×

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia Atangaza KUhama CUF, Ajiunga CCM (Video)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CUF, Maulid Mtulia.

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CUF, Maulid Mtulia amejiuzulu uanachama wa CUF na kujiuzulu nafasi zake zote za uongozi alizokuwa akizishikilia

Leave a Comment