Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo 9 Dec 2021 anashiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya UHURU wa TANZANIA BARA, zinazofanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo 9 Dec 2021 anashiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya UHURU wa TANZANIA BARA, zinazofanyika katika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.