
Kufuatia kusambaa kwa taarifa zinazodai kuwa mwanamuziki wa Singeli nchini, Man Fongo, amebaka na kuhukumiwa jela miaka 30, hatimaye msanii huyo ameamua kuvunja ukimya na kufunguka kilichotokea.

Kufuatia kusambaa kwa taarifa zinazodai kuwa mwanamuziki wa Singeli nchini, Man Fongo, amebaka na kuhukumiwa jela miaka 30, hatimaye msanii huyo ameamua kuvunja ukimya na kufunguka kilichotokea.