Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuwa kipa Aishi Manula, kesho Agosti 1, 2017 atajiunga na kambi ya timu hiyo iliyopo Afrika Kusini baada ya kukamilisha usajili akitokea Azam.


Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuwa kipa Aishi Manula, kesho Agosti 1, 2017 atajiunga na kambi ya timu hiyo iliyopo Afrika Kusini baada ya kukamilisha usajili akitokea Azam.

