×

Mazishi ya Kijana Aliyepigwa Risasi na Polisi, Vilio Vyatawala! – VIDEO

Mwili wa Kijana Richard Peter Lombo (29) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa Risasi na Askari Polisi ndani ya Kituo cha Polisi Usariva Mkoani Arusha umezikwa leo Februari 12, 2019.