
Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Bara Yanga SC leo Jumamosi Juni 22, 2019 wamekamilisha usajili wa kiungo Mapinduzi Balama kutoka Alliance FC ya Mwanza kwa mkataba wa miaka mitatu.

Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Bara Yanga SC leo Jumamosi Juni 22, 2019 wamekamilisha usajili wa kiungo Mapinduzi Balama kutoka Alliance FC ya Mwanza kwa mkataba wa miaka mitatu.