Serikali imeanza mazungumzo na wawakilishi wa kampuni ya Tanzanite One ambayo yanalenga kuhakikisha Tanzania inanufaika ipasavyo na rasilimali ya madini hayo ambayo yanachimbwa nchini Tanzania pekee.

Serikali imeanza mazungumzo na wawakilishi wa kampuni ya Tanzanite One ambayo yanalenga kuhakikisha Tanzania inanufaika ipasavyo na rasilimali ya madini hayo ambayo yanachimbwa nchini Tanzania pekee.
