Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ (Chadema) amepaza sauti Bungeni mjini Dodoma akihoji kuhusu mradi wa bwawa la maji ambalo wananchi wa Kilosa wamekuwa wakilitumia kwa matumizi yao.
Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Prof Jay’ (Chadema) amepaza sauti Bungeni mjini Dodoma akihoji kuhusu mradi wa bwawa la maji ambalo wananchi wa Kilosa wamekuwa wakilitumia kwa matumizi yao.