MSANII wa muziki Bongo, Ruby na mumewe mtarajiwa Kusah, wamefanya balaa la kufa mtu katika steji ya Wasafi Festival iliyoanzia Wilayani Muleba mkoani Kagera usiku wa kuamkia leo.
MSANII wa muziki Bongo, Ruby na mumewe mtarajiwa Kusah, wamefanya balaa la kufa mtu katika steji ya Wasafi Festival iliyoanzia Wilayani Muleba mkoani Kagera usiku wa kuamkia leo.