×

Uganda Wanyakuwa Ubingwa wa Mashindano ya Mabunge, Wazichapa Tanzania & Rwanda

soka-mabunge-afrika-mashariki-1 soka-mabunge-afrika-mashariki-2

Timu ya wanaume ya Soka ya Bunge la Uganda imetwaa ubingwa katika Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki baada ya kuifunga Timu ya Burundi kwa bao  7-6, mechi ya Fainali ya Mashindano hayo iliyochezwa Jumapili, Desemba 11, 2016 jijini Mombasa nchini Kenya.

soka-mabunge-afrika-mashariki-3

Timu ya ‘netball’ ya Bunge la Uganda imetwaa ubingwa wa katika Mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki baada ya kuifunga Tanzania 38-29.

Darassa Afunguka Tuhuma za Kuiba Beat ya Saida Karoli Kwenye Wimbo Wake wa Muziki