RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amerejea nchini leo, Feb 14, akitokea nchini Uganda alipokuwa amekwenda kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amerejea nchini leo, Feb 14, akitokea nchini Uganda alipokuwa amekwenda kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
