×

Michezo

Mane Akuwangoza Simba wa Teranga Kumkabili Mbappe Leo – Kombe la Dunia

Tukiwa bado tunaendelea na mitanange hii mikubwa Duniani, leo hii kuna mechi za kukata na shoka. Ingia Meridianbet na usuke...

READ MORE

Spain Wabeba Upepo wa Ushindi Kuelekea Mechi ya Cape Verde

Leo ndiyo ile siku ya Mchezo kati ya Spain dhidi ya Cape Verde utakaopigwa leo Juni 15 saa 19:00 usiku...

READ MORE

Iran Yalalamikia Vikwazo vya Visa Kabla ya Mechi ya Kombe la Dunia

Kocha wa timu ya taifa ya Iran, Amir Ghalenoei, amesema mvutano wa kisiasa pamoja na matatizo ya upatikanaji wa visa...

READ MORE

Sweden Yaichapa Tunisia 5-1, Ayari Awa Shujaa Atupia Mabao Mawili

Kiungo Yasin Ayari aliiongoza Sweden kupata ushindi mkubwa wa mabao 5-1 dhidi ya Tunisia katika mchezo wa Kundi E wa...

READ MORE

Ivory Coast Yaanza Kombe la Dunia kwa Ushindi wa Kishujaa dhidi ya Ecuador

Timu ya taifa ya Ivory Coast imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi...

READ MORE

Ujerumani Yaichapa Curaçao Mabao 7-1, Historia Yaandikwa Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Ujerumani imeanza kwa kishindo kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Curaçao mabao...

READ MORE

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Mechi Mbili Kubwa Kuteka Hisia za Mashabiki leo

Nyasi kuwaka moto leo kwenye mechi za michuano mikubwa Duniani ambapo mataifa makubwa uanatarajiwa kushuka dimbani kuoneshana mbavu. Je nani...

READ MORE

Morocco Yaibana Brazil, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Morocco imeonyesha uimara mkubwa kwa kuibana Brazil na kulazimisha sare ya mabao 1-1 katika mchezo wa...

READ MORE

Meridianbet Yawapa Mashabiki Fursa ya Kushinda Zawadi Kubwa Kombe la Dunia

Kombe la Dunia 2026 limewasili na Meridianbet imeongeza msisimko kwa kuzindua kampeni kabambe ya “Mbabe wa Dunia”, ambapo mashabiki wa...

READ MORE

Trump Afunguka Kwa Hasira Baada ya Iran Kutoa Taarifa za Makubaliano

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Ijumaa kuwa kauli zilizovuja kutoka Iran kuhusu makubaliano ya amani kati ya Tehran na...

READ MORE

Marekani Yafungua Kombe la Dunia Nyumbani Kwa Kishindo, Yaichapa Paraguay 4-1

Katika dimba la SoFi Stadium, timu ya taifa ya Marekani ilianza kampeni yake ya Kombe la Dunia kwa ushindi mkubwa...

READ MORE

Canada Kuwa na Kibarua Kigumu Dhidi ya Bosnia – Vita ya Kuanza Kundi Kombe la Dunia

Leo hii tena tutaenda kushuhudia mechi zingine mbili kwenye michuano hii Mikubwa Duniani. Kila timu inataka kupambana kwa hali na...

READ MORE

Yanga Yateua Kamati ya Uchaguzi, Adv. Malangwe Mchungahela Apewa Uenyekiti

Klabu ya Yanga imetangaza uteuzi wa Kamati ya Uchaguzi itakayosimamia mchakato wa uchaguzi wa klabu hiyo, huku Adv. Malangwe Mchungahela...

READ MORE

Airtel Yawekeza Dola Milioni 6.2 Kukuza Elimu na Ujuzi wa Kidijitali Afrika

Airtel Africa Foundation imechapisha ripoti yake ya kwanza, inayoonyesha utekelezaji wa miradi yenye mchango chanya kwa jamii katika nyanja mbalimbali...

READ MORE

Mexico Yaianza Kombe la Dunia kwa Ushindi wa Mabao 2-0 Dhidi ya Afrika Kusini

MEXICO CITY – Mwenyeji mwenza wa Kombe la Dunia 2026, Mexico, ameanza vyema kampeni yake ya michuano hiyo baada ya...

READ MORE

Mabao 9 Yamvisha Allan Okello Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Mei wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa...

READ MORE

Mwamuzi wa Somalia Omar Artan Ateuliwa Kuchezesha Super Cup ya PSG na Aston Villa

Mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, ametangazwa rasmi na UEFA kuwa mwamuzi wa mchezo wa UEFA Super Cup...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Mpira wa Kombe la Dunia 2026 Adidas “Trionda”

Kombe la Dunia 2026 litakumbukwa si tu kwa ukubwa wake wa kushirikisha mataifa matatu, bali pia kwa ubunifu wa kisasa...

READ MORE

Mexico na Afrika Kusini Kufungua Michuano ya Kombe la Duniani Leo

Leo ni leo, kinawaka kwenye mechi ya ufunguzi michuano mikubwa Duniani. Mexico kukiwasha dhidi ya Afrika Kusini macho yote yapo...

