×

Michezo

Waziri Mkuu Mwigulu Akagua Maendeleo Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu, Arusha

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Aprili 17, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu unaojengwa mkoani...

READ MORE

Fàbregas Aigeuza Como 1907 kuwa Tishio Kubwa Serie A, Kutinga UEFA

Je unajua kuwa Cecs Fabregas amekuwa ni nguzo ya mafanikio kwa klabu ya Como 1907 na amekuwa na msaada mkubwa...

READ MORE

Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United

Leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam imefanyika droo ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB (CRDB...

READ MORE

Mbeya City Yaachana na Mecky Maxime Baada ya Kipigo Cha 6-0 Dhidi ya Yanga

Klabu ya Mbeya City imetangaza kuachana na Kocha Mkuu wake, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi kwa makubaliano...

READ MORE

Makonda Amteua Tenga Kuongoza Maandalizi ya AFCON 2027

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania, Paul Makonda, amemteua aliyekuwa nahodha wa zamani wa timu ya taifa,...

READ MORE

Aston Villa, Freiburg, na Celta Vigo Kukiwasha leo Kutinga Nusu Fainali ya Europa

Michuano ya Europa kule Ulaya inazidi kunoga haswa huku mechi za mkondo wa kwanza zikitoa thathmini za mechi za mkondo...

READ MORE

Raphinha Aomba Radhi Baada ya Ishara Dhidi ya Mashabiki wa Atlético Madrid

Nyota wa FC Barcelona, Raphinha, ameomba radhi kufuatia ishara aliyofanya kuelekea mashabiki wa Atlético Madrid baada ya timu yake kutolewa...

READ MORE

Vita ya Nusu Fainali UEFA: Arsenal na Sporting, Bayern na Real Madrid Kukiwasha Leo

Leo hii mechi za UEFA mkondo wa pili zitapigwa huku nafasi ya kwenda Nusu Fainali ikiwa zinagombaniwa na timu zote...

READ MORE

Atlético Madrid Yatinga Nusu Fainali UEFA Baada ya Kuiondoa FC Barcelona

Atlético Madrid iko kwenye kiwango cha juu cha mafanikio baada ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa (UEFA) na wakati...

READ MORE

Usiku wa Kisasi UEFA, Nani Kufuzu Nusu Fainali Barcelona vs Atletico Madrid, Liverpool vs PSG

Mabingwa wa zamani wa UEFA Champions League, Barcelona na Liverpool, wanakabiliwa na mtihani mzito leo usiku wakisaka tiketi ya nusu...

READ MORE

Uhasama wa Kihistoria Warudi EPL: Leeds Dhidi ya Man United Leo

Mechi hii inaitwa “War of the Roses” kwa sababu ya uhasama wa karne nyingi kati ya mikoa ya Lancashire (Manchester)...

READ MORE

Esperance Wapigwa Nyumbani, Sundowns Waanza Safari ya Fainali CAFCL

Klabu ya Mamelodi Sundowns imepiga hatua kubwa kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE

Mkuu wa Masoko Stanbic Tanzania Aingia Kwenye Orodha ya Viongozi Bora wa Masoko Afrika

Tanzania imepata heshima nyingine kubwa katika sekta ya huduma za kifedha baada ya Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki...

READ MORE

Vita Ya Nuno Espirito na Unai Emery Kuamuliwa Leo, Nani Kumzidi Mbinu Mwenzake?

Leo tarehe 12 Aprili saa 16:00 jioni, Uwanja wa City Ground utakuwa mwenyeji wa pambano la Ligi Kuu ya Uingereza...

READ MORE

Msisimko Unazidi Kuwa Mkubwa Kila Ukicheza Zombie Apocalypse

Mitaa inanoga kila kukicha na sasa wabashiri wana sababu nyingine kubwa Zaidi ya kufurahi kila dakika wawapo mchezoni. Kupitia Meridianbet...

READ MORE

Arsenal Yapoteza Kwa Bournemouth, Ndoto ya Ubingwa Yaanza Kuyumba

Klabu ya Arsenal imejikuta katika hali ngumu kwenye mbio za ubingwa baada ya kupoteza mchezo muhimu dhidi ya AFC Bournemouth...

READ MORE

Mechi ya Kisasi Bundesliga: Dortmund vs Leverkusen Kitawaka, Liverpool vs Fulham leo

Wikendi hii Liverpool atashuka dimbani kumenyana dhidi ya Fulham moja ya timu ngumu kukabaliana nazo na pia huwa inamsumbua sana....

READ MORE

BAKITA Yamteua Hersi Said Kuwa Balozi wa Kiswahili Duniani

Bodi ya Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) imemteua rasmi Rais wa Klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said, kuwa balozi wa...

READ MORE

Mbio za Ubingwa Zapamba Moto EPL, LaLiga: Madrid Hawataki Kuteleza Tena, West Ham vs Wolves

Ligi kuu ya Hispania, LALIGA kuna mechi zinachezwa siku ya leo lakini sisi tutaiangazia mechi ya Real Madrid dhidi ya...

READ MORE

Simba Wateleza Tena Dhidi ya TRA United, Watoka 0-0 Arusha

Simba leo Aprili 9, 2026 ameshindwa kupata ushindi kwa mara ya kwanza dhidi ya TRA United baada ya kulazimishwa sare tasa...

