RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa kamati ya wataalam watakaochunguza kiwango cha madini kilichomo kwenye makontena ya Mchanga wa madini aliyoyakamata Bandarini hivi karibuni.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa kamati ya wataalam watakaochunguza kiwango cha madini kilichomo kwenye makontena ya Mchanga wa madini aliyoyakamata Bandarini hivi karibuni.
