×

Live Updates: Simba Vs Yanga, Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi Zanzibar

simba-na-yanga-2
Kikosi cha Yanga SC.
simba-na-yanga-1
Kikosi cha Simba Sc.
Simba wanashinda kwa penati 4-2.
Simba anacheza ni Bukungu….. gooooooal.
Yanga anacheza ni Haji Mwinyi…. anakosa.
Simba anacheza ni Mzamiru …… gooooooal.
Yanga anacheza Kamusoko….. goooooal.
Simba anacheza ni Mwanjale….. anakosaaaaaa.
Yanga anacheza Msuva…… Gooooooooal
Simba Agyei….  Goooooooooooooooal
Yanga anacheza golikipa Dida, anoksaaaaaa
Simba wanaanza kucheza penati, Jonas Mkude anapiga penati…. Gooooooooooooal
simba-na-yanga-9
Kinachofuata ni mikwaju ya penati, ili mshindi apatikane.
Na dakika 3 za nyongeza zimekwosha kwa bao 0-0.
Dakika 3 zimeongezwa
Dakika 90 za kawaida zimekwisha
Dk 85, Laudit Mavukgo anaingia kwa upande wa Yanga akichukua nafasi ya Mohamed Ibrahim baada ya kuumia.simba-na-yanga-4
Dk 82, Simba wanapata kona anaenda kucheza Shabalala, inatoka na kuwa kona nyingine anacheza Sahabalala tena lakini Dida anafanyiwa madhambi hapa.
Dk 81, Shabalala anaachia shuti kali linatoka nje na kuwa goal kick kwenye lango la Yanga.
simba-na-yanga-10Dk 78, Martin anawatoka Mkude na Muzamiru wanaogongana na yeye anaachia mkwaju mkali hapa. Agyei anaonyesha umakini na kudaka vizuri hapa
SUB Dk 77, Simba wanamtoa Luizio nafasi yake inakwenda kwa Pastory Athanas
Dk 76, mpira bado unachezwa sana katikati ya uwanja na Yanga wanaonekana kuanza kukontrooo mpira zaidi ya Simbasimba-na-yanga-12
Dk 71, Msuva anaingia vizuri lakini mpira wake wa krosi unaokolewa na Bukungu
Dk 69, nafasi nyingine kwa Simba, lakini Luizio anashindwa kupiga krosi nzuri
Dk 68, Yanga wanachonga kona safi, kichwa cha Mwinyi mpira unakwenda nje
SUB Dk 62 Yanga wamatoa Kaseke na nafasi yake inachukuliwa na Emmanuel Martin
Dk 61 sasa, mpira bado unachezwa katikati ya uwanja zaidi
simba-na-yanga-11Dk 55, kosa hapa Dante anachichanganya Simba wanaingia hatariiiiiii Dante anaokoa
Dk 54, kona ya Kichuya, hatari tena, Dida anaokoa hapa
Dk 53, Kichuya anaingia vizuri hapa, hatariiii lakini Dante anamuwahi na kutoa nje, kona
simba-na-yanga-7
Dk 53, Juma Abdul anacheza faulo hapa lakini mwamuzi anamsamehe, akimuonya kwa maneno. Kumbuka kadi ya njanoDk 52 kona nyingine inachongwa na Kotei lakini Yanga wako makini wanaokoa
Dk 51, Simba wanafanya shambulizi kali hapa, krosi ya Kichuya Yondani anaokoa na kuwa kona, inachongwa na Kichuya, Dida anaokoa tena na kuwa kona tena
simba-na-yanga-13
Dk 49, Simba wanagongeana vizuri na Mo Ibrahim anaachia mkwaju na Dida anadaka vizuri
Dk 47 krosi nzuri ya Mwinyi lakini Mwanjale anauwahi, kona. Inachongwa na Niyonzima , wanaokoa
Dk 46, Yanga wanacheza vizuri, lakini Tambwe anashindwa kupiga krosi kutokana na kasi ya mpira
Dk 45, Kipindi cha pili kimeanza na inaonekana suala la hofu kwa wachezaji bado limejaa
takwimu-simba-na-yanba-first-halfMAPUMZIKO
KADI Dk 45, Mwamuzi anatoa kadi ya njano kwa Abdi Banda kumuangusha Kaseke, kadi ya njano kwa Juma Abdul
Dk 43, hatariiiii, Msuva anapoteza mpira, Mo Ibrahim anaachia fataki, Dida anaugusa na kutgonga mwamba, unamkuta Luizio anaachia shuti, goal kick
Dk 40, Banda anaachia fataki lakini mpira unawagonga mabeki wa Yanga, wanaokoasimba-na-yanga-3

KADI Dk 39, Mwingi analambwa kadi ya njano kwa kumrukia Mo Ibra

Dk 37, Msuva anamtoka Zimbwe kwa mara ya kwanza, anaingia vizuri na kujaribu kupiga lakini mpira anaukosa na Bukungu anauokoa kabla haujavuka lango

Dk 34, Dida anafanya kosa hapa, nusura Bukungu lakini anaitahi kuuwahi
Dk 34 mechi bado inaonekana kuwa ngumu, kila upande una mashambulizi lakini si uhakika

simba-na-yanga-8Dk 28, Yanga inapata kona baada ya Simba kuukoa mpira wa faulo wa Mwinyi, inachongwa lakini kipa anafanyiwa madhambi
Dk 21 sasa, mambo bado, mashambulizi si mengi. Simba hasa Banda wanapaswa kuwa makini na kupunguza mipira isiyokuwa na maana karinu lango lao
Dk 18, mkwaju mkali wa Mwinyi wa faulo, unatoka kidogo nje ya lango la Simba
Dk 16, Mo Ibrahim, anaachia shuti kali katikati ya msimu wa mabeki wa Yanga, Dida anadaka vizuri kabisa

simba-na-yanga-14Dk 15, Yanga wanapoteza nafasi, Msuva anapiga shuti lakini Banda anakaa chini na kuzuia. Ilikuwa nafasi nzuri kwa Yanga

Dk 10 sasa, kila upande unaonekana kuwa makini sana kwa sababu hakuna mashambulizi mengi kwenye milango

Dk 8, Banda anapiga kichwa mpira unamkuta Niyonzima, anaingia vizuri na kuachia shuti kali hapa, Agyei anadaka vizuri kabisa

simba-na-yanga-15Dk 7, mpira zaidi unachezwa katikati ya uwanja ingawa Simba ndiyo wanaonekana kutawala zaidi katikati ya uwanja
Dk 3Yanga wanaanza kuwa wa kwanza kuingia kwenye lango la Simba lakini Mwanjale anakuwa makini
Dk 1Mechi imeanza kwa kasi kubwa huku ikionekana kila timu imepania kupata bao la mapema