Mkuu wa Mkoa wa Pwani amesema, Barabara hiyo mpya ya Msata – Bagamoyo, itasaidia Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kujenga kampasi yake mpya ya Msata ambayo itaweza kudahili wanafunzi 10,000.











Mkuu wa Mkoa wa Pwani amesema, Barabara hiyo mpya ya Msata – Bagamoyo, itasaidia Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kujenga kampasi yake mpya ya Msata ambayo itaweza kudahili wanafunzi 10,000.










