MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amekabidhi mabasi kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na vyombo vya ulinzi na usalama. JWTZ wamempongeza RC Makonda kwa jitihada ambazo amezichukua kwa ajili ya kuboresha usafiri na miundombinu.
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amekabidhi mabasi kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na vyombo vya ulinzi na usalama. JWTZ wamempongeza RC Makonda kwa jitihada ambazo amezichukua kwa ajili ya kuboresha usafiri na miundombinu.