MCHUNGAJI Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la Masanja Mkandandamizaji amewasili msibani kwa mama wa Eric Shigongo na kupata fursa ya kuhubiri neno la Mungu kwa wafiwa na waombolezaji wengine.
FUATILIA MAHUBIRI HAYO HAPA
MCHUNGAJI Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la Masanja Mkandandamizaji amewasili msibani kwa mama wa Eric Shigongo na kupata fursa ya kuhubiri neno la Mungu kwa wafiwa na waombolezaji wengine.
FUATILIA MAHUBIRI HAYO HAPA