Simba Yaandika Historia Bongo
RASMI sasa Klabu ya Simba imeandika historia yake mpya ambapo, Jumatatu hii timu yake ya soka itaanza kutumia viwanja vyake viwili vilivyopo Bunju jijini Dar…
SOMA ZAIDI
|
RASMI sasa Klabu ya Simba imeandika historia yake mpya ambapo, Jumatatu hii timu yake ya soka itaanza kutumia viwanja vyake viwili vilivyopo Bunju jijini Dar…
SOMA ZAIDIBAADA ya aliyekuwa kocha wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems kubeba mabegi yake na kusepa kwao, uongozi wa timu hiyo fasta, umemshusha Mzambia, Beston Chambeshi….
SOMA ZAIDINAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na mshambuliaji wa KR Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, ameamua kumbeba jumla mkewe kwa kumpeleka Ubelgiji….
SOMA ZAIDIMWILI wa nyota wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Ally Yusuf ‘Tigana’ aliyefariki dunia jana mchana, unatarajiwa kuzikwa saa 10 jioni kwenye makaburi ya Msasani,…
SOMA ZAIDIMABOSI wa Yanga wamekiangalia kikosi chao kilichocheza michezo nane ya Ligi Kuu Bara, fasta wakakubaliana kushusha kiungo fundi mchezeshaji mwenye uwezo wa kuchezesha timu na…
SOMA ZAIDIAMA kweli Yanga imepania kuwachakaza wapinzani wapo wa jadi, Simba katika mechi ya watani wa jadi inayotarajiwa kuchezwa Januari 4, kufuatia mipango waliyojiwekea ya kufanya…
SOMA ZAIDIMchezaji wa zamani wa Yanga, Ally Yusuf ‘Tigana’ amefariki dunia leo Novemba 5, 2019 Alhamis mchana katika hospitali ya Amana, Jijini Dar es Salaam baada…
SOMA ZAIDIKocha Mkuu wa Kilimanjaro Stars, Juma Mgunda amemwacha kipa Juma Kaseja na kumchukua Aishi Manula katika kikosi chake cha wachezaji 22 watakaocheza mashindano ya Kombe…
SOMA ZAIDIUSIKU wa Ijumaa ya wikiendi iliopita naamini ulikuwa mzuri kwa mashabiki wa mchezo wa ngumi za kulipwa nchini baada ya bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo kumshinda…
SOMA ZAIDIYANGA ina majina mawili ya Makocha mezani ambayo mmoja wao ndiye atakayekuwa kocha msaidizi wa Yanga kuanzia mwezi ujao na wote ni vijana machachari. Ingawa…
SOMA ZAIDIBONDIA Hassan Mwakinyo, ameamua kuweka tofauti zake pembeni na bondia mkongwe Tanzania, Rashid Matumla baada ya jana kumuomba radhi mbele ya Watanzania. Mwakinyo ambaye…
SOMA ZAIDIBAADA ya kukaa Manchester United kwa takribani miaka miwili, hatimaye jana Jumatano, Jose Mourinho alirejea klabuni hapo. Mourinho alirejea na kikosi cha Tottenham Hotspur…
SOMA ZAIDIMSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara unaendelea kusonga mbele timu zikiwa zimecheza mpaka mechi 13 ingawa bado kuna baadhi ya timu zipo nyuma na zina…
SOMA ZAIDIMABOSI wa Simba wanauchukulia umuhimu mchezo wao wa watani wa jadi, Yanga ni baada ya kuwasiliana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kupata ruhusa…
SOMA ZAIDIAliyekuwa kocha wa Simba SC, Patrick Aussems ‘Uchebe’ Novemba 3, 2019 kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter na Instagram, amesema ili klabu…
SOMA ZAIDIWACHEZAJI wa Yanga wameambiwa na uongozi: “Hakuna kuvunja kambi, mtabaki hapahapa Dar mpaka mtakapocheza na Simba.” Hii imetokea siku chache baada ya awali kuaminika…
SOMA ZAIDIHATIMAYE aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji ameondoka nchini Tanzania na kurejea nyumbani kwao baada ya Timu hiyo kusitisha…
SOMA ZAIDIALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, ametamka kuwa kocha ajaye ndani ya kikosi hicho, anatakiwa anatakiwa akifanyie mambo makubwa matatu kama anataka kubaki….
