×

Tamasha la Mziki Mnene Chini ya Vodacom Lawapagawisha Wakazi Ukonga

top-top_01
Baadhi ya wakazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam wakipagawa na mziki wa kizazi kipya wa Singeli wakati wa Tamasha la Mziki Mnene lililofanyika katika viwanja vya Gonga na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki.

top-top_02

Msanii wa muziki wa Singeli  Tamimu Mshauri Salum akiwapagawisha mashabiki wa  muziki huo  kwenye  Tamasha la Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

top-top_03

Msanii chipukizi wa mziki wa Singeli mkazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Aaron Chiwaz akiwapagawisha wakazi wa mji huo  kwenye  Tamasha la Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.