
Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Meddie Kagere ataendelea kuwa na Simba Sc baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa TPL.


Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Meddie Kagere ataendelea kuwa na Simba Sc baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa TPL.