READ MORE

Timu 4 Kushuka Dimbani leo Usiku Kusaka Nusu Fainali ya Europa

Ni Alhamisi ya kibabe kabisa ambapo timu 4 zitashuka uwanjani kuwania nafasi ya kufuzu hatua ya Nusu Fainalia kwenye mechi...

READ MORE

Okello Atengeneza Historia! Assist 3, Yanga Yaisambaratisha Pamba 3-0

Klabu ya Yanga imeonyesha ubabe mkubwa baada ya kuichapa Pamba Jiji FC mabao 3-0 katika dimba la CCM Kirumba Stadium, Mwanza,...

READ MORE

Usiku wa Maamuzi Camp Nou: Nani Atamfunika Mwenzake Barcelona vs Atletico?

Usiku wa patashika nguo kuchanika  kati ya Diego simeone na Hansi Flick ambapo kilka mmoja anatamani kutumia mbinu zake ili...

READ MORE

Magori Afunguka Sakata la Mpanzu, Asema Hana Mgomo wa Mkataba

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori, amejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya wachezaji Mpanzu na Loemba pamoja na...

READ MORE

Serengeti Apple Yanogesha Pasaka kwa Mandhari, Ladha na Vibe ya Kipekee Dar es Salaam

Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum mwishoni mwa wiki...

READ MORE

Sakata la Uraia Lapamba Moto, Simba Yagoma Kukubali Uamuzi – Video

Klabu ya Simba SC imesisitiza kuwa bado haijafunga ukurasa wa sakata la mchezaji wa Yanga, ikionesha nia ya kuendelea kulifuatilia...

READ MORE

Arsenal na Real Madrid Kwenye Mtihani Mzito Robo Fainali UEFA leo

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo...

READ MORE

Simba Kuikabili TRA, Dodoma Jiji na Fountain Gate jijini Arusha

Klabu ya Simba imeondoka asubuhi ya leo Aprili 7, 2026 kuelekea Arusha kwa ajili ya kuanza ratiba ya michezo mitatu...

READ MORE

Lukaku Abeba Matumaini ya Napoli, Kukiwasha na AC Milan Leo

Mbio za kutwaa ubingwa wa Serie A msimu huu ni mbio za watu watatu, na mechi ya leo kati ya...

READ MORE

Singida Black Stars Yavunja Benchi Zima la Ufundi Baada ya Kichapo cha TRA United

Klabu ya Singida Black Stars imetangaza kuvunja benchi zima la ufundi lililokuwa chini ya kocha Othmen Najar kuanzia Aprili 5,...

READ MORE

Azam FC Yaendeleza Ubabe Dhidi ya Simba, Yadumisha Rekodi ya Kutopoteza

Klabu ya Azam FC Aprili 5, 2026 imeendelea kuonesha ubora wake msimu huu baada ya kutoka sare ya bila kufungana...

READ MORE

Inter vs Roma, Monaco vs Marseille: Nani Ataibuka Kidedea?

Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za leo ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia...

READ MORE

Arsenal Yachapwa 2-1 na Southampton, Ndoto za FA Cup Zafutika

Klabu ya Arsenal imeondoshwa kwenye michuano ya FA Cup baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Southampton katika...

READ MORE

Wikiendi Ya Moto Ulaya leo: Atletico vs Barcelona, City vs Liverpool Kutikisa

Je unajua kuwa unaweza kutengeneza pesa zako leo na Meridianbet ukisuka jamvi lako la ushindi?. Mechi kuanzia kule Laliga, Epl, ...

READ MORE

Mashabiki Walalamikia Viingilio Vya Azam Fc Dhidi Ya Simba Kesho

MASHABIKI wameibuka na malalamiko makubwa mitandaoni kufuatia Azam FC kutangaza viingilio vya mechi yao dhidi ya Simba SC itakayochezwa Jumapili,...

READ MORE

Enzo Fernandez Aingia Kwenye Mzozo na Chelsea, Afungiwa Mechi Mbili

Klabu ya Chelsea FC imemuweka kando kiungo wake nyota Enzo Fernandez kwa mechi mbili kufuatia kauli zake za hadharani kuhusu...

READ MORE

Ufaransa Kuweka Historia Kucheza Fainali Tatu za Kombe la Dunia?

Moja ya sababu kubwa zinazomfanya mchambuzi yeyote kuiweka Ufaransa kama mshindi anayetarajiwa 2026 ni uzoefu wao wa hivi karibuni wa...

READ MORE

Sababu 5 Zinazowapa Argentina Nafasi ya Kutwaa Kombe la Dunia 2026

Wakali wa ubashiri wanampa nafasi ya 5 Argentina kushinda Kombe la Dunia 2026. Mashindano ambayo ayanatarajiwa kufanyika kule Bara la...

READ MORE

TFF Yatupilia Mbali Shauri la Simba, Hakuna Dosari Kwa Damaro

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imetupa shauri lililowasilishwa na Simba kuhusu uhalali wa usajili wa mchezaji...

READ MORE

Kitawaka leo! Simba vs Coastal Union – Nani Ataibuka na Ushindi?

Ligi Kuu Tanzania Bara inarejea rasmi baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA, huku mashabiki wakisubiri kwa hamu pambano kali...

READ MORE