×

Zitto Kabwe Aripoti Polisi, Kurejea Novemba 17 (Video)

Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akishuka kwenye gari ili kuripoti kituo cha polisi Chang’ombe leo ambapo atabidi kuripoti tena Novemba mwaka huu.
..Akielekea kituoni.
…Akiwa eneo la kituo akisindikizwa na wanachama wenzake.
…Akiwa amevuka geti la kuelekea katika kituo hicho.

KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, leo ameripoti  kituo cha polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambako anakabiliwa na shutuma za hotuba za uchochezi wakati wa kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Mbegala jijini Dar es Salaam..  Kiongozi huyo ametakiwa kuripoti tena kituoni hapo Novemba 17.

Ametakiwa pia kuripoti kesho katika ofisi za kituo hicho kwa tuhuma za kutoa takwimu zisizo sahihi za  za pato  na uchumi wa taifa.

(HABARI/PICHA; DENIS MTIMA | GLOBAL PUBLISHERS)

Magazeti Jumatatu Nov 6, 2017; Wafanyakazi Hewa Waponza Mabosi

Leave a Comment