Msanii Mkongwe wa filamu na uchekeshaji Amri Athumani amekanusha uvumi unaoendelea kuwa amefariki dunia na kuhakikisha kuwa yupo vizuri kiafaya na kuendelea na kazi zake za kila siku.
Msanii Mkongwe wa filamu na uchekeshaji Amri Athumani amekanusha uvumi unaoendelea kuwa amefariki dunia na kuhakikisha kuwa yupo vizuri kiafaya na kuendelea na kazi zake za kila siku.