




MREMBO na mwanamitindo kutoka Kenya, Huddah, maarufu kama The Boss Chick, usiku wa kuamkia leo alipanda katika steji ya ‘Usiku wa Kusi’ katika Ukumbi wa |Taifa wa Burudani wa Dar Live kwa kucheza wimbo wa African Beauty wa Diamond Platinumz huku mashabiki wakimshangilia kwa kuvutia na mwonekano wake na uchezaji wake.
Pia alitumia fursa hiyo kuzindua bidhaa zake za vipodozi kwa kuwagawia kina dada kumi miongoni mwa wengi waliofika katika shoo hiyo.
PICHA NA RICHARD BUKOS/MUSA MATEJA