![]()
Papa mpya amepatikana na kutangazwa Vatican. Anaitwa Robert Francis Prevost kutoka nchini Marekani ambapo anatajwa kuwa Mmarekani wa kwanza kushika wadhifa huo.
Amechagua jina la Papa Leo XIV.

![]()
Papa mpya amepatikana na kutangazwa Vatican. Anaitwa Robert Francis Prevost kutoka nchini Marekani ambapo anatajwa kuwa Mmarekani wa kwanza kushika wadhifa huo.
Amechagua jina la Papa Leo XIV.