READ MORE

Mwakinyo Afunguka Baada ya Kupoteza Pambano la Ubingwa kwa TKO Ivory Coast

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, amepoteza pambano lake la ubingwa dhidi ya Michel Soro kwa TKO katika raundi ya tisa,...

READ MORE

Infantino Aeleza Sababu ya Mwamuzi wa Somalia Kuzuiwa Marekani

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan,...

READ MORE

Ureno Wajiandaa Kombe la Dunia 2026 Kwa Mtihani Mkali Dhidi ya Nigeria

  Mchezo huu una umuhimu wa kihisia kwa Nigeria, kwani wanakumbwa na kumbukumbu ya kipigo cha 4-0 walichopokea kutoka kwa...

READ MORE

Somalia Yasikitishwa na Kuzuiwa kwa Mwamuzi Omar Artan Kuingia Marekani

Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa...

READ MORE

Ufaransa Yajivunia Kikosi Cha Moto Kuelekea Kombe la Dunia

Kuanzia tarehe 11 June tutaenda kushudia vipaji vya maana kwenye michuano hii ya Kombe la Dunia ambapo tayari Meridianbet imeshakupatia...

READ MORE

Bara Gani Kuibuka Bingwa Kombe la Dunia 2026? Amerika Kusini na Ulaya Watamba

Nani unampa nafasi ya kwenda kutawala kwenye Michuano hii ya Kombe la Dunia 2026?. Nchi kibao zitaingia uwanjani kupambania nafasi...

READ MORE

Kimi Antonelli Ashinda Monaco GP kwa Mara ya Tano Mfululizo, Lewis Hamilton Atajwa

Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa...

READ MORE

Florentino Pérez Akaribia Kushinda Uchaguzi Real Madrid

Rais wa sasa wa klabu ya Real Madrid, Florentino Pérez, anatarajiwa kushinda uchaguzi wa urais wa klabu hiyo kwa kupata...

READ MORE

Haaland, Mbappé na Kane, Nani Kuandika Historia Kombe la Dunia 2026?

Siku kadhaa zijazo tutaenda kushuhudia michuano mikubwa ya Kombe la Dunia ambayo itapigwa huko kwenye nchi 3 yaani Mexico, Canada...

READ MORE

Ubelgiji na Tunisia Kupimana Nguvu Kabla ya Kombe la Dunia 2026

Leo Juni 6, 2026 saa 16:00 usiku, Uwanja wa Stade Roi Baudouin mjini Brussels, Ubelgiji utakuwa jukwaa la mchezo wa...

READ MORE

Familia ya Glazer Yadaiwa Kutaka Kuuza Manchester United

Kundi la wawekezaji kutoka Qatar lililoongozwa na Sheikh Jassim bin Hamad Al Thani halitawasilisha ofa mpya ya kuinunua Manchester United...

READ MORE

Mexico na Serbia Kuvaana Katika Kipimo Muhimu Kabla ya Kombe la Dunia 2026

Mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Mexico dhidi ya Serbia ilipangwa kupigwa Leo 5 Juni 2026 saa 05:00 alfajiri...

READ MORE

Ronaldo Kuongoza Kizazi cha Wachezaji Wakongwe Marekani 2026

Wachezaji saba wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanatarajiwa kushiriki kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026, jambo linaloonyesha...

READ MORE

Brazil, Ufaransa, Uingereza na Hispania Nani Kuchukua Kombe la Dunia?

Joto linazidi kuongezeka kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kule Mexico, Canada na U.S.A. Kila timu imejipanga kufanya vyema. Lakini...

READ MORE

Hizi Hapa Sheria 9 Mapya Zitakazotumika Kombe la Dunia 2026 Mexico, Marekani na Canada 

Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kupitia bodi ya sheria za mchezo (IFAB) limetangaza mabadiliko mapya ya sheria tisa yatakayotumika...

READ MORE

Mechi za Tanzania Dhidi ya Uganda na Rwanda Zafutwa Morocco

Mechi mbili za kimataifa za kirafiki za timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars dhidi ya Rwanda na Uganda zilizokuwa...

READ MORE

Azam FC Yamwongeza Mkataba Kocha Florent Ibenge Hadi 2028

Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, ameripotiwa kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuinoa klabu hiyo inayoshiriki Ligi...

READ MORE

Afrika Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026 Yapeleka Timu 10

Afrika imeweka rekodi mpya ya kihistoria baada ya kupata wawakilishi 10 katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Marekani,...

READ MORE

Kiungo wa Serengeti Boys Aibuka Mfungaji Bora Mashindano ya AFCON U17

Kiungo wa Serengeti Boys, Dismas Athanasi, ameibuka mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa vijana chini ya...

READ MORE

Live In-Play Booster Yaleta Mabadiliko katika Ubashiri wa Mubashara

Live In-Play Booster ni huduma ya Meridianbet inayowezesha wateja kubashiri mechi zinazoendelea (live matches) na kupata odds zilizoboreshwa papo kwa...

READ MORE

Senegal Watwaa Ubingwa wa AFCON U-17 Baada ya Kuifunga Tanzania Kwa Penalti (Picha +Video)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, imekosa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika...

READ MORE