Mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo ameapishwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo katika hafla fupi iliyofanyika wilayani humo.
Mkuu mpya wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo ameapishwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo katika hafla fupi iliyofanyika wilayani humo.