Msanii na Mwanamitindo Bongo, Hamisa Mobeto, amehudhuria katika 40 ya mtoto wa msanii kutoka WCB Mbosso, ambapo amepata nafasi kupiga story na Global Tv nakusema kuwa Yuko tayari kuongeza mtoto wa Tatu.
Msanii na Mwanamitindo Bongo, Hamisa Mobeto, amehudhuria katika 40 ya mtoto wa msanii kutoka WCB Mbosso, ambapo amepata nafasi kupiga story na Global Tv nakusema kuwa Yuko tayari kuongeza mtoto wa Tatu.