×

Wanafunzi, Wahadhiri SUA Wapeleka Malalamiko kwa JPM – Video

Rais John Magufuli, ameendelea na ziara yake mkoani Morogoro ambapo leo Mei 7, ametembelea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na kukipongeza chuo hicho kwa tafiti mbalimbali zikiwemo za kilimo, ufugaji, uvuvi, panya kubaini mitego ya mabomu na ugonjwa wa kifua kikuu huku akisema wanao uwezo wa kuwafanya panya hao wakagundua pia waathirika wa UKIMWI.

Rais alipata fursa ya kupokea malalamiko, changamoto na matatizo mbalimbali kutoka kwa wanafunzi, wahadhiri na wafanyakazi wengine wa Jumuiya ya SUA kabla kuhutubia na kuzijibu hoja hizo.

FUATILIA HAPA MASWALI ALIYOULIZWA JPM