Rais Dkt. John Magufuli ameondoka nchini kwenda Malawi kwa Ziara Rasmi ya Kiserikali ya siku mbilli. Baada ya kurejea nchini ataanza ziara ya kikazi ya siku nane Mkoani Mbeya.

Rais Dkt. John Magufuli ameondoka nchini kwenda Malawi kwa Ziara Rasmi ya Kiserikali ya siku mbilli. Baada ya kurejea nchini ataanza ziara ya kikazi ya siku nane Mkoani Mbeya.
