
Muigizaji nguli wa Filamu Bongo, Esha Buheti amefungukia kuhusu tetesi zilizokuwa zikisambaa mitandaoni kuwa yeye ndiye aliyemtafutia mke Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba ‘King Kiba’ ambaye ameoa wiki chache zilizopita huko Mombasa nchini Kenya.

Muigizaji nguli wa Filamu Bongo, Esha Buheti amefungukia kuhusu tetesi zilizokuwa zikisambaa mitandaoni kuwa yeye ndiye aliyemtafutia mke Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba ‘King Kiba’ ambaye ameoa wiki chache zilizopita huko Mombasa nchini Kenya.