
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza siku 3 za Maombolezo kufuatia ajali ya Lori la Mafuta kulipuka na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60 Msamvu Mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza siku 3 za Maombolezo kufuatia ajali ya Lori la Mafuta kulipuka na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60 Msamvu Mkoani Morogoro.