Mhe. Rais John Pombe Magufuli amewaapisha Dkt. Faraji Mnyepe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Bi. Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu.
Mhe. Rais John Pombe Magufuli amewaapisha Dkt. Faraji Mnyepe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Bi. Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu.