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni...

READ MORE

Fahamu Maajabu Ya Parachichi Kuanzia Majani Hadi Mbegu Zake

PARACHICHI ni miongoni mwa matunda yenye ladha nzuri na ni maarufu hapa Tanzania. Kutokana na utamu na wingi wake wa...

READ MORE

Sababu 7 Zinazofanya Ndizi Mbivu Kuwa Tunda Bora kwa Afya

Ndizi mbivu ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu pamoja...

READ MORE

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla....

READ MORE

Fahamu Tunda la Zabibu Linavyosaidia Moyo, Ubongo na Ngozi

Zabibu ni miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi vinavyosaidia kuimarisha afya ya mwili. Hapa ni baadhi ya faida zake: 1....

READ MORE

Fahamu Majabu 7 Usiyoyajua ya Papai kwa Afya ya Binadamu

PAPAI ni tunda linalopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu na faida zake nyingi kiafya. Tunda hili hupatikana...

READ MORE

Fahamu Maajabu 15 Ya Dawa Ya Meno Usiyoyajua

KWA kawaida tunazifahamu dawa za meno na tunatumia majumbani lakini pia zimezoeleka kuitwa kama dawa ya mswaki. Njia kuu moja...

READ MORE

Fahamu Maajabu 12 Ya Viazi Mbatata Kwa Afya Yako

Viazi mbatata ni miongoni mwa vyakula vyenye virutubisho vingi vinavyosaidia kuboresha afya ya mwili. Mbali na kuwa chanzo kizuri cha...

READ MORE

Faida Ya Kutafuna Mhogo, Nazi Kwa Wanaume! Soma Hapa

MIHOGO na nazi mbata ambavyo huuzwa kwa wingi na kinamama jijini Dar es Salaam, vina uwezo mkubwa wa kurejesha uwezo...

READ MORE

Siri ya Mimba ya Mapacha: Fahamu Kwa Nini Mtoto Mmoja “Hupotea”?

Vanishing Twin Syndrome (kwa Kiswahili: pacha anayepotea) ni hali ya mimba ambapo mwanzo wa ujauzito huwa na mapacha (vijusi viwili),...

READ MORE

Ifahamu figo yako inavyoweza kuharibika

 LEO tutakuelimisha kuhusu chanzo cha maradhi ya figo na tutakueleza dalili zake ili ufahamu jinsi ya kujikinga.  Figo ni sehemu...

READ MORE

Sababu 7 Kwanini Wagonjwa wa Pressure Wanatumia Kitunguu Saumu

High blood pressure (hypertension) ni sababu kubwa ya magonjwa ya moyo, kiharusi na uharibifu wa figo. Kwa muda mrefu, tiba...

READ MORE

Mboga 5 za Mizizi Zinazofanya Macho Yako Kuangalia Vizuri Kila Siku!

Vyakula vyenye antioxidants na vitamini vina mchango mkubwa katika kulinda afya ya macho. Kwa mujibu wa Dkt. Duong Minh Phuc...

READ MORE

Zijue Athari za Kula Chipsi, Moja Kati ya Chakula Pendwa Zaidi Duniani

KIUKWELI katika vyakula vitamu duniani na vinavyopendwa haswaa na watu duniani usiposema chipsi utakuwa mtu waajabu sana. Chipsi haziliki bongo...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Upungufu wa Nguvu za Kiume na Magonjwa ya Ndani ya Mwili

Upungufu wa nguvu za kiume ni changamoto inayowakumba wanaume wengi duniani, hasa kadri umri unavyoongezeka. Hata hivyo, jambo ambalo wengi...

READ MORE

Vyakula Vya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

KUNA baadhi ya wanawake ambao hupata maumivu tofauti wakati wa siku za hedhi kila mwezi.  Maumivu haya makali na mateso...

READ MORE

Jinsi ya Kupunguza Mafuta ya Ini kwa Lishe Sahihi

Ini lenye mafuta ni hali inayotokea pale mafuta yanapokusanyika kwa wingi kwenye seli za ini, jambo linaloathiri utendaji wake kwa...

READ MORE

Fahamu Vyakula vya Kuondoa Gesi Tumboni au Kusaidia Tumbo Kujaa

Watu wengi wamekuwa wakiniomba mada hii japo nilishawahi kuitoa huko nyuma baada ya kuhangaika sana na matumbo yao kujaa gesi...

READ MORE

Vyakula Ambavyo Husaidia Kupunguza Presha Ya Kupanda

Presha ya kupanda inaweza kupelekea athari kubwa na mbaya sana kwenye afya ya mtu. Presha ya kupanda isipotibiwa ama mtu...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Kitunguu Maji: Lishe Asili Yenye Faida Kubwa kwa Afya

Kitunguu maji, kinachojulikana pia kama green garlic, ni mojawapo ya mimea yenye nguvu ya lishe na faida nyingi za kiafya....

READ MORE

Matatizo ya Afya Yanayosababishwa na Maji Kupita Kiasi Mwilini

Maji ni muhimu sana kwa afya ya binadamu, lakini kama mwili ukiwa na maji mengi kuliko inavyohitajika, hali hii inaweza...

READ MORE

Dalili 5 Muhimu za Ugonjwa wa Figo Usizopaswa Kupuuza

Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini...

READ MORE

Mambo 5 Unayotakiwa Kujua Kuhusiana Na Hedhi

NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake.  Pia,...

READ MORE

Fahamu Madhara ya Kiafya ya Uvutaji wa Shisha, Jua Kabla Hujaanza Kuvuta

Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana. Wengi huamini kuwa...

READ MORE