×

Michezo

Steve Barker Akiri Makosa Baada ya Simba Kupoteza kwa Yanga

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amekiri kuwa kuna mambo yaliyohitaji kufanyiwa kazi baada ya kikosi chake kupoteza kwa...

READ MORE

Beşiktaş dhidi ya Hradec Králové Nani Kufuzu Europa League

Leo Alhamisi, Agosti 13, saa 20:00 usiku, uwanja wa Vodafone Park, Istanbul, utakuwa jukwaa la mechi ya pili ya raundi...

READ MORE

Mkesha wa Mwenge Buchosa, Polisi Sengerema Watoa Uhakika wa Usalama – Video

BUCHOSA, MWANZA — Jeshi la Polisi Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Mwanza, limewahakikishia wananchi wa Buchosa kuwa litasimamia kikamilifu usalama...

READ MORE

Rais Samia Azindua Mradi wa Maji Kuelekea Kilele cha Tamasha la Kizimkazi

KIZIMKAZI, ZANZIBAR — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Mradi wa Maji Kizimkazi, ikiwa...

READ MORE

Yanga, Simba na Azam Zaanza Safari ya Ligi Kuu kwa Mikikimikiki

DAR ES SALAAM: Mabingwa watetezi wa NBC Premier League, Yanga SC, watafungua kampeni ya msimu wa 2026/27 kwa mchezo mgumu...

READ MORE

Karoline Aondoka White House, Aendelea Kuwa Mshauri wa Trump

Washington, D.C. — Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kwamba Karoline Leavitt ataondoka katika nafasi yake ya Katibu wa Habari...

READ MORE

Azam FC Yajibu Tetesi za Fei Toto Kuhamia Yanga au Simba

DAR ES SALAAM: Azam FC imesisitiza kuwa kiungo wake nyota, Feisal “Fei Toto” Salum, ataendelea kuwa sehemu ya kikosi cha...

READ MORE

Trey Songz Atua Dar Kuandika Historia Tamasha la IMBEJU Sauti Moja Kesho

DAR ES SALAAM: Mwimbaji maarufu wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz, amewasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutumbuiza...

READ MORE

Unatafuta Kazi? Nafasi Ya Marketing & Advertising Officer Dar, Full-time

📍 Dar es Salaam | Full-time Tunatafuta Marketing & Advertising Officer mwenye uwezo, ubunifu na uzoefu katika Advertising Sales, hasa...

READ MORE

Uchawi wa Hadithi za Ireland Waingia Kwenye Dunia ya Kasino

Dunia ya michezo ya kasino imepata ladha mpya kupitia Meridian Leprechaun Wish, mchezo unaochota msukumo kutoka kwenye simulizi maarufu za...

READ MORE

Jeff Bezos Avamia Soka England, Liverpool Yatajwa Kwenye Dili la trilioni

Bilionea na mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos, anakaribia kuwa mmoja wa wamiliki wa Liverpool FC, baada ya kuhusishwa na muungano...

READ MORE

Yanga Yatwaa Ngao ya Jamii 2026 Baada ya Kuichapa Simba 1-0

ZANZIBAR: Young Africans SC (Yanga) wameanza msimu mpya kwa kishindo baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Depú Arejea Petro de Luanda kwa Dau la TSh Bilioni 1.3!

Petro de Luanda imetangaza rasmi kumsajili tena mshambuliaji wa Kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’, kutoka Yanga, kuelekea...

READ MORE

Kitawaka Simba vs Yanga Ngao ya Jamii 2026, Zanzibar leo, Piga Pesa Hapa

Baada ya kushuhudia matamasha ya Simba Day na Yanga Day sasa ni zamu ya kuhamia uwanjani kwenda kumtafuta Bingwa ambaye...

READ MORE

Kesho ni Siku ya Maamuzi Zambia, Hichilema Akabiliwa na Mtihani Mzito Katika Uchaguzi Mkuu

LUSAKA, ZAMBIA: Zambia iko tayari kwa uchaguzi mkuu unaofanyika kesho, Alhamisi, Agosti 13, 2026, ambapo wananchi watapiga kura kumchagua Rais,...

READ MORE

Yanga Yakataa Ofa ya Tsh bilioni 1.8 kwa Allan Okello

Yanga wanadaiwa kukataa ofa ya dola 700,000, sawa na takribani Tsh bilioni 1.8, kutoka FAR Rabat ya Morocco kwa ajili...

READ MORE

Mwalimu Aanza Mazoezi Yanga Baada ya Kuwasili Zanzibar – Picha

Mshambuliaji Selemani Mwalimu ‘Gomez’ leo, Agosti 11, 2026, amewasili Visiwani Zanzibar akiwa pamoja na Ali Kamwe na muda mfupi baadaye...

READ MORE

Mbeto: Tamasha La Kizimkazi Linaendeleza Mila Na Utamaduni Wa Jamii

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Tamasha la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, lina msingi wa kuhifadhi na kuendeleza utamaduni, mila...

READ MORE

Kocha wa Yanga Aahidi Ushindi Dhidi ya Simba Kesho Uwanja wa New Amaan Complex

Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amesema timu yake iko tayari kwa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba,...

