Mwili wa Kijana Richard Peter Lombo (29) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa Risasi na Askari Polisi ndani ya Kituo cha Polisi Usariva Mkoani Arusha umezikwa leo Februari 12, 2019.
Mwili wa Kijana Richard Peter Lombo (29) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa Risasi na Askari Polisi ndani ya Kituo cha Polisi Usariva Mkoani Arusha umezikwa leo Februari 12, 2019.