
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajia kufanya ziara binafsi ya siku mbili nchini Tanzania itakayoanza Ijumaa, Julai 5 katika Wilaya ya Chato mkoani Geita ambako atakutana na Rais John Magufuli ambaye yuko katika mapumziko.


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajia kufanya ziara binafsi ya siku mbili nchini Tanzania itakayoanza Ijumaa, Julai 5 katika Wilaya ya Chato mkoani Geita ambako atakutana na Rais John Magufuli ambaye yuko katika mapumziko.
