
Moto mkali umezuka leo Januari 30, 2025 katika Jengo la TRA lililopo eneo la Lumumba, Kariakoo – Dar es salaam.
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, Global TV imefika eneo la tukio kwa habari zaidi.

Moto mkali umezuka leo Januari 30, 2025 katika Jengo la TRA lililopo eneo la Lumumba, Kariakoo – Dar es salaam.
Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, Global TV imefika eneo la tukio kwa habari zaidi.