RAIS mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amefariki dunia leo Septemba 6, 2019 akiwa na umri wa miaka 95. Rais Mugabe alikuwa nchini Singapore akipatiwa matibabu kwa muda mrefu.
RAIS mstaafu wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amefariki dunia leo Septemba 6, 2019 akiwa na umri wa miaka 95. Rais Mugabe alikuwa nchini Singapore akipatiwa matibabu kwa muda mrefu.