
HALI ilivyo hivi sasa Uwanja wa Jumhuri Morogoro kuwa nasi kwa taarifa zaidi…


\ 



Mpira unaanza muda huu katik viwanja vya Jamhuri Morogoro
dakika ya 15 kipindi cha kwanza Mtibwa wanapata faulo,
Dakika ya 19 mabao 0-0 mchezo mkali sana mpenzi mfuatiliaji
Dakika 20 Shabani Mussa Nditi anapiga kichwa mpira unatoka Nje ya lango la Yanga
Dakika ya 24 Kelvin Yondani ananawa mpira, kwa hiyo ni faulo kuelekea kwenye club ya Yanga
Dakika 28 mchezaji wa Mtibwa anagondoka chini
Dakika 32 Yanga wanashambulia lango la Mtigwa
Dakika 34 Yanga wanafanya mabadiliko jezi 29 nafai yake anajukuliwa na Juma Mahadhi jezi yake namba 21 mgongoni
Dakika 35 Penalt kueleka lango la Mtigwa
Dakika ya Msungwa anapiga penalt
Msumva anakosa penalti
Dakika ya 37 Mtigwa wanakosa goli
Yanaga wanacheza katika hali ya hofu kwani wanatumia nguvu ili kushinda ili wawafikie Simba
Dakika ya 38 Yanga 0-0 Mtigwa
Dakika ya 40 Ali Shomali anasabisha Kona
Rashid baba Ubaya Anapiga kona
Kuelekea Lango la Yanga Myigwa wanapata kona nyingine
Dakika ya 42 Yanga wanasabisha faulo
Dakika Mbili zimeongezwa kabla ya kwenda mapumziko
Mcheza namba 04 chini….
Mpira ni mapumziko dakika 45 za kwanza zimekwisha Yanga 0 na Mtigwa 0 nini maoni yako mpenzi msomaji
Kipindi cha Pili….
Dakika ya 03 mpaka sasa Yanga ni 0 na mtigwa ni 0
Dakika 52 Emmanuel Martini anapiga Penalt kuelekea lango la Mtigwa
Dakika 53 Saidi muhammed anagangwa gangwa hapa
Dakika ya 55 mtibwa wanakosa goli la wazi mpira unatoka setimta chache juu ya lango la Yanga
Dakika ya 57 Mtibwa wanapata kona
Dakika ya 60 faulo mtibwa wanapata faulo na mchezaji wa Yanga kapata kadi ya njano
Dakika 64 Mabao 0-0, mpira mkali sana kwenye uwanja wa Jamuhuri Morogoro hapa
Dakika 69 Goli kick upande wa Mtibwa
Dakaki ya 71 Yanga wanafanya mabadiliko Kelvin Yondani anatoka nafasi yake inachukuliwa na Juma Makapu
Dakika ya 73 Faulo kuelekea goli la Mtibwa
Dakika 77 Mtibwa wanapata faulo, magoli bado 0-0
Dakika ya 79 Yanga wanapata kona, inapigwa na Simon Msuva
Dakika 80 Yanga wanapata kona doto, inapigwa tena Simon Msuva
lalala ayaa shuti linababatizwa na mabeki wa Mtibwa kwenye dakika 81
Saidi Mohamedi goli kipa wa Mtibwa anadaka mpira kama nyani, anajilaza chini mpenzi mfuatiliaji, dakika sasa ya 84 mabao bado 0-0
Dakika ya 87 Yanga wanapata Kona, inachongwa na Simon Msuva
Dakika 4 za nyongeza zinaoneshwa na Mwamuzi wa akiba, baada ya dakika 90 kumalizika
Piiiiiiiiiiiiiiii Mpira umekwisha Muamuzi anapuliza filimbi ya kumaliza mpira na Matokeo Mtibwa 0 na Yanga 0
SHINDA NYUMBA AWAMU YA PILI YATIKISA JIJI LA DAR ES SALAAM