×
Global Publishers
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Global TV
  • Magazeti
  • Ajira
  • Burudani
    • Audio Music
    • Music Videos
    • Dar Live
  • Michezo
  • Makala
    • Afya
    • Mahaba & Maisha
    • Burudani
    • Hadithi
    • Mikasa
    • Siasa
  1. Home
  2. Habari
  3. Video: Hatimaye Boeing 787-8 Dreamliner Yatua Nchini

Video: Hatimaye Boeing 787-8 Dreamliner Yatua Nchini

Global Publishers July 8, 2018 4,052 views
SHARE THIS:

 

RAIS Dkt. John Magufuli leo Jumapili Julai 08, 2018 amewaongoza Watanzania kuipokea ndege mpya aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na serikali ya Tanzania.

Baadhi ya viongozi nchini wakiwa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kuipokea DreamLiner iliyotua jioni hii.

Viongozi wengine waliofika uwanjani hapo ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Mawaziri, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na viongozi wengine mbalimbali wa serikali, vyama vya siasa na viongozi wa Dini.

SHARE THIS:
Previous Next

Related Posts

Usikose Tamthilia ya Jumba la Dhahabu Sehemu ya 6, Leo Saa 12:30 Jioni - Global Publishers BURUDANI

Usikose Tamthilia ya Jumba la Dhahabu Sehemu ya 6, Leo Saa 12:30 Jioni

May 13, 2017
RAY C Afungukia Kutoka na Mbunge - Global Publishers BURUDANI

RAY C Afungukia Kutoka na Mbunge

May 8, 2017
Shigongo Achimba Visima vya Maji Buchosa - Global Publishers HABARI

Shigongo Achimba Visima vya Maji Buchosa

April 6, 2021
Baada ya Tuzo za Wachezaji Kila Mechi, NBC Yaahidi ‘Makubwa’ Zaidi - Global Publishers HABARI

Baada ya Tuzo za Wachezaji Kila Mechi, NBC Yaahidi ‘Makubwa’ Zaidi

August 21, 2024


DAKTARI

GLOBAL TV Online




SIMBA
YANGA
NEWS
Global Publishers
  • About Us
Download on the App Store
Get it on Google Play

© 2026 Global Publishers. All Rights Reserved.

Designed by Yatosha Web Services