×

MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA UWANJA WA MAGUNIA TANDALE -PICHA

MSANII wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz  leo ameamua kufanya kitu cha kipekee katika wiki ambayo anakumbuka siku yake ya kuzaliwa ‘Birthday’ kwa kutoa bima za afya kwa watu 1000, mitaji kwa akina mama wasiopungua 200 wa  Tandale.

Aidha, msanii huyo ametoa bodaboda 20 kwa vijana ambao hawana ajira pamoja na kukarabati baadhi ya shule za maeneo ya nyumbani kwao Tandale.

 

PICHA: RICHARD BUKOS | GPL