KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa wanayanga wanapaswa kuchangia timu yao kutokana na mara ya kwanza alivyoambiwa anakuja yanga alijua kama ni timu kubwa kumbe ilikua na matatizo kibao.
KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa wanayanga wanapaswa kuchangia timu yao kutokana na mara ya kwanza alivyoambiwa anakuja yanga alijua kama ni timu kubwa kumbe ilikua na matatizo kibao.