
Kikosi cha Simba leo kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao utapigwa kesho Ijumaa kwenye Uwanja wa Uhuru kuanzia saa 10:00 jioni.




Kikosi cha Simba leo kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao utapigwa kesho Ijumaa kwenye Uwanja wa Uhuru kuanzia saa 10:00 jioni.


