CCM Kufanya Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa Des 11-12
Global Publishers December 5, 2016
SHARE THIS:
DAR ES SALAAM: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitakuwa na kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa Desemba 11-12 kikifuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa Desemba 13, 2016 jijini Dar es Salaam.