×

Kinachoendelea Katika Msiba Wa Ndesamburo, Moshi

Mbunge wa Siha Mhe. Godwin Mollel akisaini kitabu cha Maombolezo katika msiba wa aliyekua Muasisi wa Chadema, Mhe. Dkt. Phillemon Ndesamburo.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akisaini kitabu cha Maombolezo katika msiba wa aliyekua Muasisi wa hicho Mhe. Dkt. Phillemon Ndesamburo Moshi.

Mwenyekiti Mstaafu wa Kanda ya Pwani, Mabere Marando akisaini kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa muasisi wa Chama Philemon Ndesamburo.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe  na Kamati ya maandalizi wakiwa uwanja wa Mashujaa utakaotumika kuaga mwili wa Mhe. Ndesamburo.

 

Leave a Comment