
Watu 14 wamepoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa baada ya Basi la Abiria la A-N Coach (T282 CXT) lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Tabora, kupinduka wakati likikwepa Lori na kuingia mtaroni
Kamanda msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, Wilbert Siwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo leo Septemba 6, 2024