×

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, Akamatwa na Polisi Kariakoo

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amekamatwa na Jeshi la Polisi, Kariakoo jijini Dar es Salaam.

Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.