×

Pichaz: Maafa Ya Mvua Mkoani Tanga

Mawe yakiwa  yameserereka na kuangukia magari Lushoto, Tanga.

…Wakiwa wamepigwa butwaa.

Wananchi wakiweka sawa barabara baada ya kuangukiwa miti na udongo.

(Picha kwa hisani ya mitandao mbalimbali)

Leave a Comment