READ MORE

Selemani Mwalimu ‘Gomez’ na Ali Kamwe Watua Zanzibar, Arafat Awapokea – Picha

Mshambuliaji Selemani Mwalimu ‘Gomez’ leo Agosti 11, 2026 amewasili Visiwani Zanzibar akiwa pamoja na Ali kamwe, ambapo amepokelewa na Makamu...

READ MORE

PSG Kukutana na Aston Villa Kuwania Taji la UEFA Super Cup Kesho

Salzburg, Austria — Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), kesho Jumatano Agosti 12 saa nne usiku watakutana...

READ MORE

Jeff Bezos Akosolewa Baada Ya Kuchangia bilioni 529 Kuokoa Wanyama 100

Bilionea na mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos, amekumbana na ukosoaji baada ya kutangaza ahadi ya kuchangia dola milioni 200 (Shilingi...

READ MORE

Video: Wilbroad Slaa Afichua Kilichotokea Wakati Akikamatwa kwa Uhaini

Mwanasiasa mkongwe nchini, Dk. Wilbroad Slaa, amefanya mahojiano maalum na Global TV, ambapo amefunguka kuhusu maisha yake, safari yake ya...

READ MORE

Simba Yakutana na Kaa la Moto, Pamba na Geita Gold Zavaa Miwani ya Vita Ligi Kuu

Pazia la NBC Premier League msimu wa 2026/27 linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14, huku timu mbalimbali zikianza kampeni ya kusaka...

READ MORE

Barker Afunguka Mipango Ya Simba Kuelekea Derby ya Kariakoo

  Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker, amesema timu yake imejiandaa kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi...

READ MORE

Simba Yasaka Mbadala wa Mwalimu, Aliyewatungua Yanga Atajwa

Inaelezwa kuwa mabosi wa Simba SC wapo kwenye hesabu za kusaka mbadala wa Seleman Mwalimu ambaye ametambulishwa katika kikosi cha...

READ MORE

Trump Amlinda Infantino, Asema Kumuondoa FIFA Ni “Kosa Kubwa”

WASHINGTON, Agosti 11, 2026 — Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa uungwaji mkono kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la...

READ MORE

Simba Wapigwa Bao Mchana Kweupe, Yanga Yamtambulisha Selemani Mwalimu ‘Gomez’

Klabu ya Yanga SC, maarufu kama Wananchi, imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Selemani Mwalimu ‘Gomez’, kuwa mchezaji wao mpya...

READ MORE

Mourinho Afichua Kilichomfanya Agome Kuchukua Nafasi ya Sir Alex

JOSE Mourinho amefichua kuwa aliwahi kusaini makubaliano ya kuchukua nafasi ya ukocha wa Manchester United kutoka kwa Sir Alex Ferguson...

READ MORE

Mshindi wa Ngao Kuamuliwa Jumatano Ndani ya Dakika 90

Mashabiki wengi wanasubiri kwa hamu mechi ya kibabe za Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Simba itakayopigwa kule...

READ MORE

Rashford Arejea Manchester United Apewa Jezi namba 14

Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya  baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na...

READ MORE

Mixx Yashinda Tuzo Tatu Katika Tuzo za TEHAMA 2026

10 Agosti 2026, Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za kifedha kidijitali, Mixx, imeshinda tuzo tatu katika Tuzo za TEHAMA...

READ MORE

Yanga Yapoteza Yanga Day, Mashabiki Wabaki na Furaha Baada ya Kuona Kiwango cha Timu

MASHABIKI wa Yanga wameondoka jana kwenye Tamasha la Yanga Day wakiwa na furaha licha ya timu yao kupoteza kwa mabao...

READ MORE

Ghalib Said Mohamed Ahudhuria Yanga Day Uwanja wa Uhuru

Rais wa GSM Group, Ghalib Said Mohamed, amehudhuria hafla ya Yanga Day inayofanyika leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es...

READ MORE

Sparta Rotterdam Uso kwa Uso Feyenoord Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Eredivisie 2026/27

Loo Jumapili, tarehe 9 Agosti 2026, katika uwanja wa Sparta-Stadion Het Kasteel. itapigwa Mechi ya ufunguzi wa msimu mpya wa...

READ MORE

YANGA DAY LEO! Wananchi Kuja na Comeback ya Kibabe Uwanja wa Uhuru, Burudani Kutikisa

Dar es Salaam. Leo Agosti 9, 2026, Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam unatarajiwa kugeuka kitovu cha burudani na...

READ MORE

Mo Dewji Atoa Ujumbe Mzito kwa Wanasimba “Tusigawanyike”

Mwekezaji wa Simba na Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohammed Dewji, amewataka Wanasimba kuacha migawanyiko na malumbano, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Mo Dewji Akutana na Viongozi wa Simba Uwanja wa Uhuru Katika Simba Day – Picha

DAR ES SALAAM: Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji, amekutana na kusalimiana na viongozi wa klabu hiyo wakati wa...

READ MORE

Simba Day Yaanza Kwa Kishindo, Wanamsimba Wakataa Kukaa Chini (Picha +Video)

Leo, Agosti 8, 2026, Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam limegeuka kuwa uwanja wa shangwe, huku maelfu ya mashabiki...

READ MORE

Infantino Akanusha Madai ya Kumlipa Mwanamke Anayedaiwa Kuwa Mpenzi Wake

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amekanusha vikali madai kwamba UEFA ilimlipa kiasi kikubwa cha fedha mwanamke anayedaiwa kuwa na uhusiano...

READ MORE