

MSANII wa filamu Rammy Galis aliyekuwa mpenzi wa zamani wa marehemu Masogange leo alizimia baada ya kuuona mwili wa mpenzi wake huyo katika viwanja vya Leaders wakati wa kuuaga. Hata hivyo, baada ya kupata huduma ya kwanza alizinduka.


MSANII wa filamu Rammy Galis aliyekuwa mpenzi wa zamani wa marehemu Masogange leo alizimia baada ya kuuona mwili wa mpenzi wake huyo katika viwanja vya Leaders wakati wa kuuaga. Hata hivyo, baada ya kupata huduma ya kwanza alizinduka.