




SHINDANO la Miss Grand Tanzania limeanza kuwafanyia usaili wanamitindo ambao watashiriki shindano hilo ambalo linapiga vita na machafuko mbalimbali nchini ambapo mara nyingi mambo hayo huanzia kwenye ngazi ya familia na katika sura ya uchumi.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii, mratibu wa shindano hilo, Happyness O’shea, alisema kuwa shindano hilo pia linalenga kutoa msaada kwa watoto walemavu na waliotengwa kwenye jamii na pia kutangaza vivutio vilivyopo katika jamii.
Stori: Imelda Mtema | Global Publishers | Miss Grand Tanzania