SOMA ZAIDI Global TV imefanya mahojiano na mshambuliaji wa timu ya KMC, James Msuva, ambaye pia ni mdogo wa Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Tanzania…
SOMA ZAIDIGUMZO ambalo limetawala katika mijadala ya michezo kwa wikiendi hii ni kwamba bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo alipigwa na Arnel Tinampay kutoka Ufilipino. Pambano hilo la…
SOMA ZAIDIMOJA ya kasoro kubwa za wanasoka wengi hapa nchini na duniani kote ni elimu. Wanasoka wengi wamekuwa na elimu za kawaida hasa zile za sekondari…
SOMA ZAIDIWAKATI Kocha Msaidizi akiwa Selemani Matola, jina la Kocha Mkuu wa AS Vita ya DR Congo, Jean-Florent Ikwange Ibengé limetajwa kuwa ndiye anayetarajiwa kumrithi Mbelgiji,…
SOMA ZAIDINAHODHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, amepanga kukutana na mabeki wa timu hiyo kwa ajili ya kufanyia kazi changamoto ya kuruhusu mabao kila mchezo…
SOMA ZAIDILIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa inazidi kuchanja mbuga ikiwa ipo kwenye mzunguko wa kwanza, ushindani umekuwa mkubwa kwa timu zote huku jumla ya makocha…
SOMA ZAIDIKLABU ya Azam jana iliponea chupuchupu kupokea kichapo mbele ya JKT Tanzania na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Azam…
SOMA ZAIDIKIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba hivi sasa anayekipiga Al Ittihad Alexandria ya Misri, Mganda Emmanuel Okwi, amefungua akaunti ya mabao kwa kufunga bao moja…
SOMA ZAIDIPROMOSHENI ya Faidika na Jero iliyokuwa inachezeshwa na Kampuni ya kubashiri ya SportPesa imemalizika kwa Yusuph Jackson, 29, mkazi wa Serengeti kujishindia zawadi ya gari…
SOMA ZAIDIMourinho: K OCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho amesema kuwa mtu pekee aliyemwalika kwenye Dimba la Old Trafford ni Michael Carrick. Mourinho kabla hajawa…
SOMA ZAIDIBONDIA wa ngumi za kulipwa Tanzania, Hassan Mwakinyo, juzi alifanikiwa kumchakaza kwa pointi mpinzani wake, Arnel Tinampay raia wa Ufilipino. Katika pambano hilo la…
SOMA ZAIDIWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hapa nchini, Dkt. Harrison Mwakyembe leo Jumamosi, Novemba 30, 2019 amezindua mashindano ya Shirikisho la Mmichezo la Mashirika…
SOMA ZAIDIKocha wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems, kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram leo Novemba 30, 2019 amethibitisha kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba,…
SOMA ZAIDIWAKATI kukiwa na tetesi za Kocha wa Polisi Tanzania, Seleman Matola kutakiwa na Simba, taarifa zinasema tayari kocha huyo ameanza kutanguliza silaha zake Mzimbazi. …
SOMA ZAIDIKIUNGO tegemeo wa Liverpool, Fabinho anatarajiwa kukosa mechi kadhaa muhimu kwa timu yake kutokana na kupata majeraha ya kifundo cha mguu, aliumia katika mchezo juzi…
SOMA ZAIDIALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama kweli inamuhitaji mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Heritier Makambo iwe tayari kumlipa mshahara…
SOMA ZAIDIBONDIA Hassan Mwakinyo amemchapa Arnel Tinampay kutoka Ufilipino katika pambano kali la Super Welter la raundi 10, lililopigwa usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa…
SOMA ZAIDIBONDIA Mfaume Mfaume amemtwanga bondia mwenzake Keis Ally, katika raundi ya nane na ya mwisho kwenye pambano la utangulizi kusindikiza lile la Hassan Mwakinyo na…
SOMA ZAIDIBONDIA Twaha Kiduku kutoka Morogoro, amemchakaza bondia kutoka Afrika Kusini, France Ramabolu, kwa TKO kwenye raundi ya tano ya mpambano wa utangulizi uliyokuwa wa raundi…
SOMA ZAIDIUONGOZI wa Klabu ya Yanga umedaiwa kuwa upo kwenye harakati za kutaka kumrudisha Mrundi, Amissi Tambwe kikosini hapo kwa ajili ya kuiongezea nguvu safu ya…
SOMA ZAIDIKLABU ya Arsenal leo Ijumaa, Novemba 29, 2019, imemfuta kazi kocha mkuu wake, Unai Emery, baada ya kushindwa kupata ushindi katika michezo saba ya mwisho…
SOMA ZAIDIKikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) kilichoitwaa kwaajili ya michuano ya Mataifa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Senior Challenge Cup) itakayofanyika…
SOMA ZAIDI